Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Hayati Magufuli alikuwa akielekeza vitendo vya kihalifu?

Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Wakiambiwa katiba mpya wengine bado hawaelewi maana yake.au Maana ya never and never again.
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Kosa kubwa ilikuwa kumpa mtu mwenye kichaa uongozi wa nchi. Kikwete anahusika kwa uharibifu huu
 
Ni mpuuzi tu anayeweza kubeza kazi ya JPM aliyoifanyia nchi hii
Kazi nzuri zote alizofanya alilipwa accordingly. Sasa ule uhalifu uliofanywa na subordinates, na yeye akaufumbia macho, Ni dhahiri naye alikuwa mhalifu. Mungu mwenye haki amlipe kadiri ya matendo aliyowatendea binadamu wenzake.
 
Ni mpuuzi tu anayeweza kubeza kazi ya JPM aliyoifanyia nchi hii
Hata Hitler, Idi Amini na Bokassa hatubezi kazi zao njema. tunalaani matendo ya kihalifu waliyoyafanya. Meko anahusika na uhalifu wa Sabaya na Makonda. Watu wameumizwa sana na watu wasiojulikana kwa maagizo yake.
 
Yes Sabaya ameutangazia ulimwengu kuwa Rais Magufuli alikua mshirika wake mkuu wa matendo yote ya kijambazi aliyokua anafanya.
Pamoja na uharamia wote alioufanya lakini selikalikali haimjui Kama gaidi lakini akitokea mtu kumbambana kwa maslahi ya nchi huyo ndio gaidi[emoji2][emoji3][emoji28]
 
Uelewa wa watu unatofautiana

Sabaya anatuhumiwa kufanya kosa katika siku fulani yeye ndio amesema hiyo siku hakuwepo maana siku hiyo kuna kazi maalumu alitumwa na raisi ili kuwa nje ya hilo eneo na akawataja viongozi wengine ambao pia wanajua kuwa siku hiyo alikuwa wapi

Sasa hawa wanaosema kuwa Sebaya alitumwa na raisi akafanye uhalifu ni kwamba hawakuelewa kilichosemwa au chuki zao tu ndio zinawasumbua
 
"Hakuna hakimu yeyeto wa kunifunga nchini labda magu afe"
Mungu kasikia kilio chake bilioni 7.5 zinatakiwa.
Leo
"Watanzania mniombee napitia kipindi kigumu sana"
 
Uelewa wa watu unatofautiana

Sabaya anatuhumiwa kufanya kosa katika siku fulani yeye ndio amesema hiyo siku hakuwepo maana siku hiyo kuna kazi maalumu alitumwa na raisi ili kuwa nje ya hilo eneo na akawataja viongozi wengine ambao pia wanajua kuwa siku hiyo alikuwa wapi

Sasa hawa wanaosema kuwa Sebaya alitumwa na raisi akafanye uhalifu ni kwamba hawakuelewa kilichosemwa au chuki zao tu ndio zinawasumbua
We ndo ujaelewa.
 
Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.

Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.

Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Hahahah endeleeni tu kujitungia tamthiliya. ..Magufuli tunachojua alifanya haya hapa
Sasa tumwangalie huyu sifa Zale
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya monster huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .laolilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda
 
Dikteta atakumbukwa na wapumbavu tu
Sawa kama sisi watanzania ni wapumbavu tutamkumbuka JPM milele kwa kazi hizi
Sasa tumwangalie
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
9)ameweza kuleta nidhamu ya Hali ya juu katika utumishi WA Uma.
10)amepambana na mafisadi na wakwepa kodi na walinyooka. .Hao Sasa waliishi kama mashetani tu. Na wanyonge SAS waliishi kama malaika peponi
11)upande WA madini Ndio usiseme. .Tanzanite ukuta ukajengwa Mere rani
12)Gold na mengineyo mikataba ikafungwa na kutngenezwa upya kwa faida ya wote. .win win situation
13)mabepari wale WA madini walinywea na ku bow down kwa JPM
14) elimu Bure primary to secondary
15)hivi ni wapi hakugusa. ..taja mengine meeeengi mnayajua aliyofanya huyu mzalendo. .na alikuwa akisaidiwa na mama Samia. .lao lilikuwa Moja. So msimchukulie poa mama oooooh. ...
Wakati mnaongea tafadhali muwe mnatukumbusha na mazuri haya ambayo ameyafanya. .na nikwambie watanzania walimkubali asilimia 95...na itikadi yake JPM tayari ipo katika mioyo ya watanzania wote karibu. .na wanamkumbuka sana...kuifuta hiyo sio leo jomba. Na wewe huwajui watanzania vizuri. ..nenda kule
 
Sawa kama sisi watanzania ni wapumbavu tutamkumbuka JPM milele kwa kazi hi xi
Sasa tumwangalie huyu Monster sifa Zale
1)aliweza kununua midege 11 ndani ya miaka 5
2)ameweza kujenga meli kubwa Lila Zima
3)ameweza kujenga vivuko vikubwa zaidi ya 10 kila eneo lenye shiva
4)ameweza kuongeza bajeti ya afya kufikia bilion 260 kwa mwaka kutoka bilion 20
5)ameweza kuongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kufikia bilioni 250 kutoka bilioni 30 kwa mwaka
6)ameweza kuondoa watumishi hewa zaidi ya 50000..watumishi
7)ameweza kubaini vyeti feki zaidi ya 30000 watumishi
8) amejenga mabarabara lukuki ma flyovers kupanua barabara nyingi kwa mbinu zake mfano Morocco mwenge
Ngosha, yaelekea mnawashwa sana!
 
Back
Top Bottom