Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Ungeandika alipokuwa hai ungepata misuko suko sana. Ingawa umeongea ukweli kulingana na mimi
Nimeishia hapa kusoma comments,Huko pengine sina Uelewa Napo Sana
Ila kwenye dini Mara nyingi alikuwa akipotosha.
Viongozi wote wa dini waliozidisha unafiki waondolewe.
Kuna yule Mufti aliyesema Bwana Yesu asifiwe sijui Kwa nini Waislam hawamuondoi.
HAYATTI MAGUFULI ALIKUWA NA UELEWA MDOGO WA MASUALA YA DINI, ASILAUMIWE.
Na, Robert Heriel.
Leo kijiweni kuna mada Moto ilikuwa ikiendelea inayohusu masuala ya UVAAJI WA BARAKOA, baadhi ya wachangiaji wa mada walimtumia zaidi Hayati Magufuli katika kutetea hoja zao kuwa hakuna ulazima wa kuvaa Barakoa, isipokuwa kumwomba Mungu pekee inatosha.
Vijana hawa niligundua wamepata elimu hiyo kutoka kwenye hotuba alizokuwa akizitoa Mzee wetu, Hayatti.
Hicho ndicho kimenifanya niandike andiko hili.
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa, Hayati Magufuli kutokana na Hotuba zake alizokuwa akizitoa na matamshi yake, nachelea kusema Hakuwa na Uelewa, Elimu, ujuzi na maarifa ya mambo ya kiroho, Magufuli Hakuwa anaujua vizuri dini licha ya kuwa alikuwa akipenda Sana kumtaja mwenyezi MUNGU.
Na mtu yeyote ambaye anaufahamu mdogo, ujuzi hafifu, Uelewa Finyu na Elimu duni ya Kidini na Kiroho basi lazima mtu huyo awe Mpotoshaji.
Hii ni kusema Hayati alikuwa Mpotoshaji hasa wa masuala ya kiroho kwani Hakuwa na Uelewa mkubwa wa mambo hayo.
Sio ajabu ndio maana alikuwa akiwanyamba baadhi ya viongozi WA dini waliokuwa wakivaa Barakoa mpaka Kanisani. Tena alikuwa akiwadhihaki na kuwakejeli Jambo ambalo Kama angejua walau hata robo ya elimu ya Dini au mambo ya kiroho asingefanya hivyo.
Andiko hili limekusudia kuwaonya Wale wote waliokuwa wakimuamini Magufuli hasa kwenye kukataza matumizi ya Barakoa au Chanjo Kwa kutumia mgongo wa Kidini ati wamtegemee Mungu. Acheni Fikra hizo, huyo uliyemuamini Hakuwa na elimu ya Kidini wala kiroho.
Mungu hategemewi na wajinga, Mungu hategemewi na watu wasiomfahamu, wasiomjua, wasio na Uelewa naye, wasio na elimu yake, wasio na maarifa naye, Mungu hawezi kutegemewa na watu wa namna hiyo.
Neno la Mungu kasema; MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI
Pia linaongeza kuwa Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Kisha unaeleza pia, ya kaisari mpe kaisari; ya Mungu mpe Mungu.
Magufuli anaweza kuwa Bora kwenye Maeneo mengi tuu ambayo nilishawahi kuyaeleza lakini haimuondolei udhaifu wake wa kutokujua Elimu ya Kidini na Kiroho ambao huo ni udhaifu.
Hivyo Wale mnaofuata mafundisho yake na falsafa yake ya kutokuvaa Barakoa Kwa kutumia VIGEZO vya kiimani, VIGEZO vya Kidini mkae mkijua Mzee alikuwa anaelimu duni ya Kidini na Uelewa hafifu.
Hivyo msije mkaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Pia nitoe onyo Kwa viongozi wengine wakisiasa, Kama huna elimu ya Jambo Fulani msipende kujifanya mnazielezea elimu msizozijua vyema, mnaathiri jamii.
