Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Tumbili ni Hangaya na jopo lake la mapunguani wanaodalalia machanjo yenye sumu.Kama nyie tumbili mnaohangaika humu mitandaoni kupotosha.
Ikiwemo weye, Kibwengo in Chief.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbili ni Hangaya na jopo lake la mapunguani wanaodalalia machanjo yenye sumu.Kama nyie tumbili mnaohangaika humu mitandaoni kupotosha.
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Hayo majitu yanajitoa akili kwa kuuliza maswali ya kipumbavu, wewe unaongelea chanjo ya korona yeye anaongelea chancho zingine.Labda hujanipata ipasavyo.
Narudia tena kwa herufi kubwa:
CHANJO ZA CORONA NI UCHAFU WENYE SUMU.
Kwa tafsiri ya kizungu ninamaanisha hivi:
CORONA VACCINES ARE TOXIC RUBBISH.
Kwa kikerewe:
ICHANJO YA CORONA IS TOXIC GARBAGE.
AJAYE,Hatotumia nguvu sana kama uncle kuongoza.Hawezi kutokea MWENDAWAZIMU mwingine kama Magufuli kwa Tanzania hii na kuwa Rais. Nawalaumu CC ya CCM maana TISS walishakuwa na faili lake la UKICHAA mwaka 2015
CDM kwenye msimamo juu ya CORONA mlitepeta.
Mkt alishauri LOCKDOWN, ni Ujinga kujifungia ukafa NJAA, kuliko Kufa na Corona ukitafutia watoto chakula.
Ni uchumi upi ambao haukudidimia ?CDM kwenye msimamo juu ya CORONA mlitepeta.
Mbowe alidai WATANZANIA wote wadungwe CHANJO Kwa LAZIMA. Pia alidai tupigwe LOCKDOWN.
Tuweke mbali siasa, tuseme Kweli.
Ivi unajua MAGU aliokoa kudidimia Uchumi wa watu wa kipato Cha chini Kwa kiwango Gani Kwa kuzuia lockdown?
Yule mtu HATOSAHAULIKA. Amen
Ile Si chanjo kama zingine. Ni CHAPA, MARK au ALAMA ya MNYAMA.Mnakataa chanjo ya uviko 19 mnakubali dawa zao za Ukimwi. Hizo ni propaganda tuu.
Binafsi ni shahidi ..mwaka huu serikali ilizindua chanjo ya Polio kwa watoto chini ya miaka , serikali wali amua kuipeleka huduma hii mtaani kwa siku 4, aisee ilikuwa ni shida unakutana na mtu mzima mwanamama ana mtoto chini ya 5 lkn ana kataa mtoto wake kupewa chanjo ..aisee kuanzia pale nika amini ya kuwa maneno ni sikaha na ni sumu sanaaHayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Jambo Hilo lilikatisha wananchi tamaa juu ya vyama vya upinzani.Ni uchumi upi ambao haukudidimia ?
This is serious case mkuu. Hali ipo hivyoBinafsi ni shahidi ..mwaka huu serikali ilizindua chanjo ya Polio kwa watoto chini ya miaka , serikali wali amua kuipeleka huduma hii mtaani kwa siku 4, aisee ilikuwa ni shida unakutana na mtu mzima mwanamama ana mtoto chini ya 5 lkn ana kataa mtoto wake kupewa chanjo ..aisee kuanzia pale nika amini ya kuwa maneno ni sikaha na ni sumu sanaa
Sie hatukuyumba sana. Michele kilo Kanda ya ziwa ulikuwa 800.Ni uchumi upi ambao haukudidimia ?
Yes mm nilishuhudia ilo.. tena imagine ilikuwa hapa hapa Dsm ...je huko maeneo ya ndani ndani hali ilikuwaje ? Na.mbaya zaid tayari nchi jirani ya Malawi au Zambia kama sijakosea walisha ripoti kisa cha mlipukoThis is serious case mkuu. Hali ipo hivyo
Cheki ushuzi huyu pumbav huyu kibaraka!!Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Kwa nini hizo chapa wasiziweke kwenye dawa za Ukimwi tunazotumia zaidi?Ile Si chanjo kama zingine. Ni CHAPA, MARK au ALAMA ya MNYAMA.
Haishangazi watu wa aina hiyo kuwa na wafuasi wengi nchini, ukichukulia kuwa kuna mapumbavu milion 20 na mataahira karibia million 22.Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Ni Mataahira na Wapumbavu ambao ni zaidi ya millioni 42.Si huwa mnasema alikuwa hapendwi na hakuwa na wafuasi , ikawaje tena hao.wananchi wanaofuata mawazo yake ni akina nani?
Unajaribu reason kutumia akili Yako kushughulika na mambo YASIYOONEKANA!!!!Kwa nini hizo chapa wasiziweke kwenye dawa za Ukimwi tunazotumia zaidi?