Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Niliposikia utetezi wa mkuu wa wilaya SABAYA sikuamini masikio yangu ,hivi Ni kweli awamu ya tano tulikuwa na IGP,mkuu wa majeshi JWTZ,mkurugenzi wa usalama wa Taifa,WAZIRI MKUU,JAJI MKUU,SPIKA ? Kama sabaya aliyafanya hayo kwa kujiamini bila kukemewa leo hao watu tajwa hapo juu wanafanya Nini katika ofisi za umma? Wote wanapaswa kujiuzulu kwa kutaka,kushauri na hata kulazimishwa, haiwezekani raia wafanyiwe vitendo dhalimu kiasi hicho Kisha sabaya aonekane shujaa.

Hakimu wa kesi hii SABAYA ameshakiri kufanya kosa Haina maana yoyote kuendelea na kesi hii fanya kulingana na SHERIA itakavyo.

Mbowe aliwahi kumuuliza waziri MKUU "kwa Nini mmetuletea mkuu wa wilaya muhuni? Kasim alimjibu kuwa Kama mkuu wa wilaya Ni muhuni basi aliyemteua yupo hivyo.

Inauma Sana kuona tuhumu zinaenda kwa makamu wa Rais na Gavana wa fedha huku bado wapo kwenye ofisi za umma,Hawa wanapaswa kuondoka ofisini.
 
Kama kihongosi akiwa uvccm Iringa akatamka na ushahidi unaishi youtube hadi leo kwamba atamuua zito baada tu ya kauli hio kesho akapewa uDC,rejea kauli ya heri james watamuuwa Lisu kwa sumu,rejea mwita waitara ukikutana na mpinzani gizani mmalize, rejea za chalamila,hapi, gambo tena za kujirudia rudia kwann tusiamini ni maagizo.
Salute...
 
Niliposikia utetezi wa mkuu wa wilaya SABAYA sikuamini masikio yangu ,hivi Ni kweli awamu ya tano tulikuwa na IGP,mkuu wa majeshi JWTZ,mkurugenzi wa usalama wa Taifa,WAZIRI MKUU,JAJI MKUU,SPIKA ? Kama sabaya aliyafanya hayo kwa kujiamini bila kukemewa leo hao watu tajwa hapo juu wanafanya Nini katika ofisi za umma? Wote wanapaswa kujiuzulu kwa kutaka,kushauri na hata kulazimishwa, haiwezekani raia wafanyiwe vitendo dhalimu kiasi hicho Kisha sabaya aonekane shujaa.

Hakimu wa kesi hii SABAYA ameshakiri kufanya kosa Haina maana yoyote kuendelea na kesi hii fanya kulingana na SHERIA itakavyo.

Mbowe aliwahi kumuuliza waziri MKUU "kwa Nini mmetuletea mkuu wa wilaya muhuni? Kasim alimjibu kuwa Kama mkuu wa wilaya Ni muhuni basi aliyemteua yupo hivyo.

Inauma Sana kuona tuhumu zinaenda kwa makamu wa Rais na Gavana wa fedha huku bado wapo kwenye ofisi za umma,Hawa wanapaswa kuondoka ofisini.
Tulianza kutengeneza a GANGSTER REPUBLIC lakini Mungu anatupenda.
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Tena uhalifu wa kishetani. Hebu fikiria uhalifu alofanya wa kudukua mawasiliano ya watu, kuchukua hela ktk acc za watu, kufunga biashara za watu, kina saa nane,azroy, na viroba mto ruvu ni uhalifu wa kishetani huo syo wa kibinadamu
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
ulikua hujui
 
Inaonekana ni kweli, ndio maana Sabaya licha ya kurekodiwa na camera akivamia maeneo ya watu na silaha mkononi, lakini hakuwahi kuwa na hofu yoyote na hilo.

Hili linathibitisha kweli alikuwa anatumwa akijua ana ulinzi wa kutosha upande wake, ndio maana siku ya kumuaga Magufuli jamaa alilia kama mtoto akijua fika mwisho wake umewadia.

Lakini pia hili linazidi kuthibitisha yale madai kuwa utawala wa Magufuli ulikuwa unaichukia mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, huu unyama uliokuwa unafanywa na Sabaya, akitanguliwa na Mnyeti mikoa hiyo, haukuwahi kuonekana ukifanywa mikoa mingine Tanzania.
Maduka ya fedha za kigeni arusha na kilimanjaro alichukua fedha zote hadi wafanyabiashara wengine walipata stroke. Ni ushetani tu, na hizo hela zilipelekwa CHATNA
 
Inaonekana ni kweli, ndio maana Sabaya licha ya kurekodiwa na camera akivamia maeneo ya watu na silaha mkononi, lakini hakuwahi kuwa na hofu yoyote na hilo.

Hili linathibitisha kweli alikuwa anatumwa akijua ana ulinzi wa kutosha upande wake, ndio maana siku ya kumuaga Magufuli jamaa alilia kama mtoto akijua fika mwisho wake umewadia.

Lakini pia hili linazidi kuthibitisha yale madai kuwa utawala wa Magufuli ulikuwa unaichukia mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, huu unyama uliokuwa unafanywa na Sabaya, akitanguliwa na Mnyeti mikoa hiyo, haukuwahi kuonekana ukifanywa mikoa mingine Tanzania.
Lile lizee nililichukia sana maana najua lilikuwa libaguzi na lenye roho ya kishetani
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Akihojiwa Kihongosi, Chalamila, ailyekua RC Iringa, etc wote watamtaja Makufuli
 
Ni jukumu letu kuendelea kuwaelimisha ili waijue na kuiamini kweli.
Mbona mnataka kuaminisha uongo kuwa ndio ukweli?
Sabaya kasema bila kumung'unya kuwa uhalifu alioufanya alitumwa na Magufuli.
Huo ndio ukweli wa mahakamani.
Sasa ninyi mliomsaidia kutekeleza hilo Sabaya tuelezeni ukweli wenu.
 
Si jambo la kuuliza,refer Bashite pale clouds. Me nasema hivi Mungu yupo,na waliofanya uhalifu wa lissu malipo yaja
 
Yule mwehu huko aliko ni mwendo wa mateso dakika 99, mapumziko dakika 1.
Tulimuonya sana hakusikia akakubali kuabudiwa na wapumbavu wenzake
 
Mbona mnataka kuaminisha uongo kuwa ndio ukweli?
Sabaya kasema bila kumung'unya kuwa uhalifu alioufanya alitumwa na Magufuli.
Huo ndio ukweli wa mahakamani.
Sasa ninyi mliomsaidia kutekeleza hilo Sabaya tuelezeni ukweli wenu.
Hakuna anayepinga kuwa alitumwa na JPM ila aliyoyafanya ya kuiba pesa na kuwekea watu midomoni bastola hayo ni yake, hakuambiwa achukue rushwa dogo come to your senses
 
Back
Top Bottom