Kiukweli Mkubwa hakuwa anajipenda, maana alikuwa anajijua anamatatizo ya Moyo ila yeye kila kukicha alikuwa anafokeana na watendaji wazembe na kuwatumbua majipu.
Haitengenenezi tofauti. Inafunua kiwango chako cha ufahamu.Unalazimisha ni Corona haya sawa ....ila manyang'au design yako mpo tu na tunawavumilia.
Hayo matatizo yake ya moyo yalikuwa yanampeleka vibaya sana,maana ingefikia hatua angepiga marufuku matumizi binafsi ya smartphone maana sio kwa sheria hiziInawezekana ndio mana hata mikutano na maandamano ya wapinzani alizuia ili wasimuudhi akapata shida za huo mfumo..na kuzuia bunge live ili wasimuudhi.
Magonjwa ya kudumu huwa yanachosha mwili na akili na hivyo kuvuruga saikolojia ya mtu kitu kinacholeta hasira sana kwa mhusika.
Umesema vizuri sana. Labda tu nikwambie kwamba hatuwezi kwenda kwa approach ile ile ya tangu uhuru tukategemea matokeo tofauti. Vitu kama elimu, ujuzi, teknolojia ndio msingi wa maendeleo na kujitegemea. Vitu kama hivi haviombwi ili upewe kama msaada (hapa ndipo tunapokosea); vitu hivi hununuliwa kwa gharama nyingi sana. Mzungu haji eti akusaidie teknolojia, na ni kitu hakiyamkiniki, mtu katumia gharama kubwa sana kujenga ujuzi, maarifa, na teknolojia yake, aje akupe bure? Hizi ni intellectual property rights na hazigawiwi kama njugu, maana ndiyo siri yao ya mafanikio, nguvu na ukwasi.Ni kweli unavyosema, ila tunahitaji sera yetu ya mambo ya nje ieleze khasa mwelekeo wetu na azma yetu ya kujitawala na kujiletea maendeleo wenyewe.
Na hawa jamaa ni lazima waambiwe bila ushirikiano wa 50/50 faida basi hakuna makubaliano yoyote.
Mkuu, mimi nimeishi nje katika nchi nyingi tu za hawa jamaa nawafamu uzuri sana,moja ya tabia yao kuu ni kujiona wao bora ziku zote na ndo wenye akili na hutaka siku zote kukuonyesha wazi.
Alipoingia Magufuli walimwita outsider na approach yake kwao ilikuwa imejaa sana suspicions than optimism.
Tuwakaribishe na tuwasikilize kisha tutoe uamuzi ama tunakubali au hatutaki.
Tusiwapige vijembe, tusikatae wito wao kufanya mazungumzo na tuwe tayari kwa offer zao na tuziangalie.
Kwa mfano, twahitaji sana teknolojia hivyo tuwahimize katika hilo kwamba ukitaka tushirikiane mkubali kutusaidia kwenye teknolojia..
Na hata safari za ndani pia hakupenda sana kutumia ndege,Mungu ampe pumziko jemaJe, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?
Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.
Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.
Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.
Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.
Chanjo haizuii usiambukizwe au kuambukizwa,inajenga immunity tuKosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya ni alipoidharau corona na kufuata ushauri wa Msukuma
Tulikuwa tunasema anajiamini nini au ameshachanjwa?
Mabeberu noma sana🤣Pamoja na majonzi ya kuondokewa na Mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.
Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadaye iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.
Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.
Hii misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.
Naamini si CORONA Wala Mabeberu
Alale salama.
Chanjo inakufanya usiugue sana hadi kulazwaChanjo haizuii usiambukizwe au kuambukizwa,inajenga immunity tu
According to wataalam.
Me too.Je, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?
Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.
Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.
Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.
Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.
Saivi kwenye jenezaHujui kuwa yuko kwenye mabarafu??
