Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati unajiuliza udhaifu wa namna hii unatokana na nini! Utadhani ni Rais wa UdsmKila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na uhuru wa kuchota mihera ya serikali na kuigawa kwa siri na hadharani ili ajiimarishe kisiasa.
RAIS Samia ni Rais muadilifu haswa , tatizo ni kwamba amekuwa dhaifu kupitiliza.
Kitendo cha kuongea na waajiriwa wake wezi na kuwaambia wampishe nao kumgomea hiyo ni dhahiri kuwa Samia ni dhaifu dhaifu dhaifu. Alishindwa hata kuwataja majina au vyeo vyeo.
Na wasaidizi wake bila shaka hawajitambui au yawezekana nao wanakula pamoja na mafisadi. Walishindwa hata kuandika barua za kuwatengua ambao Samia alisema wampishe.
Power ya Samia ni ndogo sana yawezekana ni ndogo kuliko ya OCD wa wilaya ya Kaliua au Ubungo.
Magufuli alilea kikundi cha wahuni kiliweza kumuua au kumteka yeyote anaemkosoa magufuli kiufupi ile serikali ilikuwa ya kuzimu,,Samia mpenda watu ila ni dhaifu mpaka anatia wasiwasi anawaogopa mpaka watumishi wa halmashauri sijui karogwa!!Una ushahidi? Au unasema Tu kutoka hewani
Ukiambiwa Leo dhibitisha magufuli aliua unaweza kudhibitisha?
Magufuli alilea kikundi cha wahuni kiliweza kumuua au kumteka yeyote anaemkosoa magufuli kiufupi ile serikali ilikuwa ya kuzimu,,Samia mpenda watu ila ni dhaifu mpaka anatia wasiwasi anawaogopa mpaka watumishi wa halmashauri sijui karogwa!!
Nitajie taifa ambalo limeendelea bila kuwa na Kiongozi mwovu!Kila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na uhuru wa kuchota mihera ya serikali na kuigawa kwa siri na hadharani ili ajiimarishe kisiasa.
RAIS Samia ni Rais muadilifu haswa , tatizo ni kwamba amekuwa dhaifu kupitiliza.
Kitendo cha kuongea na waajiriwa wake wezi na kuwaambia wampishe nao kumgomea hiyo ni dhahiri kuwa Samia ni dhaifu dhaifu dhaifu. Alishindwa hata kuwataja majina au vyeo vyeo.
Na wasaidizi wake bila shaka hawajitambui au yawezekana nao wanakula pamoja na mafisadi. Walishindwa hata kuandika barua za kuwatengua ambao Samia alisema wampishe.
Power ya Samia ni ndogo sana yawezekana ni ndogo kuliko ya OCD wa wilaya ya Kaliua au Ubungo.
Nimecheka mpaka nimepaliwa kwa mahaba haya uliyoyaweka hadharani dhidi ya mwendazake.Bado hamjachoka na propaganda za kumchafua marehemu?
Kila mkipima mnaona bado anapendwa hivyo kuongesa kasi ya uongo wenu.
Eti Rais wa ovyo na mwovu.
Kipindi cha Magu ndiyo sheria ziliheshimiwa kupita vipindi vyote! Siyo sheria za barabarani, sheria za kulipa kodi, sheria za kazi nk. Ndiyo kipindi nilishuhudia hata mahakimu wanahakikisha kesi zinaisha ndani ya muda waliowekewa! Polisi walikuwa na nidhamu! Ukiingia ofisi za umma unasikilizwa. Magu tutamkumbuka daima.
Akiongea dunia inasikiliza. Siyo Afrika tu, Ulaya na marekani, walifuatilia mwamba anaongea nini. Ni kutokana na umakini wake na kutokubali kuchezewa chezewa. Watanzania wengi walimpenda ndiyo maana alichaguliwavkwa wingi kwenye uchaguzi ukiacha hizo porojo zenu za wizi wa kura za akina Mdee!
Afrika haiendelei kutokana na tatizo la uongozi, na si kunyang'anywa mali na Ulaya na Marekani.Nitajie taifa ambalo limeendelea bila kuwa na Kiongozi mwovu!
Nchi nyingi za Ulaya pamoja na Marekani zimeendelea kupitia unyang'anyi wa mali za mataifa masikini hasa barani Afrika.
Hakuna taifa lililoendea kwa viongozi wake kucheka na kima!
Yuko Sahihi
Kanusha kwa vielelezo , uchawi hautakusaidiaMjinga Mmoja kwakua una Bando na simu !!.
Huna maana
Na aliyeongoza pre-burgain kamzawaida kuwa Jaji.Rais kasema pesa za pre bargain zimeibwa ziko China lakini wezi hawataji.
Sasa hivi bunge lina nguvu ?Kwa hili la kuchaguliwa napinga, Magufuli aliua mihimili yote ikawa vibogoyo, bunge kibogoyo, mahakama kibogoyo, yeye tu akawa jeshi la mtu mmoja, hakuna utawala wa aina hiyo ukawa mzuri.
Hili neno Dhaifu naona linatumika vibaya sana na ndio Hilo Hilo Huwa linahamasisha watu kuwa maimla eti ndio uimara..Kila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na uhuru wa kuchota mihera ya serikali na kuigawa kwa siri na hadharani ili ajiimarishe kisiasa.
RAIS Samia ni Rais muadilifu haswa , tatizo ni kwamba amekuwa dhaifu kupitiliza.
Kitendo cha kuongea na waajiriwa wake wezi na kuwaambia wampishe nao kumgomea hiyo ni dhahiri kuwa Samia ni dhaifu dhaifu dhaifu. Alishindwa hata kuwataja majina au vyeo vyeo.
Na wasaidizi wake bila shaka hawajitambui au yawezekana nao wanakula pamoja na mafisadi. Walishindwa hata kuandika barua za kuwatengua ambao Samia alisema wampishe.
Power ya Samia ni ndogo sana yawezekana ni ndogo kuliko ya OCD wa wilaya ya Kaliua au Ubungo.