Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Mkuu mada umeielewa , jielekeze kwenye mada tu , rudia kusoma pale juuKuna wakati kwa sababu ya ujinga kujaa kichwani, kina sisi tunakuiteni ni wapuuzi tu
Wewe binti kumbe ni mpuuzi tupu, huna chochote ulichowahi kuisaidia hii nchi, wewe utaandikwa lini kama unavyoendelea kusherehesha jina la Magufuli?
M/kiti wako kwa sababu ya maridhiano na kwa sababu ya huruma ya kiongozi wa nchi, saa hii angekuwa ananyea ndoo kwa ugaidiUkiweza kuweka ushahidi mwanana na ukiweka na sababu za Mkapa kumuchia kwa msamaha wa Rais Dereva Wa Chacha Wangwe aliyehukumiwa kwa kusababisha kifo basi tuko tayari kuchangia , Kumbuka makala za uharamia wa awamu ya 5 ndio kwanza zimeanza leo
Mada ipi we kilaza na mtoa huduma wa mtandao?Mkuu mada umeielewa , jielekeze kwenye mada tu , rudia kusoma pale juu
Uko nje ya madaM/kiti wako kwa sababu ya maridhiano na kwa sababu ya huruma ya kiongozi wa nchi, saa hii angekuwa ananyea ndoo kwa ugaidi
Shekhe Abubakar ameshakufuturu kwa style zote sasa unakuja kucheua alichokumwagia mana ulimpa blow job.Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .
Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE
Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano
View attachment 2933711
Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Kwi Kwi KwiMada ipi we kilaza na mtoa huduma?
Kumbuka siku ya mazishi viongozi wa chadema walikimbizwa na mapanga hebu elezea ule mkasa!Ukiweza kuweka ushahidi mwanana na ukiweka na sababu za Mkapa kumuchia kwa msamaha wa Rais Dereva Wa Chacha Wangwe aliyehukumiwa kwa kusababisha kifo basi tuko tayari kuchangia , Kumbuka makala za uharamia wa awamu ya 5 ndio kwanza zimeanza leo
Eh huduma gn tena huyu mrembo Erythrocyte anatoa, kama ni huduma ya kutoa kijambio aseme tumuunge mkono kwenye huduma yakeMada ipi we kilaza na mtoa huduma?
Ni kweli Jiwe hayupo na watu walimlilia na kuzimiaUnasema kweli unamwambia Nani??? Jiwe yupo kaburini mwaka wa tatu sasa:Kumbukumbu yake imeshafutwa.Ni upuuz na ujinga kuongea kumwongelea, ubaya mtu asiyeweza, kukujibu.Alipokufa tuliona, maelfu ya, wananchi wakilia na we gine wakifariki. Kwann usimwongelee Mbowe, aliyewafanya nyinyi kuwa misukule wake? Ukiwa, mbunge lazima ukatwe million moja .
Waulize warembo wa ChademaEh huduma gn tena huyu mrembo Erythrocyte anatoa, kama ni huduma ya kutoa kijambio aseme tumuunge mkono kwenye huduma yake
Mwandishi wa ITV George Malato alifungiwa kwa uongo ule na akapotea mazima kwa laana hadi leoKumbuka siku ya mazishi viongozi wa chadema walikimbizwa na mapanga hebu elezea ule mkasa!
Erythrocyte,Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .
Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE
Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano
View attachment 2933711
Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Nilikuwa nakuona wa maana kiasi, kumbe huna ukiasi wowoteMwandishi wa ITV George Malato alifungiwa kwa uongo ule na akapotea mazima kwa laana hadi leo
Umemsikia tena ? usicheze na Mungu wewe !
Usimalize matusi yote , kuna makala 20 kama hii zinakuja kuanzia kesho , sasa ukitukana matusi yote huko mbele utatukana nini ?Erythrocyte,
Wewe ni libwabwa, yaani ni mjinga.. kujadili hayo ili yakusaidie Nini??
Ungesubiri miaka ya 2060 kama utafika ili uwadanganye wajukuu zako.
nakubali kamanda nakubaliNdio tunachotaka hicho , sisi tumeahidi ukweli mtupu , ukiweza kuukanusha kwa ushahidi kanusha
Kiongozi wa upinzani aliyeshiriki mazishi ni mrema tu kwanini sio chadema tuanzie hapo halafu tuingie kwa mlinzi wa dkt slaa kujeruhiwa na red bridged chumba cha siri!Mwandishi wa ITV George Malato alifungiwa kwa uongo ule na akapotea mazima kwa laana hadi leo
Umemsikia tena ? usicheze na Mungu wewe !
Uchafu uko Chadema 🐼Mmekataa Maridhiano ambayo yangeweka mambo haya vizuri sana , sasa nyamazeni tuanike uchafu wote hadharani , ili uchafu huu usirudiwe tena kwenye nchi hii , NEVER AND NEVER AGAIN
Hapo kuna chuki yoyote? Na usikute siku ya siku anakuwa wife, haya maisha bhana achana nayo mkuuukemweleza ukweli, kwa upendo bila dhihaka unapungukiwa nini kamanda