Wewe hata ukitaka kumuita Mungu au Nabii ni haki yako, ndio raha ya kuishi Tanzania isiyo na Dini bali watu wake ndio wana Imani tofauti.....Acha ujinga usimlinganishe Bwana Yesu NA huyo yesu faki sijui anaitwa issa. Huyo ni yesu wenu wa huko msikitini lakini Yesu aliye hai hawezi kuwa issa.
Hivi wote mnaoponda mnaijua dini kweli na mnaimani iliyotimilifu? Isiyopungua hata punje ya aladin
Ambaye alikuwa hawezi kuugua au kufa alikuwa ni Kuhani Mkuu pekee, kwa muktadha huo Yesu ndiye Kuhani Mkuu kwa sasa kwa hiyo hadi aingilie kati ndo watu wanaweza kupona dhidi ya magonjwa kama korona.......kwa hiyo Magufuli kuwakejeli viongozi wa dini ni kutokutambua andiko hili kwamba wao siyo makuhani wakuu......kipindi cha Musa Kuhani Mkuu alikuwa Haruni, baadaye akaja Eliezer hao walikuwa wanaweza kufanya maombi ya kukomesha tauni na wala tauni haikuwa na nguvu juu yao.
Naam mkuuMbele yake nyuma yetu...
KWANZA, hujaelewa mantiki ya mleta mada. Na huelewi hata maana ya dini...!Mkuu usiwe na fikra za kijinga hivi kichwani mwako....dini is nothing but a crime to society as it killed more people than any war that you know. Only a fool ndiyo anaukuza dini, Mungu hana dini asikudanganye mtu. Wajinga waliwao, kumbuka hii methali itakusaidia maishani.
Pia ukitilia maanani TZ tuna wajinga wengi sana.Sio kosa Lao,
Ukitumia media kuaminisha watu Jambo Fulani Kwa miaka mitano mfululizo watu huamini.
Media ni hatari Mkuu
Ila tukatae tukubali Corona haitaki dharau,wote walioiletea dharau imeshapita nao.
Pia ukitilia maanani TZ tuna wajinga wengi sana.
Alitumia zaidi madaraka kama kigezo kuwa uelewa wake ni wa hali ya juuKwa kweli lakini licha ya kuwa PhD uelewa wake ulikuwa limited hata kwa Mambo ya uongozi
umeeleza vizuri. Nadhani hata baniani ataanza kuzika badala ya kuchoma wafuKWANZA, hujaelewa mantiki ya mleta mada. Na huelewi hata maana ya dini...!
PILI, Hivi unadhani kwanini mtu mwingine asidhani kuwa wewe ndiye uliye na fikra za kijinga...?
TATU, (May be) ungeeleza kwanza maana ya "DINI" na kisha ukaja na hitimisho hili, (may be) ungenishawishi (mimi) niamini kuwa huyu mleta hoja ana fikra za kijinga kweli na za kwako wewe ni za ki - werevu zaidi...
Lakini, as it is, I surely believe, you are the one who is ignorant, not him/her...!!
NNE, let me challenge you kwa kukupa quotation hii kutoka kwenye Biblia toleo BHN - Biblia Habari Njema kama mtume Yakobo anavyoeleza maana ya dini..
YAKOBO 1: 27
Anasema:
"......Dini safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao , kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu...."
And you said this about religion (dini);
"....Dini is nothing but a crime to the society as it killed many people than any war you know...."
Dini ipo na ni bakuri au sahani tu ya kubebea imani ya mtu. Sharti la dini hiyo ili ilete manufaa kwa mtu mwenyewe na jamii kwa ujumla, ni lazima iwe safi na isiyo na hitilafu yoyote kwa Mungu muumba...
DINI isipokuwa safi na kubeba hitilafu mbele za Mungu, basi moja kwa moja inageuka kuwa the weapon of causing crimes and it can kill a person him/herself and other people surrounding him/her...
Kwa hiyo ni utashi na uamuzi wa mtu binafsi kuifanya DINI YAKE kuwa chombo cha AMANI na kuleta UPENDO kwake na kwa wengine au akifanye chombo cha MAOVU kimtese yeye na wengine....
Kwa mantiki hii, Magufuli hakuwa anaelewa maana na dhana nzima ya dini matokeo yake akawa mpotoshaji akifikiri anajua. Na dini as I said above ni very delicate issue. Ukicheza vibaya nayo, inageuka kuwa mkuki na moto wa kukuchoma mwemyewe na hata kusababisha wengine waungue na moto huo...
Msome vizuri Yakobo hapo juu, utaelewa nina maana gani..
Na hapo ndo alitinginya Mambo kuwa Rais hakukufanyi wewe kuwa Bora au kujua kila jambo.Alitumia zaidi madaraka kama kigezo kuwa uelewa wake ni wa hali ya juu
Mwendazake alikua boya sana
ππwewe usiemtetea ndio akili zimo?? Kweeli mjinga hajijui dah!Ukiangalia kwa umakini wote wanaomtetea jiwe utaona kama Wana mental disorder, wengine huita mtindio wa ubongo yani hawapo sawa
Ukweli halisiMkuu usiwe na fikra za kijinga hivi kichwani mwako....dini is nothing but a crime to society as it killed more people than any war that you know. Only a fool ndiyo anaukuza dini, Mungu hana dini asikudanganye mtu. Wajinga waliwao, kumbuka hii methali itakusaidia maishani.
PUMBAVU...nyie mnaomjua Mungu zaid yake mmetenda makuu gan ambayo jamii itawakumbuk??? unapomjaji mtu hakikisha wew ni mwema zaid yake,, waafrika roho mbaya na chuki znawafanya msisonge mbele, mtu keshajifia bt still mnamuandama, hiyo kuonesha roho za chuki ndan yenu,...niwaambien ukwel japo unauma, YULE mzee alkuwa na iman kubwa zaid ya mchungaji ama kiongoz wa dini yeyote hapa nchin, ukibisha juu yako, bt ukwel uko waz kweny mazito ya mwaka jana jamaa aliwatia moyo mpaka hao manabii wenu uchwara, walpata nguvu ya kuishinda hofu na kupata nguvu mpya ambayo mpk leo mnaitumia kumuhukum mzee wawatu.....Foolishness kabsa kwa mtoa thread