Lisu kapigwa risasi mchana kweupeLete ushahidi mbona huwa mnaishia kusema hivyo tu.¡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu kapigwa risasi mchana kweupeLete ushahidi mbona huwa mnaishia kusema hivyo tu.¡
Kweli Magufuli alikuwa mungu...hebu rudia kusoma vizuri ulichoandika.Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa
Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja
Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo
Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?
Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Kwa hiyo alikuwa Mungu wako mleta mvua?? Kumbe mlivyokuwa mnaabudu mlikuwa sahihi!!Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa
Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja
Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo
Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?
Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Wino wa simu ni wako...memory na gallery ulikotunza picha ni zako why not ?endelea kutuburudisha mkuuKwa kuwa najua inakukera nitaendelea kuipost.
Wewe huburudiki.Unakerekaendelea kutuburudisha mkuu
HaaahaaaMagufuli aliamrisha mvua zinyeshe kwa wakati
Lao umejitaidi kuandika kitu kilicho sambamba sana na uyatima, ujane na upumbavu wako! Siyo kuandika mambo ya wenye akili, tahadharisha na wenzako, bakieni kwa yesu wenu wa Lugola, anayeoza na ngozi ya kondoo, na hatafufuka kamwe!Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa
Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja
Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo
Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?
Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].daaa umenivunja mbavu mkuu daaa.Mjue Sisi Chadema tupo hatujalala.....Ooh. hoooooooh
Uchokozi huo.
Cheti feki ndo nini sasa????? Wenzako wanalima wewe unategemea ajira tena ya serikali ? Kama unafikiri wote wanaomchukia waliondolewa makazini basi upo mbali sana na ukweli.Wewe ni taahira! Unajuaje sio Mungu aliyekuwa anamwabudu? Wewe na wazazi wako **** mtu alikuwa na cheti feki au fisadi ndo maana unakuja hapa na kelele za kipumbavu! Hata Imani huna maana Bwana Yesu alisema kitoe kijinga kilichoko kwenye jicho lako kabla ya kukitoa cha mwenzako! Na usihukumu usije ukahukumiwa! Sasa nashangaa sana wewe unahukumu hapa! Je wewe ni mwema?
Nakwambia wewe ni shetani maana shetani yuko ndani yako!
Watu waweza kukucheka lakini umeongea kama my sista ujue..Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa
Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja.
Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo
Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?
Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha, ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
sipendi injili nyepesi ya namna hii, wewe unaweza kuwatamkia wazungu kuwa Mungu anatibu corona. Unahuo ujasiri siajabu hata uzi wa jamii forum huwezi kuandika.Yule Magufuli hakumtanguliza Mungu kamwe, hilo nimekukatalia. Nenda kasome Injili ya Mathayo 7:21
"Si kila aniambiaye, 'Bwana, Bwana', ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni."
Magufuli muuaji wa akina Ben Saanane hatoboi mbunguni kwa kutamka tu kuhusu Mungu, wakati matendo yake ni machafu
Si ameshakuambia kwamba alikuwa ni muuwaji au unataka akuambie nini tena.Nipe sababu kwanini unasema sio mcha Mungu
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa
Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja.
Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo
Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?
Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha, ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
RIP Ben Saanane
Jpm katawala miaka 5 hebu orodhesha walau watu 10 waliotekwa na kuuawa