Hayati Magufuli alimkataa Mangungu mwaka 2020 na akakata jina lake licha ya kushinda kura za maoni, sisi Simba ndio tukamuona anafaa na sasa tunalia

Hayati Magufuli alimkataa Mangungu mwaka 2020 na akakata jina lake licha ya kushinda kura za maoni, sisi Simba ndio tukamuona anafaa na sasa tunalia

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kwa wasiofahamu, Murtaza Mangungu ni mmatumbi wa Kilwa Kaskazini, kwao ni Kipatimu kule kulikoanza vita ya Maji Maji, Mangungu amekuwa mbunge wa jimbo la Kilwa Kaskazini, baadae akaangushwa na mbunge wa Cuf ambaye ni mpwa wa marehemu Kingunge Ngombale Mwiru aitwae Vedasto Ngombale.

Baadae Mangungu alikuwa mshauri wa Waziri Mkuu katika masuala ya siasa, akaondolewa katika nafasi hiyo, mwaka 2020 Mangungu alishinda kura za maoni CCM akimshinda mbunge wa sasa wa jimbo hilo Francis Ndulane, hata hivyo Magufuli alimkataa Mangungu na akakata jina lake.

Mangungu akakimbilia dar kutafuta kazi ya kufanya, akaingia Simba na sasa tunapambana naye.

Mwakani tukiamka salama Mangungu atarudi tena kupambania nafasi yake aliyopokwa na Magufuli mwaka 2020, Magufuli hakukata jina lake kwa bahati mbaya, vyombo vilimshauri Ndulane ndio anafaa hivyo Mangungu akatemwa.

Mangungu alikasirika sana lakini hakuwa na la kumfanya Magufuli.

Mangungu anakubalika sana jimboni kwake, hata kesho zikipigwa kura za maoni Mangungu atashinda, anakubalika Kipatimu, anakubalika Namayuni, anakubalika Somanga, anakubalika Tingi, anakubalika Chumo, anakubalika Kinjumbi.

Ni mjanja sana katika masuala ya siasa, kwenye mpira Mangungu hayupo.Mangungu sio mtu wa mpira, Mangungu hana uwezo wa kuchambua mpira, Mangungu ukimuuliza kati ya Prince Dube vs Pa Omary jobs kwake anampa Jobe 100%.

Simba tuna tabia za kijinga sana, sisi tunaojua mpira tunaonekana mafala, malofa kwa sababu tu hatuonekani kwenye social media au tukienda uwanjani hatukai VIP, dharau zimekuwa nyingi ndio maana leo kwenye uongozi kuna watu wenye CPA lakin mpira hawaujui, kuna wanasiasa ambao hata kikosi cha kwanza simba hawajui kupanga.

Kazi tunayo.
 
Mangungu akakimbilia dar kutafuta kazi ya kufanya, akaingia Simba na sasa tunapambana naye.
 
Kwa wasiofahamu, Murtaza Mangungu ni mmatumbi wa Kilwa Kaskazini, kwao ni Kipatimu kule kulikoanza vita ya Maji Maji, Mangungu amekuwa mbunge wa jimbo la Kilwa Kaskazini, baadae akaangushwa na mbunge wa Cuf ambaye ni mpwa wa marehemu Kingunge Ngombale Mwiru aitwae Vedasto Ngombale.

Baadae Mangungu alikuwa mshauri wa Waziri Mkuu katika masuala ya siasa, akaondolewa katika nafasi hiyo, mwaka 2020 Mangungu alishinda kura za maoni CCM akimshinda mbunge wa sasa wa jimbo hilo Francis Ndulane, hata hivyo Magufuli alimkataa Mangungu na akakata jina lake.

Mangungu akakimbilia dar kutafuta kazi ya kufanya, akaingia Simba na sasa tunapambana naye.

Mwakani tukiamka salama Mangungu atarudi tena kupambania nafasi yake aliyopokwa na Magufuli mwaka 2020, Magufuli hakukata jina lake kwa bahati mbaya, vyombo vilimshauri Ndulane ndio anafaa hivyo Mangungu akatemwa.

Mangungu alikasirika sana lakini hakuwa na la kumfanya Magufuli.

Mangungu anakubalika sana jimboni kwake, hata kesho zikipigwa kura za maoni Mangungu atashinda, anakubalika Kipatimu, anakubalika Namayuni, anakubalika Somanga, anakubalika Tingi, anakubalika Chumo, anakubalika Kinjumbi.

Ni mjanja sana katika masuala ya siasa, kwenye mpira Mangungu hayupo.Mangungu sio mtu wa mpira, Mangungu hana uwezo wa kuchambua mpira, Mangungu ukimuuliza kati ya Prince Dube vs Pa Omary jobs kwake anampa Jobe 100%.

Simba tuna tabia za kijinga sana, sisi tunaojua mpira tunaonekana mafala, malofa kwa sababu tu hatuonekani kwenye social media au tukienda uwanjani hatukai VIP, dharau zimekuwa nyingi ndio maana leo kwenye uongozi kuna watu wenye CPA lakin mpira hawaujui, kuna wanasiasa ambao hata kikosi cha kwanza simba hawajui kupanga.

