Hayati Magufuli alikuwa na uelewa mdogo wa masuala ya dini, asilaumiwe

Namba zako hazipatikani
 
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa, Hayati Magufuli kutokana na Hotuba zake alizokuwa akizitoa na matamshi yake, nachelea kusema Hakuwa na Uelewa, Elimu, ujuzi na maarifa ya mambo ya kiroho, Magufuli Hakuwa anaujua vizuri dini licha ya kuwa alikuwa akipenda Sana kumtaja mwenyezi MUNGU.
.
.
.
Nimeishia hapo kusoma yan unaakili za kipumbavu sijapata ona
 
Huko pengine sina Uelewa Napo Sana

Ila kwenye dini Mara nyingi alikuwa akipotosha.

Viongozi wote wa dini waliozidisha unafiki waondolewe.

Kuna yule Mufti aliyesema Bwana Yesu asifiwe sijui Kwa nini Waislam hawamuondoi.
Hivi unajua Waislamu wanamtambua Yesu / Issa kama Nabii ?, Sasa kwa imani yake / zao kuna ubaya gani wa kumsifu Nabii ?

Yaani hizi Imani zilizokuja tabu tupu..., badala ya kutuunganisha naona zinatutenganisha..., na Ukizingatia hii ni karne ya 21, nadhani tunahitaji kuchunguzwa vijwani mwetu...
 
Sauti hii iskike mpaka oldonyo lengai.........bandiko bora sana
 

Yeye mwenyewe aliwahi Kiri Jambo hilo sasa wewe utasema nini
 
Magufuli Yu hai Hadi leo. Imeshindikana kusahaulika japo ni marehem. Ni miezi 3 kuelekea minne..

Kwakawaida
Marehemu akisha ondoka basi tunamsahau na mabaya yake.

Lakini kwa huyu!! Utafikiri yupo ikulu bado. Huyu mtu hakika alikua chaguo la mungu kuiongaza Tanzania.
 
Hivi wote mnaoponda mnaijua dini kweli na mnaimani iliyotimilifu? Isiyopungua hata punje ya aladin
 
Ahsante sana Mkuu.
 
Magic is for those who believe...

The law of life is the law of beliefs...

A man become what he thinks about most of time...

What you think and feels is what you're attracting to...

Imani sehemu yake moyoni wala haina mafungamano na elimu Bali matendo ya kiimani (ibada) yanahitaji elimu msingi....
 
Ni Kati ya waliopandikizwa ili kuua Legacy ya Magufuli na wanaotaka Hela za Mikopo ya huo ugonjwa wa Propaganda za Kiuchumi.Pumbavu Sana hawa wachumia tumbo
 
Mungu aliwapa sheria na kanuni za afya waisraeli (mambo ya walawi)

Aliwaambia wanawe kabla ya kula, kuoga kabla ya kuswali, wasile wala kuywa vitu kadhaaa.

Mwendazake alikuwa mjinga tu
Na hakuwahi kujua biblia vizuri
 
WABONGO SISI HATUWEZI ENDELEA KAMWE,KWHYO KAPU LA MABAYA LA MHE.MAGUFULI HALINA HATA MOJA JEMA?KWHYO NYIE MUNGU KUJUA ETI KWA ALYOYAFANYA ANAENDA MOTOTNI?KUMBUKA ALKUFA HKU AKIPAKWA MAFUT MATAKATIFU KABLA YA KIFO,UNJUA INAMAANISHA NN HIYO KW SISI WAKRISTO HUSUSAN WAROMA?MUNGU SI MWANADAMU,HAFANYI KAZI KWA KUONGOZWA NA BINADAMU NA HAITATOKEA,HATA KAMA ALKUA NA MABAYA UTAJUAJE KAMA ALTUBU KWA MUNGU WAKE?WEWE UKIFA LEO UMEJIANDAA?AU UNAZANI MTAISHI MILELE WATU MNAOMKASHFU MAGUFULI KAMA VILE HAMJAZALIWA?SHAME ON U AND ON UR BLACK ASSS..NYIE MNAOJUA DINI MPO WAPI?NA JE MSHAJHAKKSHIA UFALME WA MBINGU?MAKKUMA NYINYI
 
PAMOJA na UJANJA WoTE aliokua nao nakusali sana alikwepa kusimama na kudanganya watu kupitia kanisa .
Naye ni

Mwl Julius kambarage nyerere(mungu amrehemu)
 
Acha ujinga usimlinganishe Bwana Yesu NA huyo yesu faki sijui anaitwa issa. Huyo ni yesu wenu wa huko msikitini lakini Yesu aliye hai hawezi kuwa issa.
 
Hayo mafuta uliona akipokwa au unaleta hadithi za wanasiasa waongo hata tarehe ya kifo tunaambiwa siyo hiyo iliyotangazwa.Maisha ya mtu nimatendo na maneno yake nandivyo vitakavyomuhukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…