Huko nje wapo watanzania wengi tu wamesoma uzuri tuwatumie hawa kwa kuwatengenezea miundombinu katika maeneo watakayohitaji.Umesema vizuri sana. Labda tu nikwambie kwamba hatuwezi kwenda kwa approach ile ile ya tangu uhuru tukategemea matokeo tofauti. Vitu kama elimu, ujuzi, teknolojia ndio msingi wa maendeleo na kujitegemea. Vitu kama hivi haviombwi ili upewe kama msaada (hapa ndipo tunapokosea); vitu hivi hununuliwa kwa gharama nyingi sana. Mzungu haji eti akusaidie teknolojia, na ni kitu hakiyamkiniki, mtu katumia gharama kubwa sana kujenga ujuzi, maarifa, na teknolojia yake, aje akupe bure? Hizi ni intellectual property rights na hazigawiwi kama njugu, maana ndiyo siri yao ya mafanikio, nguvu na ukwasi.
Kama kweli tunataka kujitegemea, kujitawala na kupata nguvu kiasi ni lazima tuwe tayari kutumia pesa kuwekeza katika ujuzi, maarifa na teknolojia. Wachina walifanya hivyo wakapeleka watu wao Havard, MIT, Princeton ili wavune maarifa na teknolojia za kigeni, waliporudi wakaijenga nchi yao kwa mchanganyiko wa maarifa na teknolojia mpya na zile zilizobuniwa locally.
Sisi tulipeleka watu nje ya nchi na bado tunapeleka, lakini nadhani mwanzoni mwa uhuru mahitaji ilikuwa tupate watu wanaoweza kuongoza serikali kisasa. Msukumo huo bado uko hivyo hivyo na matokeo yake nchi yetu imejaa policy makers na makarani wengi badala ya kuwekeza kwenye watu wenye real talents za ubunifu wa teknolojia.
Kwa hiyo sisi tunaweza kufanya hivi, kwamba serikali iendelee kuweka msisitizo wa uwekezaji wa viwanda, na factories zinaoongeza thamani ya raw materials zetu. Watu wetu wakiajiriwa katika technical departments za uwekezaji huo ndio namna ya kujiongeza katika maarifa na teknolojia za kisasa. Wakati huo huo ziwepo jitihada za makusudi, za kupeleka vijana wetu wenye talent kwenye mataasisi ya kibabe huko duniani ya elimu za teknolojia. Hawa wawe national assets wakirudi wasiachwe kwenye mataa kama tulivyozoea. Wawe incubated kama sehemu ya private na public sector, na ndivyo China ilivyofanya, ndivyo Ulaya inavyofanya, nashangaa kwa nini sisi tunafanya tofauti.
Hakika..kumbe alikua ana sababu zake maskini..Sasa ndiyo napata jibu ni kwanini alikuwa hapendi kupanda ndege mara kwa mara, na kwa upande mwingine naona namna tulivyo muonea na kumhukumu mtu huyu bila kuujua ukweli!!
bora amekufa tena kafia nje wakati anajiita mzalendo.ameharibu sana nchi huyu.alionywa akakataa kusikia.bora tuongozwe na mwanamke kuliko hilo shetani lililokufa.akili hana ndo maana alikuwa anatumia nguvu kwa kuua na kutesa wapinzani.haya kiko wapi kiburi kwisha.alivyokua anaua wapinzani mlikuwa mnachekelea haya sasa zamu yenu chekeni na nyie[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].mtamlaumu nani ccm??angeuawa mngesema chadema.mnamwita tundu lissu mabaga fresh.haya sisi tukimwita magufuli mzoga hapo vipi????Kama anafurahia, anafurahia kitu asichokijua!! Hivi anauhakika upi na Kesho yake, hata wewe mwenyewe!!
Na mwanaume wa kweli mwenye akili njema, hawezi kumwombea adui wake afe, huyo atakuwa muoga wa maisha, majitu yenye kujiamini huombea adui zao maisha marefu Ili siku moja waje wajionee ukuu wa Mungu na wao kukumbuka ubaya wa kuwatendea wengine ubaya!
Kitu ambacho Chama chenu chote kimekosa hii Hekima, mkiambiwa kuwa hamfai kwenye vita mtabisha?