Robert Herieli
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Nimeishia hapa kusoma comments,
Hapa kidogo umetoka nje ya mada yako nzuri, Kwa mtazamo wangu.
Mkuu andiko lako nimelipenda.Marehemu alitumia muda wake mwingi kuwapumbaza watu. Na wajinga aliwaokota hasa. Aliwadanganya watu:
1) kuhusu makinikia. Kwa mwenye uelewa wa sekta hii, alichokuwa akiongea marehemu ilikiwa ni uwongo na ujinga wa hali ya juu
2) kuhusu gas. Eti imeuzwa kwa wachina, na wajinga wakaamini
3) kuhusu uchumi, eti tupo vizuri, wakati kwenye vigezo vyote tulianguka wakati wa utawala wake
4) kuhusu matajiri, eti wote ni mafisadi na majizi
5) kuhusu uwekezaji kwenye LNG, hakueleza jinsi alivyoharibu mpaka wawekezaji kuamua kuondoka na kwenda kuwekeza Mozambique. Aliwatumia maofisa mbalimbali kutaka warudi, wakamgomea, na kumweleza kuwa watafikiria kurudi baada ya miaka mitano
6) kuhusu Barrick, hakueleza ukweli jinsi alivyorudi na kuwapigia magoti, na kuwakubalia matakwa yao ikiwemo kutumia mahakama za kimataifa badala ya mahakama za ndani alizokuwa amezinajisi
7) kuhusu masuala ya kiimani, hakuwa na uelewa hata wa ABC. Hakujua jinsi Mungu alivyomwambia Nuhu atengeneze safina. Je, Nuhu asingetengeneza safina, badala yake asubirie muujiza wa Mungu, angepona? Wala hakujiuliza ni kwa nini Bwana wetu Yesu alivyoambiwa na shetani ajirushe toka juu, naye akagoma. Hakujiuliza, kwa nini Waisrael ili kujikomboa, Mungu aliwaambia waondoke usiku, watembee na fimbo zao mikononi. Kama wangeamua kukaa pale pale kwa Wamisri, wangepona? Hakujua kuwa Mungu ametuumba tufanye kazi ili kujiokoa, ili kupata mahitaji yetu ya kila siku, naye huweka baraka na miujiza katika zile jitihada zetu.
Hii mada yako ingekuwa na maana sana kama ungalidadavua ni kitu gani Magufuli angefanya katika kadhia nzima ya Corona kwani Wote tunao amini Mungu na dini tunajua kwamba Mungu anayo nafasi kubwa katika kila nyanja ya Maisha yetu na ni kutokana na jambo hilo ndipo Magufuli alitutaka tumtegemee Mungu zaidi, Suala ni; kwa namna gani na wakati upi Mungu ategemewe.
Magufuli alikuwa sahihi kwa kiwango fulani na hakuwa sahihi kwa kiwango fulani, tumsimlaumu moja kwa moja katika jambo hili.
Unasema asilaumiwe? Kama huna uelewa wa jambo fulani, lakini ukajifanya wewe ni bingwa, na wale wataalam waliopaswa kukuongoza uelewe zaidi ukawapuuza, utaacha kulaumiwa? I mean kwa nini alikuwa anawaponda viongozi wa dini wakati wao ndiyo wenye elimu ya dini kuliko yeye? Punguza kuwa diplomatic kwenye hoja yako.Asilaumiwe, kwani Hakuwa na Uelewa wowote wa mambo ya Kidini
Muhimu wafuasi wake waelimishwe tuu, waambiwe waliyemuamini Hakuwa na uelewe
Rais siyo top wa yote. Nani alikudanganya?Raisi ni top wa yote hayo uliyoyaorodhesha pamoja na mengine yote yahusuyo nchi yake.
Ukiachana naye utakuwa umefanya jambo la busara sana.Upeo mdogo Sana upo nao.
Dini ni elimu inayofundisha habari za Mungu.
Nani kasema Dini na Mungu ni vitu vinavyofanana??
