Magufuli alisisitiza tuombe kwa mungu na kama ametupangia kufa kwa Corona, tutskufa tu[emoji23][emoji23],ulikua uamzi wa kijasiri kweri kweri[emoji847][emoji847]Ndo kusema corona si ugonjwa unaoua bali watu kwenye nchi za wenzetu walikufa kutokana na kutangaziwa uwepo wa ugonjwa huo na kuwekwa lockdown na kwamba sisi tulisalimika kutokana na msimamo wa Magufuli. Seriously?
Mimi binafsi hata mgonjwa wa ukimwi sijawahi kumuona na nipo tangu 1983There is something fishy going on.Mimi huku nilipo sijasikia mwenye Corona wala kumuona.Hospitali zetu vijijini ni business as usual,Referal Hospital yetu ni business as usual.Hivi Corona ipo kwenye midomo yenu tu na mitandaoni.Yes watu wanaugua na kufa,but this is usual tumezoea!Why the fearmongering.Ni ushetani mtupu.
Ni obvious shida ipo kwenye chanjo,na ndio maana every effort is being used to create fear,ili watu wakubali kuchanjwa.The intelligent see the truth however,wajinga watachanjwa.
Let me say this,chanjo ni nightmare ya humanity.Already people are sick as a result of the vaccine,there are injuries,and there are lot of deaths.Mimi nashangaa watu sana,utakubalije kuwekewa kitu cha majaribio mwilini mwako,which has not even been tested in animals,wewe ndiye unakuwa test animal?Halafu mind you,hata hujapewa taarifa ya kutosha kuhusu hicho kitu.
Huku vijini watu wanadungwa tu,no education what soever, kitu ambacho ni kinyume cha Nuremberg Codes.Yaani yanoendelea ni umafia and Big Pharma tyranny.Very sad indeed.
Mkuu kama colonel powel kafa kwa corona,, na hao ndo deep state,, nini kinakufanya usiamini ugonjwa upo?, Boris johnson nusra afe kwa corona, almanusra tu, kama hawa wenye dunia ndo wanakufa, unadhani kuna mtu kweli anafanya mizengwe?Issue ya korona legendary John Pombe alikuwa great asee, pingeni tu.
Canal Powel alikuwa kadungwa chanjo zote mpaka immunity booster vaccine, now tumesikia nini?.
Huu ugonjwa kuna hidden scenerio inachezwa hapo na wasiojua ndiyo tunachezeshwa midundo vururu vururu!.
Twendeni taratibu na hii mikopo kwanza as if kunywa supu nyama zipo chini!.
AlipoHaipo?! Alipo?! Yote ni valid, but different meaning. Which is which?
This is fearmongering.Sasa kutomsikia Salim ndio nini,anaugua Corona!Wewe ni fearmonger tu unayetumiwa na Shetani.Hii Corona mnayo ongelea mitandaoni ambayo mitaani hatuioni ni Corona gani.Tatizo lenu pia ni kwamba siku hizi mnaamini kwamba kila ugonjwa including respiratory illnesses ni Corona.Change your mind set,that is not true.Hata Amne Salim Ahmed Salim bila shaka hata sasa hujamsikia. Kagua masikio yako mkuu:
View attachment 1982761
Kama kungali kukavu fikiria fikiria pia kuchukua ubini sahihi.
Yawezekana wewe siyo bin Adamu 😁😁.
Mkuu mnatuambia chomeni chanjo, juzi Johnson Johnson, from juzi Chinese vaccine baada ya hii kuna ile ya Russia inawasubuli!.Mkuu kama colonel powel kafa kwa corona,, na hao ndo deep state,, nini kinakufanya usiamini ugonjwa upo?, Boris johnson nusra afe kwa corona, almanusra tu, kama hawa wenye dunia ndo wanakufa, unadhani kuna mtu kweli anafanya mizengwe?
Corona ipo, ni virus disease, hizi hazinaga tiba mara nyingi labda chanjo,
Hizi chanjo hazifanyi kazi kwa wazee sana na wenye underlined health issues,
Pia hizi chanjo waliziwahisha sana kuzi approve,
So kinga binafsi ya mtu ndo itamuokoa,,
Pilipili manga limao etc zinaongeza sana natural immunity agaisnt covid, kuliko hata hizi artificial immunities za chanjo kutoka ulaya[emoji23][emoji23]
Na ilisaidia kutuepusha na hayo magonjwa.alitupa ujasiri na kutokuwapa ugonjwa.yeye ni shujaaAlikuwa mbabe wa kuficha takwimu na magonjwa na hayo hayo ndio yalimwoondoa.
