Hayati Magufuli alikamata kila mwenye akili ya kuhoji, alitaka kuongoza nchi ya Wajinga tu, Hata hivyo ilishindikana

Mada ni Jiwe na Tito Magoti , haihusiani na huo ujinga ulioandika
Kwa maarifa yako yote na ujuzi wako wote, cha ajabu huna cha kuandikwa chochote kama unavyomwandika JPM

Cha ajabu ni kwamba, mbali na kumsema sana JPM, cha ajabu mmeendelea kuwa wale wale mliokuwa na sifa za kijinga, wizi, ufisadi, wauza ngada, vilaza wa kununua vyeti na wanufaika kupitia watumishi hewa

Wajinga nyinyi, tulishawapuuza
 
Cha ajabu wameendelea kuwa wale wale waliokuw wakiugulia kwa sababu ya kuishi maisha ya kiuwongouwongo! JPM aliwakomesha
 
Mnang'ang'ana na marehemu Magufuli yanatusaidia nini? Sisi wananchi tangazeni sera zetu kama zina tija sio kumsema sema marehemu asiyewasikia wala kujibu subirini zamu yenu pia mtaondoka duniani
 
Andiko reeeeefu lakini uchafu mtupu
 
upotoshaji wa aina yoyote utabainishwa kinagaubaga ili ukweli uendelee kutamalaki dhidi imotinal scripts za kutengeneza ili kuhadaa wanainchi...

na kwa Neema na Baraka za Mungu amjaalie kila moja wetu ustahumilivu, upendo na moyo wa subra katika vipindi hivi muhumu sana kiimani vya kwaresma na ramadhan...
 
Mnang'ang'ana na marehemu Magufuli yanatusaidia nini? Sisi wananchi tangazeni sera zetu kama zina tija sio kumsema sema marehemu asiyewasikia wala kujibu subirini zamu yenu pia mtaondoka duniani
Tunang'ang'ana na awamu ya 5 , kumbuka aliyekufa kwenye awamu ile ni mmoja tu , kibao wako hai
 
Na hicho ndicho tulichoeleza wakati tunamalizia uzi huu , ila hatutakuwa na mswalie mtume , Wallah Wabhillah
 
Huwezi kumzushia mtu mwema kama Mbowe uongo na ukabaki salama
Usinitishe. Kwani hiyo picha hapo ni ya Uzushi? Mbowe hakufikishwa Mahakamani kwa Ugaidi?
Wema wake upi huo, mwenye wema anatafuta maridhiano ya kusamehewa?

Kwanini Mbowe mpaka leo asiende mahakamani kushitaki Serikali kwa aliyofanyiwa? Kama yana Ukweli?

Magufuli alikuwa katika vita na Wazungu. Big Corporations
Wakaleta Mamluki na ndio hao hapa Unaowaita 'Mungu'.

Ukweli ni kwamba Vibaraka wao na mawakala wao ndio hawa unaowatetea.

Wacheni hizi deflection kuwa ilikuwa Kwasababu ya hali ya Kidemokrasia. Sio Kweli
Semeni ilikuwa ni Kwasababu za Interest za Kiuchumi za Mabeberu na ndio maana mnashashabikia hizi psychological warfare ili watu waache kupigana vita za Kiuchumi.

Mbowe hata kuja kuwa Raisi wa Nchi hii. Labda afanye kama Zitto awe mbunge tu.
 
Kama una ujinga basi utaelimika kama una upumbavu can't help,hii mifano yote ni wajibu wa police kutolea maelezo,ni wajibu wa sitting president kulinda raia wake,mzee sumaye ni mwoga kama walivyo wengi ,tuhuma hizo zingekua msaada mkubwa kama angeziwakilisha police,kupotea kwa watanzania regardless tofauti zao za kiitikadi,bucket hii inaishia mlangoni mwa president office
 
Tunang'ang'ana na awamu ya 5 , kumbuka aliyekufa kwenye awamu ile ni mmoja tu , kibao wako hai
Hayo ni matusi makubwa kwa Familia nyingi sana hapa Nchini. Viongozi wengi walikufa wakati Hayat Rais alikuwa Raisi.

Na kwa kanuni zenu za Wana CHADEMA za akuanzae mmalize wengi wenu hamkumalizwa. Wewe endeleza tu Uhasama.
 
Na hicho ndicho tulichoeleza wakati tunamalizia uzi huu , ila hatutakuwa na mswalie mtume , Wallah Wabhillah
upotoshaji wa aina yoyote hautaachwa utarekebishwa na kukanushwa barabara bila mbabamba....
 
Shetani ametajwa kwenye vitabu vya Mungu tangu babu yako hajazaliwa na anaendelea kutajwa hadi leo
 
mwanzo uliuliza Saa 8 yuko wapi, nikakujibu na kukuongezea kwamba, ukifika kwa Wembo, umuulize pia Chachawangwe alimpeleka wapi?

Mbona unakuwa kituko ukiulizwa swali ambalo M/kiti wako anafahamu vema anakokuwa anawapeleka wanaotaka kuchukua kiti chake
 
Halafu tukimaliza tunaleta miaka 20 ya uongozi wa mbowe na viongozi wenzie waliopotea wakiwa ofisini pamoja!
 
Shetani ametajwa kwenye vitabu vya Mungu tangu babu yako hajazaliwa na anaendelea kutajwa hadi leo
Kuna wakati kwa sababu ya ujinga kujaa kichwani, kina sisi tunakuiteni ni wapuuzi tu

Wewe binti kumbe ni mpuuzi tupu, huna chochote ulichowahi kuisaidia hii nchi, wewe utaandikwa lini kama unavyoendelea kusherehesha jina la Magufuli?
 
Halafu tukimaliza tunaleta miaka 20 ya uongozi wa mbowe na viongozi wenzie waliopotea wakiwa ofisini pamoja!
Ukiweza kuweka ushahidi mwanana na ukiweka na sababu za Mkapa kumuchia kwa msamaha wa Rais Dereva Wa Chacha Wangwe aliyehukumiwa kwa kusababisha kifo basi tuko tayari kuchangia , Kumbuka makala za uharamia wa awamu ya 5 ndio kwanza zimeanza leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…