Ni kweli atatajwa kwa miaka mingi maana amefanya mabaya mengi. Hitler na Musolin wana zaidi ya miaka 50 tangu watoke duniani lakini mpaka Leo wako midomoni mwa watu kuliko Mama Theresa.nimeamini itachukua miaka 50 ya kizazi hiki kumtaja magufuli.iwe kwa wema au mabaya.
Nimekuelewa sana, kifupi alikuwa ni mpagani wa kikristoHAYATTI MAGUFULI ALIKUWA NA UELEWA MDOGO WA MASUALA YA DINI, ASILAUMIWE.
Na, Robert Heriel.
Leo kijiweni kuna mada Moto ilikuwa ikiendelea inayohusu masuala ya UVAAJI WA BARAKOA, baadhi ya wachangiaji wa mada walimtumia zaidi Hayati Magufuli katika kutetea hoja zao kuwa hakuna ulazima wa kuvaa Barakoa, isipokuwa kumwomba Mungu pekee inatosha.
Vijana hawa niligundua wamepata elimu hiyo kutoka kwenye hotuba alizokuwa akizitoa Mzee wetu, Hayatti.
Hicho ndicho kimenifanya niandike andiko hili.
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa, Hayati Magufuli kutokana na Hotuba zake alizokuwa akizitoa na matamshi yake, nachelea kusema Hakuwa na Uelewa, Elimu, ujuzi na maarifa ya mambo ya kiroho, Magufuli Hakuwa anaujua vizuri dini licha ya kuwa alikuwa akipenda Sana kumtaja mwenyezi MUNGU.
Na mtu yeyote ambaye anaufahamu mdogo, ujuzi hafifu, Uelewa Finyu na Elimu duni ya Kidini na Kiroho basi lazima mtu huyo awe Mpotoshaji.
Hii ni kusema Hayati alikuwa Mpotoshaji hasa wa masuala ya kiroho kwani Hakuwa na Uelewa mkubwa wa mambo hayo.
Sio ajabu ndio maana alikuwa akiwanyamba baadhi ya viongozi WA dini waliokuwa wakivaa Barakoa mpaka Kanisani. Tena alikuwa akiwadhihaki na kuwakejeli Jambo ambalo Kama angejua walau hata robo ya elimu ya Dini au mambo ya kiroho asingefanya hivyo.
Andiko hili limekusudia kuwaonya Wale wote waliokuwa wakimuamini Magufuli hasa kwenye kukataza matumizi ya Barakoa au Chanjo Kwa kutumia mgongo wa Kidini ati wamtegemee Mungu. Acheni Fikra hizo, huyo uliyemuamini Hakuwa na elimu ya Kidini wala kiroho.
Mungu hategemewi na wajinga, Mungu hategemewi na watu wasiomfahamu, wasiomjua, wasio na Uelewa naye, wasio na elimu yake, wasio na maarifa naye, Mungu hawezi kutegemewa na watu wa namna hiyo.
Neno la Mungu kasema; MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI
Pia linaongeza kuwa Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Kisha unaeleza pia, ya kaisari mpe kaisari; ya Mungu mpe Mungu.
Magufuli anaweza kuwa Bora kwenye Maeneo mengi tuu ambayo nilishawahi kuyaeleza lakini haimuondolei udhaifu wake wa kutokujua Elimu ya Kidini na Kiroho ambao huo ni udhaifu.
Hivyo Wale mnaofuata mafundisho yake na falsafa yake ya kutokuvaa Barakoa Kwa kutumia VIGEZO vya kiimani, VIGEZO vya Kidini mkae mkijua Mzee alikuwa anaelimu duni ya Kidini na Uelewa hafifu.
Hivyo msije mkaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Pia nitoe onyo Kwa viongozi wengine wakisiasa, Kama huna elimu ya Jambo Fulani msipende kujifanya mnazielezea elimu msizozijua vyema, mnaathiri jamii.