Uzuri na ubaya, kila mtu ataonja umauti, na hakuna kifo eti kiitwe hiki ni kizuri kuliko kile, never!
R.I.P Jembe
Kilichokuwa kinakera Ni kitendo Cha wapambe wake kuwakejeli watu wenye matatizo ya kiafya. Kumbe uhai wetu upo mikononi mwa MunguJe, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?
Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.
Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.
Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.
Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.
Hakika..kumbe alikua ana sababu zake maskini..
Hakika..kumbe alikua ana sababu zake maskini..
Dah nimecheka kwa hii style yako ya kutoa maoni dahhh!Corona na ugonjwa wa moyo ni kama uji na mgonjwa,ukishakua na magonjwa sugu kama hili la jiwe na ukapigwa na coona hutoboi lazima parapanda italia tu.
Hahahahaa" utakwepa kifo wewe??? Wewe ni mzoga wa punde tu!!bora amekufa tena kafia nje wakati anajiita mzalendo.ameharibu sana nchi huyu.alionywa akakataa kusikia.bora tuongozwe na mwanamke kuliko hilo shetani lililokufa.akili hana ndo maana alikuwa anatumia nguvu kwa kuua na kutesa wapinzani.haya kiko wapi kiburi kwisha.alivyokua anaua wapinzani mlikuwa mnachekelea haya sasa zamu yenu chekeni na nyie[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].mtamlaumu nani ccm??angeuawa mngesema chadema.mnamwita tundu lissu mabaga fresh.haya sisi tukimwita magufuli mzoga hapo vipi????
Haiwezekani ufanye upumbavu halafu upite hivi hivi dikteta uchwaraView attachment 1729930
we ndo tahira kweli.jiulize kwa nini watu wamefurahi??jiulize kwa nini serikali inalazimisha watu waomboleze.Pumbavuu kabisa ccm kwani msiba nalo ni jambo la kulazimishana???au unafikiri ni uchaguzi huu ambao mnaweza lazimisha kwa kuiba kura[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].mmezoea wizi wizi.afe tu kwani nani anahitaji kuona watanzania wenzake wanauawa.mtu unaua halafu na wewe unakuja unakufa si ushoga huoKama anafurahia, anafurahia kitu asichokijua!! Hivi anauhakika upi na Kesho yake, hata wewe mwenyewe!!
Na mwanaume wa kweli mwenye akili njema, hawezi kumwombea adui wake afe, huyo atakuwa muoga wa maisha, majitu yenye kujiamini huombea adui zao maisha marefu Ili siku moja waje wajionee ukuu wa Mungu na wao kukumbuka ubaya wa kuwatendea wengine ubaya!
Kitu ambacho Chama chenu chote kimekosa hii Hekima, mkiambiwa kuwa hamfai kwenye vita mtabisha?
Uzuri na ubaya, kila mtu ataonja umauti, na hakuna kifo eti kiitwe hiki ni kizuri kuliko kile, never!
R.I.P Jembe
Angewasamehe na waliobambikiwa kesi ,waliompinga au kwenda kinyume naye.Yesu pale msalabani aliwasamehe kwanza waliomtundika msalabani kwa maumivu makubwa.LUKA 23:34Apumzike kwa amani.
Ni kama vile ameondoka vizuri kiduchu. Maana alienda Morogoro kuzindua Soko kuu, akasamehe wale watumishi waliokuwa wanakula ela za vizinda (Hakuwatumbua akawaagiza warudishe fedha walizokuwa wanachukua). Akawashukuru watu wa Moro kwa kumpa kura nyingi kuliko mikoa yote
Kisha akarudi Dar kufungua Stendi mpya akakubali kuacha alama ya Jina lake litumike. Akakumbuka kuwaombea wamachinga waendelee kuwepo kwenye hiyo stand. Hizo zote ni baraka ambazo zitamsaidia apokelewe vizuri na kiongozi wa Malaika.
Kuhusu ugojwa, alianza kuwapoteza baadhi ya wasaidizi wake kwa Ugonjwa wa shida ya kupumua hivyo sishangai hata yeye aliyekuwa na matatizo ya moyo kuugua. RIP