Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Dahh... Magu licha ya maovu yake mengii.. Kwa hili.. Hapana jamani.
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Sitaki kuamini zile hela zilizokuwa zikigawiwa kwenye msafara ni mtunda ya general magirini eeti!?
 
Inaonekana hujamsoma na kumwelewa mleta mada...

Kama unamaanisha ukisemacho hapa, basi ina maana Sabaya - DC wa Magufuli huko Hai wakati huo alimchukia sana JPM...!!
Unajichanganya try to be sober wakati unasoma
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
EeenHeeee, unanikumbusha majibishano kati yangu na wewe na Jidu kuhusu neno nililotumia la "Ulaghai" kumwelezea Magufuli!

Nyinyi ni watu wa ajabu sana!
 
Inaonekana ni kweli, ndio maana Sabaya licha ya kurekodiwa na camera akivamia maeneo ya watu na silaha mkononi, lakini hakuwahi kuwa na hofu yoyote na hilo.

Hili linathibitisha kweli alikuwa anatumwa akijua ana ulinzi wa kutosha upande wake, ndio maana siku ya kumuaga Magufuli jamaa alilia kama mtoto akijua fika mwisho wake umewadia.

Lakini pia hili linazidi kuthibitisha yale madai kuwa utawala wa Magufuli ulikuwa unaichukia mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, huu unyama uliokuwa unafanywa na Sabaya, akitanguliwa na Mnyeti mikoa hiyo, haukuwahi kuonekana ukifanywa mikoa mingine Tanzania.
Na je serikali ya awam sita , kwamba walimfunga Sabaya ili kumdhalilisha Maghufuli?? Twende tu
 
Huyu hakuwa na chochote cha kufanya awe special Kwa aliyemtuma..kosa la uhalifu haliondoki Kwa kuwa katumwa na mamlaka..Sheria inakata kote na hakuna aliye juu ya Sheria tz...Hii issue ya sabaya itachochea madai ya katiba mpya...tena Sanaa..huu ni Moto..
Uhalifu gani alioufanya? Polisi akienda kukamata mtuhumiwa anafanya uhalifu? Hebu tusubiri mahakama ifanye kazi yake tusiwe wepesi wa kuhukumu masuala tusiyoyajua kwa kufuata mkumbo. Ndo yale yale mtu anatuhumiwa kwa ugaidi wengine wanaandamana mahakamani kupinga.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Na wengi tuna toa maoni bila kusoma alichosema ni kweli sijaona akisema alitumwa kufanya uhalifu bali kufuatilia watengeza fedha za bandia ambao kimsingi ni wahujumu uchumi na ndio maana wahusika walio tajwa ni waziri wa fedha na gavana
Chadema hawajui kuelewa , wanakukuruka kama kuku mwenye kideri😎
 
Na wamepukutika sana. Ndani ya miezi 6 ikulu imekuwa kama Kiyama. bado wengi sana
Bado mama aetunyonya na tozo. Hali ngumu kila kitu bei juu, Mafuta ya kupikia imekua Almasi halafu anadiriki kudanganya dunia kuwa tumekubali tozo. Alaaniwe.
 
Hivi kila mtu akisemacho kwa mbaya wako huwa unakiamini na kukikomalia? Tunajua mlimchukia JPM.
Hata Sabaya naye alikuwa akimchukia JPM?Ficha aibu yako,Sabaya kawafunua msikopenda tusikie.CCM mtasema Sabaya anatumiwa na mabeberu na CDM.
Wasivyokuwa na haya wametajana ila bado watu Jumatatu ndani ya VX 8,4×4 Kali kuelekea ofisini.Hawafahamu kuwajibika,hizo allegations ni kubwa!
Tunadai Katiba ya Wananchi.
 
Bado mama aetunyonya na tozo. Hali ngumu kila kitu bei juu, Mafuta ya kupikia imekua Almasi halafu anadiriki kudanganya dunia kuwa tumekubali tozo. Alaaniwe.
Hahaha changia maendeleo ya nchi yako ili matapeli ccm waneemeke.
 
Hata Sabaya naye alikuwa akimchukia JPM?Ficha aibu yako,Sabaya kawafunua msikopenda tusikie.CCM mtasema Sabaya anatumiwa na mabeberu na CDM.
Wasivyokuwa na haya wametajana ila bado watu Jumatatu ndani ya VX 8,4×4 Kali kuelekea ofisini.Hawafahamu kuwajibika,hizo allegations ni kubwa!
Tunadai Katiba ya Wananchi.
Sijui watasemaje
 
Hata Sabaya naye alikuwa akimchukia JPM?Ficha aibu yako,Sabaya kawafunua msikopenda tusikie.CCM mtasema Sabaya anatumiwa na mabeberu na CDM.
Wasivyokuwa na haya wametajana ila bado watu Jumatatu ndani ya VX 8,4×4 Kali kuelekea ofisini.Hawafahamu kuwajibika,hizo allegations ni kubwa!
Tunadai Katiba ya Wananchi.
Unategemea Sabaya angejiteteaje? Hivi inaingia akilini Rais wa nchi amtume mtu aombe rushwa? Kosa la Sabaya si kukamata, kosa ni kudai rushwa bwashee
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".

jiwe alikuwa mhuni kama wahuni wengine
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Unadhani tunaosema magufuli alitaka kumuua lisu mungu akagoma akamuua yeye kwa Moto tunakosea?
 
Polisi, TAKUKURU, TRA wana kazi gani?
Rais amtume DC, tena nje ya Wilaya yake wakati ana vyombo vya kisheria?
Kuna namna hapo.
Mpuuzi kweli wewe Sasa unadhani sabaya ni mjinga kumtaja marehemu wenu
 
Back
Top Bottom