Robert Herieli
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Sahihi kabisaUkiangalia kwa umakini wote wanaomtetea jiwe utaona kama Wana mental disorder, wengine huita mtindio wa ubongo yani hawapo sawa
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Aliamini PHD yake ya mafuta ya korosho, tena ya kupewa ingeweza kumfanya ajue kila kitu, tatizo ushambaa.HAYATTI MAGUFULI ALIKUWA NA UELEWA MDOGO WA MASUALA YA DINI, ASILAUMIWE.
Na, Robert Heriel.
Leo kijiweni kuna mada Moto ilikuwa ikiendelea inayohusu masuala ya UVAAJI WA BARAKOA, baadhi ya wachangiaji wa mada walimtumia zaidi Hayati Magufuli katika kutetea hoja zao kuwa hakuna ulazima wa kuvaa Barakoa, isipokuwa kumwomba Mungu pekee inatosha.
Vijana hawa niligundua wamepata elimu hiyo kutoka kwenye hotuba alizokuwa akizitoa Mzee wetu, Hayatti.
Hicho ndicho kimenifanya niandike andiko hili.
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa, Hayati Magufuli kutokana na Hotuba zake alizokuwa akizitoa na matamshi yake, nachelea kusema Hakuwa na Uelewa, Elimu, ujuzi na maarifa ya mambo ya kiroho, Magufuli Hakuwa anaujua vizuri dini licha ya kuwa alikuwa akipenda Sana kumtaja mwenyezi MUNGU.
Na mtu yeyote ambaye anaufahamu mdogo, ujuzi hafifu, Uelewa Finyu na Elimu duni ya Kidini na Kiroho basi lazima mtu huyo awe Mpotoshaji.
Hii ni kusema Hayati alikuwa Mpotoshaji hasa wa masuala ya kiroho kwani Hakuwa na Uelewa mkubwa wa mambo hayo.
Sio ajabu ndio maana alikuwa akiwanyamba baadhi ya viongozi WA dini waliokuwa wakivaa Barakoa mpaka Kanisani. Tena alikuwa akiwadhihaki na kuwakejeli Jambo ambalo Kama angejua walau hata robo ya elimu ya Dini au mambo ya kiroho asingefanya hivyo.
Andiko hili limekusudia kuwaonya Wale wote waliokuwa wakimuamini Magufuli hasa kwenye kukataza matumizi ya Barakoa au Chanjo Kwa kutumia mgongo wa Kidini ati wamtegemee Mungu. Acheni Fikra hizo, huyo uliyemuamini Hakuwa na elimu ya Kidini wala kiroho.
Mungu hategemewi na wajinga, Mungu hategemewi na watu wasiomfahamu, wasiomjua, wasio na Uelewa naye, wasio na elimu yake, wasio na maarifa naye, Mungu hawezi kutegemewa na watu wa namna hiyo.
Neno la Mungu kasema; MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI
Pia linaongeza kuwa Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Kisha unaeleza pia, ya kaisari mpe kaisari; ya Mungu mpe Mungu.
Magufuli anaweza kuwa Bora kwenye Maeneo mengi tuu ambayo nilishawahi kuyaeleza lakini haimuondolei udhaifu wake wa kutokujua Elimu ya Kidini na Kiroho ambao huo ni udhaifu.
Hivyo Wale mnaofuata mafundisho yake na falsafa yake ya kutokuvaa Barakoa Kwa kutumia VIGEZO vya kiimani, VIGEZO vya Kidini mkae mkijua Mzee alikuwa anaelimu duni ya Kidini na Uelewa hafifu.
Hivyo msije mkaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Pia nitoe onyo Kwa viongozi wengine wakisiasa, Kama huna elimu ya Jambo Fulani msipende kujifanya mnazielezea elimu msizozijua vyema, mnaathiri jamii.
Robert Herieli
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Unasema asilaumiwe? Kama huna uelewa wa jambo fulani, lakini ukajifanya wewe ni bingwa, na wale wataalam waliopaswa kukuongoza uelewe zaidi ukawapuuza, utaacha kulaumiwa? I mean kwa nini alikuwa anawaponda viongozi wa dini wakati wao ndiyo wenye elimu ya dini kuliko yeye? Punguza kuwa diplomatic kwenye hoja yako.