Kazi tunayo.
Hata uongeaji wake na sura yake ni wazi kabisa sio mtu wa mpira. Sijui hata kama alicheza mpira wa makaratasi. Unasema ni mjanja wakati hata sura yake tu inasoma ushamba ushamba
 
Kwa wasiofahamu, Murtaza Mangungu ni mmatumbi wa Kilwa Kaskazini, kwao ni Kipatimu kule kulikoanza vita ya Maji Maji, Mangungu amekuwa mbunge wa jimbo la Kilwa Kaskazini, baadae akaangushwa na mbunge wa Cuf ambaye ni mpwa wa marehemu Kingunge Ngombale Mwiru aitwae Vedasto Ngombale.

Baadae Mangungu alikuwa mshauri wa Waziri Mkuu katika masuala ya siasa, akaondolewa katika nafasi hiyo, mwaka 2020 Mangungu alishinda kura za maoni CCM akimshinda mbunge wa sasa wa jimbo hilo Francis Ndulane, hata hivyo Magufuli alimkataa Mangungu na akakata jina lake.

Mangungu akakimbilia dar kutafuta kazi ya kufanya, akaingia Simba na sasa tunapambana naye.

Mwakani tukiamka salama Mangungu atarudi tena kupambania nafasi yake aliyopokwa na Magufuli mwaka 2020, Magufuli hakukata jina lake kwa bahati mbaya, vyombo vilimshauri Ndulane ndio anafaa hivyo Mangungu akatemwa.

Mangungu alikasirika sana lakini hakuwa na la kumfanya Magufuli.

Mangungu anakubalika sana jimboni kwake, hata kesho zikipigwa kura za maoni Mangungu atashinda, anakubalika Kipatimu, anakubalika Namayuni, anakubalika Somanga, anakubalika Tingi, anakubalika Chumo, anakubalika Kinjumbi.

Ni mjanja sana katika masuala ya siasa, kwenye mpira Mangungu hayupo.Mangungu sio mtu wa mpira, Mangungu hana uwezo wa kuchambua mpira, Mangungu ukimuuliza kati ya Prince Dube vs Pa Omary jobs kwake anampa Jobe 100%.

Simba tuna tabia za kijinga sana, sisi tunaojua mpira tunaonekana mafala, malofa kwa sababu tu hatuonekani kwenye social media au tukienda uwanjani hatukai VIP, dharau zimekuwa nyingi ndio maana leo kwenye uongozi kuna watu wenye CPA lakin mpira hawaujui, kuna wanasiasa ambao hata kikosi cha kwanza simba hawajui kupanga.

Kazi tunayo.
Lakini mkuu!kosa la Mangungu pale ukolokoloni ni nini?sio yy anaesajili, sio yy anaetoa hela, yy hana nguvu kabisa ya kimaamuzi!ila mnamlaumu!wenye nguvu wako upande wa mwekezaji!sasa MANGUNGU ana kosa gani?embu tueleweshe wapenzi wa mpira!!
 
Lakini mkuu!kosa la Mangungu pale ukolokoloni ni nini?sio yy anaesajili, sio yy anaetoa hela, yy hana nguvu kabisa ya kimaamuzi!ila mnamlaumu!wenye nguvu wako upande wa mwekezaji!sasa MANGUNGU ana kosa gani?embu tueleweshe wapenzi wa mpira!!
Naomba wewe unieleweshe kama upande wa Mangungu hauna nguvu yoyote, sasa yupo pale kwa kazi gani hasa?

Upande aliopo Mangungu ni upande wa wanachama wenye hisa nyingi zaidi ya upande wa mwekezaji.

Sasa upande wenye hisa nyingi unakuwa vipi na nguvu ndogo dhidi ya upande wenye hisa chache?
 
Naomba wewe unieleweshe kama upande wa Mangungu hauna nguvu yoyote, sasa yupo pale kwa kazi gani hasa?

Upande aliopo Mangungu ni upande wa wanachama wenye hisa nyingi zaidi ya upande wa mwekezaji.

Sasa upande wenye hisa nyingi unakuwa vipi na nguvu ndogo dhidi ya upande wenye hisa chache?
unless unataka mabishano!lakini uhalisia kina mangungu wako pale kutimiza takwa la sheria la 51%, lkn hawana nguvu yoyote ktk uendeshaji wa team!hela etc wanafanya upande wa mwekezaji!MO akiamua leo sidhamini simba, team itahsindwa hata kulipa mishahara!so wale wapo kama picha tu!!usajili etc wanafanya kundi la mwekezaji
 
Naomba wewe unieleweshe kama upande wa Mangungu hauna nguvu yoyote, sasa yupo pale kwa kazi gani hasa?

Upande aliopo Mangungu ni upande wa wanachama wenye hisa nyingi zaidi ya upande wa mwekezaji.

Sasa upande wenye hisa nyingi unakuwa vipi na nguvu ndogo dhidi ya upande wenye hisa chache?
Ndiyo maana wakaitwa mbumbumbu walipoipitisha katiba ya kumpa nguvu muwekezaji hawakuona leo mambo yamekuwa magumu ndiyo wanakumbuka kwamba ndiyo walipaswa wawe na nguvu ya maamuzi kwa katiba hii hata Mangungu akitoka akija mwingine itakuwa hivi hivi tu
 
Back
Top Bottom