Sabaya hakutumwa na JPM afanye uhalifu. Sabaya anatumia jina la Masiha vibayaSabaya kutumwa na Mungu Mtu kufanya hayo anayotuhumiwa
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabaya hakutumwa na JPM afanye uhalifu. Sabaya anatumia jina la Masiha vibayaSabaya kutumwa na Mungu Mtu kufanya hayo anayotuhumiwa
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Injinia wa uhalifu alikuwa yeye.Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Na wamepukutika sana. Ndani ya miezi 6 ikulu imekuwa kama Kiyama. bado wengi sanaUnyama, Ukatili na ufedhuli waliofanyiwa Wafanyabiashara wenye asili ya kiasia na Mashariki ya kati waliopo Dar haujawahi kufanyika kabisa
Watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakashtaki kwa Hakimu asie na upendeleo na Majibu yakatoka kwa wakati
1983 ilipita dhulma mbaya sana watu wakavamiwa mjini wakaporwa mali zao fedha zao kwa kigezo cha uhujumu uchumi, watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakalia kwa Mtenda haki Mkuu …less than 12 months later ajali ikatokea 'Goli likasawazishwa'
Tuache Dhulma…dhulma ni mbaya sana inaangamiza hadi kizazi…
kuna Mwingine kizazi chake kimejaa Vichaa kwa sababu ya dhulma aliyowafanyia watu…
kuna mwingine alikuwa Mwamba kichizi kuonea watu akitamba chezea Ndevu usichezee Serikali lakin leo hii hata choo cha chumbani kwake hawezi kukalia sink bila ya kushikwa Mkono na kukalishwa
Mafundisho ya kiislam yanatufundisha Dhambi ya Dhulma toba yake inaanza kwa kutaka msamaha kwa uliemdhulumu kabla ya kuomba kwa Mola wake, imagine umedhulumu uhai wa mtu hapo unamuombaje msamaha
Siku Sabaya anakamatwa alisema utafika wakati atamtaja anayeendesha karakana ya ibilisi na hatimaye kweli jana kamtaja. Hata waliompiga risasi Tundu Lissu walitumwa na mamlaka ya uteuzi.Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Iko wazi alikuwa anawatuma, ubaya tu waluotumwa hawakujua kuwa wanatakiwa kutenda yote kwa mujibu wa kanuni, sheria na taratibu.Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
.Huko aliko amemsikia sabaya na anatamani kuja kumruka ila amefungiwa kwenye pipa lililoning'inizwa juu na chini kuna moto
Mara ngapi mkuu? Siku Sabaya anakamatwa alisema utafika wakati atamtaja anayeendesha karakana ya ibilisi na hatimaye kweli jana kamtaja.Naamini iko siku tutawajua waliomshambulia Lissu
Mbowe katumwa na nani kuwa gaidi?Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
So what?Kulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".
Nadhani hujui uongozi ulivyo. Kuna wakati siyo kila jambo unaweza kulifanya kwa kutumia watu au vyombo vilivyopo katika eneo husika kwa ajili ya kulinda usiri.alikua anatumwa kuwakamata wahalifu yeye kama nani??alikua polisi au arusha hakukuwa na polisi wa kukamata wahalifu??....hivi hii nchi tumefika huku kweli??kwamba mkuu wa wilaya anatoka mkoa wake anaenda mkoa mwingine kupiga watu!!...Mungu alitufanyia neema kubwa kumtoa yule mtu duniani....maana kwa namna hii tungeisha...Mungu anaipenda sana tz..
