Hayati Magufuli alikuwa Rais mwovu, Samia Suluhu ni Rais dhaifu. Binafsi heri Rais dhaifu kuliko mwovu

Hayati Magufuli alikuwa Rais mwovu, Samia Suluhu ni Rais dhaifu. Binafsi heri Rais dhaifu kuliko mwovu

Ni kweli kabisa mleta mada. Hata kama bei ya sembe kwa kilo itakuwa milioni moja na mafisadi wakamuiba mpk rais mwenyewe, sitokaa nifikirie kwamba utawala wa jiwe ni bora. Never!
 
Kila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na uhuru wa kuchota mihera ya serikali na kuigawa kwa siri na hadharani ili ajiimarishe kisiasa.

RAIS Samia ni Rais muadilifu haswa , tatizo ni kwamba amekuwa dhaifu kupitiliza.

Kitendo cha kuongea na waajiriwa wake wezi na kuwaambia wampishe nao kumgomea hiyo ni dhahiri kuwa Samia ni dhaifu dhaifu dhaifu. Alishindwa hata kuwataja majina au vyeo vyeo.

Na wasaidizi wake bila shaka hawajitambui au yawezekana nao wanakula pamoja na mafisadi. Walishindwa hata kuandika barua za kuwatengua ambao Samia alisema wampishe.

Power ya Samia ni ndogo sana yawezekana ni ndogo kuliko ya OCD wa wilaya ya Kaliua au Ubungo.
Kuna wakati unajiuliza udhaifu wa namna hii unatokana na nini! Utadhani ni Rais wa Udsm
 
Una ushahidi? Au unasema Tu kutoka hewani

Ukiambiwa Leo dhibitisha magufuli aliua unaweza kudhibitisha?
Magufuli alilea kikundi cha wahuni kiliweza kumuua au kumteka yeyote anaemkosoa magufuli kiufupi ile serikali ilikuwa ya kuzimu,,Samia mpenda watu ila ni dhaifu mpaka anatia wasiwasi anawaogopa mpaka watumishi wa halmashauri sijui karogwa!!
 
Magufuli alilea kikundi cha wahuni kiliweza kumuua au kumteka yeyote anaemkosoa magufuli kiufupi ile serikali ilikuwa ya kuzimu,,Samia mpenda watu ila ni dhaifu mpaka anatia wasiwasi anawaogopa mpaka watumishi wa halmashauri sijui karogwa!!

Hivyo vikundi vipo Tu, tangu enzi ya jk, umesahau ishu ya Dr ulimboka?
 
Kila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na uhuru wa kuchota mihera ya serikali na kuigawa kwa siri na hadharani ili ajiimarishe kisiasa.

RAIS Samia ni Rais muadilifu haswa , tatizo ni kwamba amekuwa dhaifu kupitiliza.

Kitendo cha kuongea na waajiriwa wake wezi na kuwaambia wampishe nao kumgomea hiyo ni dhahiri kuwa Samia ni dhaifu dhaifu dhaifu. Alishindwa hata kuwataja majina au vyeo vyeo.

Na wasaidizi wake bila shaka hawajitambui au yawezekana nao wanakula pamoja na mafisadi. Walishindwa hata kuandika barua za kuwatengua ambao Samia alisema wampishe.

Power ya Samia ni ndogo sana yawezekana ni ndogo kuliko ya OCD wa wilaya ya Kaliua au Ubungo.
Nitajie taifa ambalo limeendelea bila kuwa na Kiongozi mwovu!
Nchi nyingi za Ulaya pamoja na Marekani zimeendelea kupitia unyang'anyi wa mali za mataifa masikini hasa barani Afrika.
Hakuna taifa lililoendea kwa viongozi wake kucheka na kima!
 
Bado hamjachoka na propaganda za kumchafua marehemu?
Kila mkipima mnaona bado anapendwa hivyo kuongesa kasi ya uongo wenu.
Eti Rais wa ovyo na mwovu.

