mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Tujiulize kwanza ni kwanini Jk alishindwa kutupatia hiyo katiba mpya ??Kama kutakua na nia ya kweli kujenga mfumo mpya kiutawala na mustakabali mzm wa maendeleo ya Taifa alipaswa kujenga taasisi imara kupitia katiba mpya!! Na sio kupitia individual.
Je ni yeye ndo alikuwa haitaki au ni mfumo ndio ulikuwa hauitaki hiyo katiba mpya ??
Au ni nini hasa ??!