Hayati Magufuli alikuwa 'system disruptor', kwa bahati mbaya hakuimaliza kazi, kwa sasa hakuna tumaini tena

Hayati Magufuli alikuwa 'system disruptor', kwa bahati mbaya hakuimaliza kazi, kwa sasa hakuna tumaini tena

Kama tulivyomwambia Mungu atusaidie kwa huyu jambazi ndivyo tutakavyomwambia kwa yule master minder wao (kila mtu anamfahamu). Mungu anaweza wakuu!
 
Kama angekuwa mwema angetuletea katiba nzuri ili ht siku akifa basi katiba iwe msaada wetu. Mfumo mbovu umeukumbatia alafu unajenga future kweli?
 
Kiongozi wa watu vs Mapaka😁😁😁
 
Ili Tanzania mpya izaliwe, ilikuwa ni lazima ile ya zamani ife. Hapa nazungumzia 'system' ya zamani. Yale makundi ya watu yaliyohodhi madaraka na mamlaka ya nchi, ambayo yanabadilishana tu kutoka kizazi kimoja hadi kingine.

JPM, labda kwa bahati mbaya au kwa mipango madhubuti ya wazalendo alikwenda ikulu kwa kazi hiyo. Ilikuwa ni vita kwelikweli.

Kwenye madaraka haitakiwi kuacha 'vacuum', unapo ua system ya zamani ni lazima ujenge 'sytem' mpya. System ya JPM ilikuwa bado changa, haina mizizi wala mtaji wa watu kwenye chama na serikali. Na sasa imefagiliwa mbali.

'System' ya zamani imeshinda vita na imerudi madarakani, Tanzania ya zamani inasonga mbele. Kwasasa hakuna matumaini tena ya kuziondoa zile familia za kifalme kwenye madaraka ya nchi.

RIP JPM, you tried.
Huwezi kushindana na system,establishment,Raisi mwenyewe anaweza asiwe mmoja wa system,akileta za kuleta wanamtuliza!
Huyu kinana huyu anahusika na biashara ya nyara za serikali,meno ya tembo,
Sasa ghafla waziri wa maliasiri mwenye weredi,anatolewa,anawekwa mama alieshindwa hata kuwa balozi!hapo wameweka waziri atakae kimbizwa na wahuni,na tukumbuke huyu mama aliwahi kuwa balozi Kenya,akafanya madudu akarudishwa bongo na JPM,hapa naona mkono wa ujasusi wa Kenya katika kushawishi huyu mama awekwe kwenye hii wizara,Ili afanye maamuzi ya kujinufaisha Kenya.
 
System bila katiba bora yenye kujenga taasisi Imara ni sawa na kujilisha upepo tu.
 
Back
Top Bottom