Hayati Magufuli alipozuia chakula kisiuzwe nje mlikebehi, sasa mmeonja joto ya jiwe na kusalimu amri

Hayati Magufuli alipozuia chakula kisiuzwe nje mlikebehi, sasa mmeonja joto ya jiwe na kusalimu amri

Unafiki tu.
Aliyewaweka wabunge wenu kwa njia isiyoekeweka ni nani?
Nani alimweka Mdee bungeni, ni nani????
Kenge wewe
 
Ndugu huwezi kucomment kwa ustaarabu tu?
utala

utalamba wewe mpaka mavi ya yule mfu wenu siyo watu wenye akili. Na kule kusini aliwafanyaje au kwasababu wale siyo wasukuma. Mama hajazuia mtu kuuza chakula amewashauri kuweka akiba ya kutosha ya chakula au waiuzie serikali ili ije kuwauzia kwa bei nafuu. Tunajua mnawashwa sana na mizimu ya yule mshamba wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utala

utalamba wewe mpaka mavi ya yule mfu wenu siyo watu wenye akili. Na kule kusini aliwafanyaje au kwasababu wale siyo wasukuma. Mama hajazuia mtu kuuza chakula amewashauri kuweka akiba ya kutosha ya chakula au waiuzie serikali ili ije kuwauzia kwa bei nafuu. Tunajua mnawashwa sana na mizimu ya yule mshamba wenu
Utawatukana wangapi hapa! Endelea tukuone
 
Bashe fungua mipaka

Bashe wewe ni jembe.

Mama amekupa rungu ili wakulima wapate pesa.

Hii nini sasaView attachment 2656339
Kama unaona bei ya mazao ni kubwa kwa sababu wakulima walipewa ruhusa ya kuuza nje, basi nawe nenda kalime ili uuze ndani ya nchi.

Hakuna mkulima anailimia serikali au anawalimia watanzania, mkulima analima kwa maslahi yake na familia yake, atataka kuuza popote penye bei nzuri ili kufidia gharama za kilimo na kupata chochote. Soko la nje ni uhakika na lina bei nzuri kwa mkulima. Kwanini uingilie uhuru wa mkulima katika kuuza?
 
Mchele Kyela miaka yote wakati huu wa mavuno kwa kg 20 bei huwa 20 elf hadi 24 elf... mwaka huu ni elfu 37 wakati wa mavuno tungojee december kama watoto wa kapuku watakula wali. Hakika maji wataita mma
 
utala

utalamba wewe mpaka mavi ya yule mfu wenu siyo watu wenye akili. Na kule kusini aliwafanyaje au kwasababu wale siyo wasukuma. Mama hajazuia mtu kuuza chakula amewashauri kuweka akiba ya kutosha ya chakula au waiuzie serikali ili ije kuwauzia kwa bei nafuu. Tunajua mnawashwa sana na mizimu ya yule mshamba wenu
Alikuachia vichanga wangapi una hasira kama mama mjamzito
 
Pumbavu wewe na wewe si ukalime ili uwauzie Bei rahisi? Unayejamba hapa hujui production cost na risks wanazokutana nazo wakulima.Wewe unaanika nyeti zako kijiweni
utegemee mkulima Skype kwa Bei itakayopangwa na mtu aliyekaa ofisini
 
  • Na bei zikishuka mitaji ikafa msije kutulilia humu.
  • Kulima ni uwekezaji, si hisani ya kuwalisha raia.
  • Kila mtu atunze chakula chake, serikali inashusha bei ili ijinununulie.
  • Narudia tena: KULIMA NI UWEKEZAJI!
 
Ila ni aibu kwa taifa hili kuagiza chakula kutoka nje tunatumia dolla kuagiza chakula ni hatari kwa uchumi wetu
 
20230613_213252.png
hapo vipi 👆👆👆👆👆
 
Umeelewa tangazo ww lakini, hakuna katazo ila wakulima waleshauriwa wasiuze nje
Unajua faida za export ?

Alafu tuache ujinga wa kupima hoja kwa kuangalia awamu huo ni upambaavu
Tuangalie hoja ina to maslahi gani kwa wananchi walio wengi



Bashe fungua mipaka. Bashe wewe ni jembe. Mama amekupa rungu ili wakulima wapate pesa.