Karma ipo, na inafanya kazi!Unyama, Ukatili na ufedhuli waliofanyiwa Wafanyabiashara wenye asili ya kiasia na Mashariki ya kati waliopo Dar haujawahi kufanyika kabisa
Watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakashtaki kwa Hakimu asie na upendeleo na Majibu yakatoka kwa wakati
1983 ilipita dhulma mbaya sana watu wakavamiwa mjini wakaporwa mali zao fedha zao kwa kigezo cha uhujumu uchumi, watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakalia kwa Mtenda haki Mkuu …less than 12 months later ajali ikatokea 'Goli likasawazishwa'
Tuache Dhulma…dhulma ni mbaya sana inaangamiza hadi kizazi…
kuna Mwingine kizazi chake kimejaa Vichaa kwa sababu ya dhulma aliyowafanyia watu…
kuna mwingine alikuwa Mwamba kichizi kuonea watu akitamba chezea Ndevu usichezee Serikali lakin leo hii hata choo cha chumbani kwake hawezi kukalia sink bila ya kushikwa Mkono na kukalishwa
Mafundisho ya kiislam yanatufundisha Dhambi ya Dhulma toba yake inaanza kwa kutaka msamaha kwa uliemdhulumu kabla ya kuomba kwa Mola wake, imagine umedhulumu uhai wa mtu hapo unamuombaje msamaha
Sasa wenye kazi zao wamemshitaki Sabaya.Nadhani hujui uongozi ulivyo. Kuna wakati siyo kila jambo unaweza kulifanya kwa kutumia watu au vyombo vilivyopo katika eneo husika kwa ajili ya kulinda usiri.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Namna ipo ndiyo. Kama kuna TAKUKURU, TRA, na Polisi kwanini hao watu walikua hawakamatwi siku zote? Ndo ujue kuna kitu kilikua kinaendelea ndo maana akatumwa Sabaya.Polisi, TAKUKURU, TRA wana kazi gani?
Rais amtume DC, tena nje ya Wilaya yake wakati ana vyombo vya kisheria?
Kuna namna hapo.
Kutokujua kwako utaalamu alionao Sabaya hakumfanyi yeye kutojua kazi yake na ndo maana aliaminiwa na aliemteua kumkabidhi majukumu mengine.Anatumwa kwa utaalamu gani alionao?
Sabaya is a common criminal!
Utaalamu wa utesaji , kuiba na dhuluma?Kutokujua kwako utaalamu alionao Sabaya hakumfanyi yeye kutojua kazi yake na ndo maana aliaminiwa na aliemteua kumkabidhi majukumu mengine.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Asante sana bro.Unyama, Ukatili na ufedhuli waliofanyiwa Wafanyabiashara wenye asili ya kiasia na Mashariki ya kati waliopo Dar haujawahi kufanyika kabisa
Watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakashtaki kwa Hakimu asie na upendeleo na Majibu yakatoka kwa wakati
1983 ilipita dhulma mbaya sana watu wakavamiwa mjini wakaporwa mali zao fedha zao kwa kigezo cha uhujumu uchumi, watu walirudi kwenye 'Mkeka' wakalia kwa Mtenda haki Mkuu …less than 12 months later ajali ikatokea 'Goli likasawazishwa'
Tuache Dhulma…dhulma ni mbaya sana inaangamiza hadi kizazi…
kuna Mwingine kizazi chake kimejaa Vichaa kwa sababu ya dhulma aliyowafanyia watu…
kuna mwingine alikuwa Mwamba kichizi kuonea watu akitamba chezea Ndevu usichezee Serikali lakin leo hii hata choo cha chumbani kwake hawezi kukalia sink bila ya kushikwa Mkono na kukalishwa
Mafundisho ya kiislam yanatufundisha Dhambi ya Dhulma toba yake inaanza kwa kutaka msamaha kwa uliemdhulumu kabla ya kuomba kwa Mola wake, imagine umedhulumu uhai wa mtu hapo unamuombaje msamaha
Ila tatizo ni hii Katiba inawakinga wasishtakiweItabidi afukuliwe aje kutoa ushahidi kizimbani.
Huyu hakuwa na chochote cha kufanya awe special Kwa aliyemtuma..kosa la uhalifu haliondoki Kwa kuwa katumwa na mamlaka..Sheria inakata kote na hakuna aliye juu ya Sheria tz...Hii issue ya sabaya itachochea madai ya katiba mpya...tena Sanaa..huu ni Moto..Nadhani hujui uongozi ulivyo. Kuna wakati siyo kila jambo unaweza kulifanya kwa kutumia watu au vyombo vilivyopo katika eneo husika kwa ajili ya kulinda usiri.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Inaonekana hujamsoma na kumwelewa mleta mada...Hivi kila mtu akisemacho kwa mbaya wako huwa unakiamini na kukikomalia? Tunajua mlimchukia JPM.
KabisaKulingana na tunayosikia katika utetezi wa Ole Sabaya huko Arusha, ati alikuwa akiagizwa kufanya vitendo vya kihalifu na Rais Magufuli.
Kama itathibitishwa kuwa ni kweli basi hili linatoa picha ya uvunjifu mkubwa wa sheria uliokuwa ukitekelezwa na Magufuli katika Awamu yake.
Kuna minong'ono mingi ya uhalifu uliofanywa Awamu ya Tano kwa maelekezo "toka juu".