Ukimwi nao ni sintofahamu nyingine,sijui bado upo.Ukisikiliza stories za madaktari kuhusu jinsi wanavyolazimishwa kuripoti false data unapata picha tofauti kabisa.Mimi binafsi hata mgonjwa wa ukimwi sijawahi kumuona na nipo tangu 1983
Uwezi pata haki hapa duniani mkuu,hata Mungu tunayemsema anatenda haki,ukimzingua anakukatilia mbali, jaribu kusoma maneno yake,alafu uone waliopingana nae uone walichofanywa au watakachofanywa,Sembuse mwanadamu ambaye si mkamilifu;ishi kwa kufuata sheria na taratibu tulizojiwekea,hautaona usumbufu.Kwa maana kamili ya maneno yako, mwendazake ni mhusika #1 kwenye:
1. Lijenje kupotea
2. Azory kupotea
3. Ben kupotea
4. Lissu kushambuliwa
5. Watu kwenye viroba
6. Malaki kufa kwenye Corona
7. Nk.
Uthibitisho wako mkuu itasaidia sana kwenye tafutishi za haki.
Mtasema ni shujaa hata kwa kumpa Sabaya kiburi cha kufanya ujinga aliofanya.Na ilisaidia kutuepusha na hayo magonjwa.alitupa ujasiri na kutokuwapa ugonjwa.yeye ni shujaa
Wewe unashindwa kumuelewa jamaa.Anachosema ni kwamba,chanjo kazi yake ni kinga,sasa imekuwaje kachanjwa full mpaka booster bado kapata Corona?Hili ndilo swali lake.Kama una jibu mpe,kama huna come back to me,I will provide the answer.Mkuu kama colonel powel kafa kwa corona,, na hao ndo deep state,, nini kinakufanya usiamini ugonjwa upo?, Boris johnson nusra afe kwa corona, almanusra tu, kama hawa wenye dunia ndo wanakufa, unadhani kuna mtu kweli anafanya mizengwe?
Corona ipo, ni virus disease, hizi hazinaga tiba mara nyingi labda chanjo,
Hizi chanjo hazifanyi kazi kwa wazee sana na wenye underlined health issues,
Pia hizi chanjo waliziwahisha sana kuzi approve,
So kinga binafsi ya mtu ndo itamuokoa,,
Pilipili manga limao etc zinaongeza sana natural immunity agaisnt covid, kuliko hata hizi artificial immunities za chanjo kutoka ulaya[emoji23][emoji23]
Magufuli alisisitiza tuombe kwa mungu na kama ametupangia kufa kwa Corona, tutskufa tu[emoji23][emoji23],ulikua uamzi wa kijasiri kweri kweri[emoji847][emoji847]
Hayo ya sabaya ni mada nyingine.Mtasema ni shujaa hata kwa kumpa Sabaya kiburi cha kufanya ujinga aliofanya.
Unataka kusema nini? The best wa kuficha takwimu na kuacha watu wafe bila hatua zozote? Na yeye mwenyewe kafia hiyo hiyo, na unamwona "the best"! Watanzania tupo nyuma sana kifikra.Hayo ya sabaya ni mada nyingine.
Ila kwenye Corona "magufuli is the best"
Wewe unashindwa kumuelewa jamaa.Anachosema ni kwambaa,chanjo kazi take ni kings,sasa imekuwaje kachanjwa full mpaka booster bado kapata Corona?Hill ndilo swali lake.Kama una jibu mpe,kama huna come back to me,I will provide the answer.
Hayo ya sabaya ni mada nyingine.
Ila kwenye Corona "magufuli is the best"
Hata kama imemuondoa kama unavyoamini si ajabu ndio maana tumeshuhudia watu wengi tu waliyokuwa wanazingatia kujikinga na corona ila bado corona ndio ikawa ndio sababu za vifo vyao.Alijitahidi wakati ilimuondoa? Badala ya kufuata science inasemaje yeye akafuata ujinga? Ulifurahishwa na Kabudi kunyweshwa Ile mikojo mbele ya camera ili kumfurahisha bwana mkubwa? BTW Ile stock ya Madagascar ipo wapi Kwa sasa? Iligawiwa vipi? Ilisambazwa vipi? Akina nani walitumia? Maana takwimu za Jensen tunapewa kila siku, ni vyema tupewe na takwimu ya Ile kitu ya Kabudi, maana ni Kodi zetu zilitumika kuifuata
Alipo
Excuse my language