Hii nini sasa?

View attachment 2656339

====

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Tamasha la Utamaduni la Bulabo Mkoani Mwanza leo June 13,2023 ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba yake ni kuwaomba Wakulima kuhifadhi chakula na kutouza nje.

"Ndani ya Taifa let sasa akiba ya chakula ipo kama Tani laki 2 hadi laki 2 na Elfu 50 kwa kuanzia mwaka huu mavuno yaliyoanza tunakwenda kumwaga fedha kununua chakula, tunataka kuwa na hifadhi ya chakula Tani laki 5 kwa mwaka huu tunaoanzia, Nchi yetu iwe na Tani laki 5 tutakazohifadhi kwenye maghala yetu, nimeshampa kibali Waziri wa Kilimo a Waziri wa Fedha atoe fedha tuanze kununua mazao sasa"

"Niwaombe sana Wakulima mazao tusivushe kwenda nje tusubiri Wizara inakuja kununua mazao ili tuweke kwenye hifadhi, naziomba Familia zote za Wakulima waweke chakula cha kutosha kwa ajili yao, nitoe wito kwa Wakulima kutunza chakula cha kutosha, kuweka akiba ya chakula kwa matumizi va Familia na tusiuze chakula nie kibakie ndani kwa matumizi yetu, litakapokuja suala la uhaba wa chakula Tanzania tuwe tume iweka vizuri hauna shida ya chakula"

"Narudia tena tukumbuke kuweka akiba ya chakula, najua Ndugu zanguwa kisukuma mavuno hava tukishauza na bei zipo nzuri sasa wakina Baba tutakimbilia kuongeza nyumba za pili, mwenye mbili anakwenda ya tatu, si vibaya hatuna wivu hatukatai lakini mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza a mashamba ili tuvune zaidi tuongeze chakula zaidi"

Chanzo: Millard Ayo
 
Bashe fungua mipaka. Bashe wewe ni jembe. Mama amekupa rungu ili wakulima wapate pesa.

Hii nini sasa?

View attachment 2656339

====

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Tamasha la Utamaduni la Bulabo Mkoani Mwanza leo June 13,2023 ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba yake ni kuwaomba Wakulima kuhifadhi chakula na kutouza nje.

"Ndani ya Taifa let sasa akiba ya chakula ipo kama Tani laki 2 hadi laki 2 na Elfu 50 kwa kuanzia mwaka huu mavuno yaliyoanza tunakwenda kumwaga fedha kununua chakula, tunataka kuwa na hifadhi ya chakula Tani laki 5 kwa mwaka huu tunaoanzia, Nchi yetu iwe na Tani laki 5 tutakazohifadhi kwenye maghala yetu, nimeshampa kibali Waziri wa Kilimo a Waziri wa Fedha atoe fedha tuanze kununua mazao sasa"

"Niwaombe sana Wakulima mazao tusivushe kwenda nje tusubiri Wizara inakuja kununua mazao ili tuweke kwenye hifadhi, naziomba Familia zote za Wakulima waweke chakula cha kutosha kwa ajili yao, nitoe wito kwa Wakulima kutunza chakula cha kutosha, kuweka akiba ya chakula kwa matumizi va Familia na tusiuze chakula nie kibakie ndani kwa matumizi yetu, litakapokuja suala la uhaba wa chakula Tanzania tuwe tume iweka vizuri hauna shida ya chakula"

"Narudia tena tukumbuke kuweka akiba ya chakula, najua Ndugu zanguwa kisukuma mavuno hava tukishauza na bei zipo nzuri sasa wakina Baba tutakimbilia kuongeza nyumba za pili, mwenye mbili anakwenda ya tatu, si vibaya hatuna wivu hatukatai lakini mnapokumbuka kuongeza nyumba mkumbuke kuongeza a mashamba ili tuvune zaidi tuongeze chakula zaidi"

Chanzo: Millard Ayo
Atuambie na bei yake ya kununulia. Serikali haina tabia ya kununua mazao ya wakulima kwa bei ya kuridhisha.
 
Back
Top Bottom