Rais Magufuli alijitofautisha sana na Marais waliopita naamini ata kwa wanaokuja, Nisime Rais Magufuli alitumia 90% ya ubongo wake kuamua masuala ya kitaifa kuliko Marais wengine. Rais Magufuli hakuwa mtu wa kumpelekea karatasi asome na asaini hapana! Alikuwa mtu anaesoma asopopata majibu yakulidhisha alikuwa anatafuta majibu kwa njia zake.HAYATTI MAGUFULI ALIKUWA NA UELEWA MDOGO WA MASUALA YA DINI, ASILAUMIWE.
Na, Robert Heriel.
Leo kijiweni kuna mada Moto ilikuwa ikiendelea inayohusu masuala ya UVAAJI WA BARAKOA, baadhi ya wachangiaji wa mada walimtumia zaidi Hayati Magufuli katika kutetea hoja zao kuwa hakuna ulazima wa kuvaa Barakoa, isipokuwa kumwomba Mungu pekee inatosha.
Vijana hawa niligundua wamepata elimu hiyo kutoka kwenye hotuba alizokuwa akizitoa Mzee wetu, Hayatti.
Hicho ndicho kimenifanya niandike andiko hili.
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa, Hayati Magufuli kutokana na Hotuba zake alizokuwa akizitoa na matamshi yake, nachelea kusema Hakuwa na Uelewa, Elimu, ujuzi na maarifa ya mambo ya kiroho, Magufuli Hakuwa anaujua vizuri dini licha ya kuwa alikuwa akipenda Sana kumtaja mwenyezi MUNGU.
Na mtu yeyote ambaye anaufahamu mdogo, ujuzi hafifu, Uelewa Finyu na Elimu duni ya Kidini na Kiroho basi lazima mtu huyo awe Mpotoshaji.
Hii ni kusema Hayati alikuwa Mpotoshaji hasa wa masuala ya kiroho kwani Hakuwa na Uelewa mkubwa wa mambo hayo.
Sio ajabu ndio maana alikuwa akiwanyamba baadhi ya viongozi WA dini waliokuwa wakivaa Barakoa mpaka Kanisani. Tena alikuwa akiwadhihaki na kuwakejeli Jambo ambalo Kama angejua walau hata robo ya elimu ya Dini au mambo ya kiroho asingefanya hivyo.
Andiko hili limekusudia kuwaonya Wale wote waliokuwa wakimuamini Magufuli hasa kwenye kukataza matumizi ya Barakoa au Chanjo Kwa kutumia mgongo wa Kidini ati wamtegemee Mungu. Acheni Fikra hizo, huyo uliyemuamini Hakuwa na elimu ya Kidini wala kiroho.
Mungu hategemewi na wajinga, Mungu hategemewi na watu wasiomfahamu, wasiomjua, wasio na Uelewa naye, wasio na elimu yake, wasio na maarifa naye, Mungu hawezi kutegemewa na watu wa namna hiyo.
Neno la Mungu kasema; MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI
Pia linaongeza kuwa Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Kisha unaeleza pia, ya kaisari mpe kaisari; ya Mungu mpe Mungu.
Magufuli anaweza kuwa Bora kwenye Maeneo mengi tuu ambayo nilishawahi kuyaeleza lakini haimuondolei udhaifu wake wa kutokujua Elimu ya Kidini na Kiroho ambao huo ni udhaifu.
Hivyo Wale mnaofuata mafundisho yake na falsafa yake ya kutokuvaa Barakoa Kwa kutumia VIGEZO vya kiimani, VIGEZO vya Kidini mkae mkijua Mzee alikuwa anaelimu duni ya Kidini na Uelewa hafifu.
Hivyo msije mkaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Pia nitoe onyo Kwa viongozi wengine wakisiasa, Kama huna elimu ya Jambo Fulani msipende kujifanya mnazielezea elimu msizozijua vyema, mnaathiri jamii.