Kipindi cha Magu ndiyo sheria ziliheshimiwa kupita vipindi vyote! Siyo sheria za barabarani, sheria za kulipa kodi, sheria za kazi nk. Ndiyo kipindi nilishuhudia hata mahakimu wanahakikisha kesi zinaisha ndani ya muda waliowekewa! Polisi walikuwa na nidhamu! Ukiingia ofisi za umma unasikilizwa. Magu tutamkumbuka daima.

Akiongea dunia inasikiliza. Siyo Afrika tu, Ulaya na marekani, walifuatilia mwamba anaongea nini. Ni kutokana na umakini wake na kutokubali kuchezewa chezewa. Watanzania wengi walimpenda ndiyo maana alichaguliwavkwa wingi kwenye uchaguzi ukiacha hizo porojo zenu za wizi wa kura za akina Mdee!
Nimecheka mpaka nimepaliwa kwa mahaba haya uliyoyaweka hadharani dhidi ya mwendazake.

Nakusihi nenda kacheki afya ya akili ama umuombe Mungu kwa kuandika uongo.
 
Nitajie taifa ambalo limeendelea bila kuwa na Kiongozi mwovu!
Nchi nyingi za Ulaya pamoja na Marekani zimeendelea kupitia unyang'anyi wa mali za mataifa masikini hasa barani Afrika.
Hakuna taifa lililoendea kwa viongozi wake kucheka na kima!
Afrika haiendelei kutokana na tatizo la uongozi, na si kunyang'anywa mali na Ulaya na Marekani.
 
Samia Suuhu ndo nini?
Rais anaitwa Samia Suluhu Hassan.
Simple majina yetu haya kinyumbani kabisa.
Unasema suuhu km huna meno, au keyboard yako haina meno?
Hivi nani aliwafikisha kwenye forum GT watu km nyinyi
 
Kwa hili la kuchaguliwa napinga, Magufuli aliua mihimili yote ikawa vibogoyo, bunge kibogoyo, mahakama kibogoyo, yeye tu akawa jeshi la mtu mmoja, hakuna utawala wa aina hiyo ukawa mzuri.
Sasa hivi bunge lina nguvu ?
 
Usimfananishe Mzilankende Hivyo Huyo Alifanya Kazi Sana Sana Sasa Hivi Anaongoza Malaika Huko
 
Mleta mada kumbe hujui udhaifu unazaa uovu, nenda kawaone wale Silent Ocean wanavyodai hayupo wa kuwafanya kitu nchi hii, kwasababu ya uovu wao wanaowafanyia wengine.

Siku mkijua kufikiria vizuri naona itawasaidia sana.
 
Kila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na uhuru wa kuchota mihera ya serikali na kuigawa kwa siri na hadharani ili ajiimarishe kisiasa.

RAIS Samia ni Rais muadilifu haswa , tatizo ni kwamba amekuwa dhaifu kupitiliza.

Kitendo cha kuongea na waajiriwa wake wezi na kuwaambia wampishe nao kumgomea hiyo ni dhahiri kuwa Samia ni dhaifu dhaifu dhaifu. Alishindwa hata kuwataja majina au vyeo vyeo.

Na wasaidizi wake bila shaka hawajitambui au yawezekana nao wanakula pamoja na mafisadi. Walishindwa hata kuandika barua za kuwatengua ambao Samia alisema wampishe.

Power ya Samia ni ndogo sana yawezekana ni ndogo kuliko ya OCD wa wilaya ya Kaliua au Ubungo.
Hili neno Dhaifu naona linatumika vibaya sana na ndio Hilo Hilo Huwa linahamasisha watu kuwa maimla eti ndio uimara..

Mara 1000 uitwe Dhaifu ila results oriented kuliko imara ukaishia kuwa mjinga..

Ukishakuwa na jamii ya wajinga ambayo imezoea kuongozwa kama mapunda na wewe ukachukua mkondo wa Demokrasia ya leiz afare tegemea kuitwa Dhaifu maana.

Sipati picha Rais Samia angekuwa anaendesha Nchi kama Ruto,matusi ambayo angekula sio ya Nchi hii.
 
Back
Top Bottom