Hayati Magufuli alikamata kila mwenye akili ya kuhoji, alitaka kuongoza nchi ya Wajinga tu, Hata hivyo ilishindikana

Hayati Magufuli alikamata kila mwenye akili ya kuhoji, alitaka kuongoza nchi ya Wajinga tu, Hata hivyo ilishindikana

Kuna wakati kwa sababu ya ujinga kujaa kichwani, kina sisi tunakuiteni ni wapuuzi tu

Wewe binti kumbe ni mpuuzi tupu, huna chochote ulichowahi kuisaidia hii nchi, wewe utaandikwa lini kama unavyoendelea kusherehesha jina la Magufuli?
Mkuu mada umeielewa , jielekeze kwenye mada tu , rudia kusoma pale juu
 
Ukiweza kuweka ushahidi mwanana na ukiweka na sababu za Mkapa kumuchia kwa msamaha wa Rais Dereva Wa Chacha Wangwe aliyehukumiwa kwa kusababisha kifo basi tuko tayari kuchangia , Kumbuka makala za uharamia wa awamu ya 5 ndio kwanza zimeanza leo
M/kiti wako kwa sababu ya maridhiano na kwa sababu ya huruma ya kiongozi wa nchi, saa hii angekuwa ananyea ndoo kwa ugaidi
 
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .

Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE

Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano

View attachment 2933711

Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Shekhe Abubakar ameshakufuturu kwa style zote sasa unakuja kucheua alichokumwagia mana ulimpa blow job.
 
Ukiweza kuweka ushahidi mwanana na ukiweka na sababu za Mkapa kumuchia kwa msamaha wa Rais Dereva Wa Chacha Wangwe aliyehukumiwa kwa kusababisha kifo basi tuko tayari kuchangia , Kumbuka makala za uharamia wa awamu ya 5 ndio kwanza zimeanza leo
Kumbuka siku ya mazishi viongozi wa chadema walikimbizwa na mapanga hebu elezea ule mkasa!
 
Unasema kweli unamwambia Nani??? Jiwe yupo kaburini mwaka wa tatu sasa:Kumbukumbu yake imeshafutwa.Ni upuuz na ujinga kuongea kumwongelea, ubaya mtu asiyeweza, kukujibu.Alipokufa tuliona, maelfu ya, wananchi wakilia na we gine wakifariki. Kwann usimwongelee Mbowe, aliyewafanya nyinyi kuwa misukule wake? Ukiwa, mbunge lazima ukatwe million moja .
Ni kweli Jiwe hayupo na watu walimlilia na kuzimia

Katika_Historia:%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hakuu...jpg

Lakini Bashiru na Polepole bado wapo
 
Kumbuka siku ya mazishi viongozi wa chadema walikimbizwa na mapanga hebu elezea ule mkasa!
Mwandishi wa ITV George Malato alifungiwa kwa uongo ule na akapotea mazima kwa laana hadi leo

Umemsikia tena ? usicheze na Mungu wewe !
 
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .

Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE

Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano

View attachment 2933711

Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Erythrocyte,
Wewe ni libwabwa, yaani ni mjinga.. kujadili hayo ili yakusaidie Nini??

Ungesubiri miaka ya 2060 kama utafika ili uwadanganye wajukuu zako.
 
Erythrocyte,
Wewe ni libwabwa, yaani ni mjinga.. kujadili hayo ili yakusaidie Nini??

Ungesubiri miaka ya 2060 kama utafika ili uwadanganye wajukuu zako.
Usimalize matusi yote , kuna makala 20 kama hii zinakuja kuanzia kesho , sasa ukitukana matusi yote huko mbele utatukana nini ?
 
Back
Top Bottom