Robert Herieli
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Uwe makini ulikohuko ,wepesi sana wakuolewa Mali ukinunua kitanda kwajili yawakwe habari imeishaHAYATTI MAGUFULI ALIKUWA NA UELEWA MDOGO WA MASUALA YA DINI, ASILAUMIWE.
Na, Robert Heriel.
Leo kijiweni kuna mada Moto ilikuwa ikiendelea inayohusu masuala ya UVAAJI WA BARAKOA, baadhi ya wachangiaji wa mada walimtumia zaidi Hayati Magufuli katika kutetea hoja zao kuwa hakuna ulazima wa kuvaa Barakoa, isipokuwa kumwomba Mungu pekee inatosha.
Vijana hawa niligundua wamepata elimu hiyo kutoka kwenye hotuba alizokuwa akizitoa Mzee wetu, Hayatti.
Hicho ndicho kimenifanya niandike andiko hili.
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa, Hayati Magufuli kutokana na Hotuba zake alizokuwa akizitoa na matamshi yake, nachelea kusema Hakuwa na Uelewa, Elimu, ujuzi na maarifa ya mambo ya kiroho, Magufuli Hakuwa anaujua vizuri dini licha ya kuwa alikuwa akipenda Sana kumtaja mwenyezi MUNGU.
Na mtu yeyote ambaye anaufahamu mdogo, ujuzi hafifu, Uelewa Finyu na Elimu duni ya Kidini na Kiroho basi lazima mtu huyo awe Mpotoshaji.
Hii ni kusema Hayati alikuwa Mpotoshaji hasa wa masuala ya kiroho kwani Hakuwa na Uelewa mkubwa wa mambo hayo.
Sio ajabu ndio maana alikuwa akiwanyamba baadhi ya viongozi WA dini waliokuwa wakivaa Barakoa mpaka Kanisani. Tena alikuwa akiwadhihaki na kuwakejeli Jambo ambalo Kama angejua walau hata robo ya elimu ya Dini au mambo ya kiroho asingefanya hivyo.
Andiko hili limekusudia kuwaonya Wale wote waliokuwa wakimuamini Magufuli hasa kwenye kukataza matumizi ya Barakoa au Chanjo Kwa kutumia mgongo wa Kidini ati wamtegemee Mungu. Acheni Fikra hizo, huyo uliyemuamini Hakuwa na elimu ya Kidini wala kiroho.
Mungu hategemewi na wajinga, Mungu hategemewi na watu wasiomfahamu, wasiomjua, wasio na Uelewa naye, wasio na elimu yake, wasio na maarifa naye, Mungu hawezi kutegemewa na watu wa namna hiyo.
Neno la Mungu kasema; MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI
Pia linaongeza kuwa Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Kisha unaeleza pia, ya kaisari mpe kaisari; ya Mungu mpe Mungu.
Magufuli anaweza kuwa Bora kwenye Maeneo mengi tuu ambayo nilishawahi kuyaeleza lakini haimuondolei udhaifu wake wa kutokujua Elimu ya Kidini na Kiroho ambao huo ni udhaifu.
Hivyo Wale mnaofuata mafundisho yake na falsafa yake ya kutokuvaa Barakoa Kwa kutumia VIGEZO vya kiimani, VIGEZO vya Kidini mkae mkijua Mzee alikuwa anaelimu duni ya Kidini na Uelewa hafifu.
Hivyo msije mkaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Pia nitoe onyo Kwa viongozi wengine wakisiasa, Kama huna elimu ya Jambo Fulani msipende kujifanya mnazielezea elimu msizozijua vyema, mnaathiri jamii.
Robert Herieli
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro
Uwe makini ulikohuko ,wepesi sana wakuolewa Mali ukinunua kitanda kwajili yawakwe habari imeisha
Mungu ananafasi yake katika maisha ya wanadamu, Ila Kwa kiasi kidogo kabisa cha lazima.
