Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Aisee!Wanaokula unga kwani wamelazimishwa au weww unakula unga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!Wanaokula unga kwani wamelazimishwa au weww unakula unga?
Tulijawa hofu sana hata kama alikua na malengo mazuriKweli aisee. Hii mpya ilikuwa Pasua kichwa
Huwezi kushindana na system,establishment,Raisi mwenyewe anaweza asiwe mmoja wa system,akileta za kuleta wanamtuliza!Ili Tanzania mpya izaliwe, ilikuwa ni lazima ile ya zamani ife. Hapa nazungumzia 'system' ya zamani. Yale makundi ya watu yaliyohodhi madaraka na mamlaka ya nchi, ambayo yanabadilishana tu kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
JPM, labda kwa bahati mbaya au kwa mipango madhubuti ya wazalendo alikwenda ikulu kwa kazi hiyo. Ilikuwa ni vita kwelikweli.
Kwenye madaraka haitakiwi kuacha 'vacuum', unapo ua system ya zamani ni lazima ujenge 'sytem' mpya. System ya JPM ilikuwa bado changa, haina mizizi wala mtaji wa watu kwenye chama na serikali. Na sasa imefagiliwa mbali.
'System' ya zamani imeshinda vita na imerudi madarakani, Tanzania ya zamani inasonga mbele. Kwasasa hakuna matumaini tena ya kuziondoa zile familia za kifalme kwenye madaraka ya nchi.
RIP JPM, you tried.
Sana..Sema wewe ndio huna matumaini. Watanzania wamejawa na nyoyo za furaha na amani chini ya Rais Samia Suluhu Hasani.