Askofu Mkuu wa Jimbo la Darces Salaam Yuda-Thadei Ruwa'ichi aliimiza waumini wavae barakoa Mwendazake akaenda St . Peter akasema hana imani , yalikuwa mambo ya ajabu sana kushindana na kiongozi wake wa kiroho Mwendazake alijifanya yeye ni kila kitu hakimu yeye, jaji. spika, mwanasheria mkuu, dpp kila kitu alikuwa yeye, mbaya zaidi akatundanganya hata papai lina coronaHAYATTI MAGUFULI ALIKUWA NA UELEWA MDOGO WA MASUALA YA DINI, ASILAUMIWE.
Na, Robert Heriel.
Leo kijiweni kuna mada Moto ilikuwa ikiendelea inayohusu masuala ya UVAAJI WA BARAKOA, baadhi ya wachangiaji wa mada walimtumia zaidi Hayati Magufuli katika kutetea hoja zao kuwa hakuna ulazima wa kuvaa Barakoa, isipokuwa kumwomba Mungu pekee inatosha.
Vijana hawa niligundua wamepata elimu hiyo kutoka kwenye hotuba alizokuwa akizitoa Mzee wetu, Hayatti.
Hicho ndicho kimenifanya niandike andiko hili.
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa, Hayati Magufuli kutokana na Hotuba zake alizokuwa akizitoa na matamshi yake, nachelea kusema Hakuwa na Uelewa, Elimu, ujuzi na maarifa ya mambo ya kiroho, Magufuli Hakuwa anaujua vizuri dini licha ya kuwa alikuwa akipenda Sana kumtaja mwenyezi MUNGU.
Na mtu yeyote ambaye anaufahamu mdogo, ujuzi hafifu, Uelewa Finyu na Elimu duni ya Kidini na Kiroho basi lazima mtu huyo awe Mpotoshaji.
Hii ni kusema Hayati alikuwa Mpotoshaji hasa wa masuala ya kiroho kwani Hakuwa na Uelewa mkubwa wa mambo hayo.
Sio ajabu ndio maana alikuwa akiwanyamba baadhi ya viongozi WA dini waliokuwa wakivaa Barakoa mpaka Kanisani. Tena alikuwa akiwadhihaki na kuwakejeli Jambo ambalo Kama angejua walau hata robo ya elimu ya Dini au mambo ya kiroho asingefanya hivyo.
Andiko hili limekusudia kuwaonya Wale wote waliokuwa wakimuamini Magufuli hasa kwenye kukataza matumizi ya Barakoa au Chanjo Kwa kutumia mgongo wa Kidini ati wamtegemee Mungu. Acheni Fikra hizo, huyo uliyemuamini Hakuwa na elimu ya Kidini wala kiroho.
Mungu hategemewi na wajinga, Mungu hategemewi na watu wasiomfahamu, wasiomjua, wasio na Uelewa naye, wasio na elimu yake, wasio na maarifa naye, Mungu hawezi kutegemewa na watu wa namna hiyo.
Neno la Mungu kasema; MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI
Pia linaongeza kuwa Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Kisha unaeleza pia, ya kaisari mpe kaisari; ya Mungu mpe Mungu.
Magufuli anaweza kuwa Bora kwenye Maeneo mengi tuu ambayo nilishawahi kuyaeleza lakini haimuondolei udhaifu wake wa kutokujua Elimu ya Kidini na Kiroho ambao huo ni udhaifu.
Hivyo Wale mnaofuata mafundisho yake na falsafa yake ya kutokuvaa Barakoa Kwa kutumia VIGEZO vya kiimani, VIGEZO vya Kidini mkae mkijua Mzee alikuwa anaelimu duni ya Kidini na Uelewa hafifu.
Hivyo msije mkaangamia Kwa kukosa Maarifa.
Pia nitoe onyo Kwa viongozi wengine wakisiasa, Kama huna elimu ya Jambo Fulani msipende kujifanya mnazielezea elimu msizozijua vyema, mnaathiri jamii.
Robert Herieli
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Morogoro