Kulikuwa na makosa ya kiuhasibu kweli ambayo hata FIFA hawayaungi mkono,ishu ni kulipa plea bargain kwa pesa ambazo sio za serikaliKwa kanuni za FIFA, serikali iwakamate kiuonevu alafu wakae kimya? Tukubali sisi sote tuna mapungufu na hayo mapungufu ndio hutumika na adui pale anapokuta mlango upo wazi.
Jina la mwanzo kabisa ni Chawa wa Samia.Kuna watu humu wanalazimisha kila mtu awe anamkumbuka JPM kwa mazuri tuu
Ukija kuzungumzia tu mabaya yake utaitwa majina ya kila aina wewe subili utaona
Hapo ndio mwisho wa uwanda wa uelewa wakoJina la mwanzo kabisa ni Chawa wa Samia.
Punguza povu jifunze kuelewa kwa kina kinachoandikwa.Hapo ndio mwisho wa uwanda wa uelewa wako
Kwako kila ambaye anasema JPM kwa mabaya yake ni chawa wa SSH ?
Kwangu mie wote ni walewale tu hawana utofauti katika malengo yao kwenye chama chao CCM
unamjua karia? unajua wallece karia anafanya kazi gani weweSio kweli. Malinzi alishakula keki yake kwa kuifisidi TFF. Akaambiwa alizochuma zimemtosha, atafute shughuli nyingine ya kufanya, akajiona mwamba. Akakomaa; akagombea kwa kipindi cha pili.
Kilichompata hatokisahau maishani...
Wewe ulieona kwanini usisemeEbu tuletee na jinsi mbowe alivyopokea mpunga mzito kutoka kwa lowassa 2015 adi dr. slaa akasusa.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Mpaka sasa soka la kimataifa liko wapiYeah. Alikuwa amedumaza soka la kimataifa. Ila kutokana na fedha alizokuwa nazo, alijipanga kushinda kipindi cha pili. Wadau wa soka hawakuwa na nguvu ya kumzuia kushinda ndio wakamlilia Magu, 'afanye kitu' kumzuia Malinzi kushinda.
Ukisoma. Vizuri tatizo sio kukamatwa bali hela za Fifa kulipwa kwa DPP na hazijulikani zilipoUingereza ilipomtuhumu Chenge kwa kutafuna mpunga wa Rada na JK kutochukua hatua watanzania povu liliwatoka, JPM kuchukua hatua kwa tuhuma za FIFA kwa Malinzi wa Tanzania hao hao povu linawatoka(hawajui wanachokitaka).
Km makosa ya Malinzi yangekua madogo km mtoa mada anavyotaka kutuaminisha FIFA isingemfungia kwa miaka 10, ingemfungia angalau kwa miaka miwili...
Rushwa ni Rushwa na sheria zake ni zile zile kwa private & public sekta, malinzi kulipa faini kwa kutafuna pesa za FIFA haina excption in the eyes of Laws.
Bila kujali ukweli wa stori yenyewe, lakini inawezekana mtu atoke "kwa sababu ya uadilifu" wakati alikuwa hajafungwa rasmi?!Duh...!. Japo sina any facts for or against to substantiate the facts of this story, but I seriously doubt the correctness of these facts presented here kwasababu familia ya Malinzi tunaifahamu, milioni 800 ni kama punje tuu ya mchele kwa familia hiyo, ni familia ya wacha Mungu wanao mtanguliza mbele Mungu kwenye kila kitu, hivyo Jamal hakutoka kwa plea bargain, kwasababu ya uadilifu.
Sorry siamini hii story!.
Lets suppose this is true, kwa tunaoijua familia ya Malinzi, TZS 800 M, ndio iwe pesa ya kuifilisi familia hii?!. Kwa net worth yao, hiyo ni hela ya mboga tuu!.Bila kujali ukweli wa stori yenyewe, lakini inawezekana mtu atoke "kwa sababu ya uadilifu" wakati alikuwa hajafungwa rasmi?!
Kumbukumbu zangu zinaonesha kwa muda mrefu, Jamal alikuwa tu mahabusu na siku ya hukumu ndipo akahukumiwa kwenda jela miaka 2 au faini Sh 500K, na Jamal na mwenzake wakalipa faini.
Lakini kwa upande mwingine, hebu tafakari....
Tangu lini kesi ya kughushi na money laundering ikawa faini yake ni 500K za Kitanzania?!
Kwa hukumu hiyo, bila kujali maelezo mengine ya stori, nashawishika kuamini alitoka kwa plea bargain!
Don't forget, hukumu zile ilikuwa husikii kwamba ni "plea bargain" bali wanamalizana na wewe juu kwa juu kisha hakimu anaenda kumaliza formalities tu kama hizo za kupigwa faini 500K!
Kwa bahati mbaya hilo siwezi kulizungumzia with confidence coz' sifahamu lolote kuhusu familia hii na mitikasi yao!Lets suppose this is true, kwa tunaoijua familia ya Malinzi, TZS 800 M, ndio iwe pesa ya kuifilisi familia hii?!. Kwa net worth yao, hiyo ni hela ya mboga tuu!.
P
Nakubali yote, the heading should be, "alivyoigharimu" na sio "kuifilisi".Kwa bahati mbaya hilo siwezi kulizungumzia with confidence coz' sifahamu lolote kuhusu familia hii na mitikasi yao!
Lakini labda tutumie kidogo common sense....
Tuchukulie hiyo ni "pesa ya mboga" tu... je, hiyo pesa ya mboga tu inaweza kuwa ni % ngapi ya ukwazi wao wote?! 1%, 2%, 5%, au 10%?
And remember, kama ni 800M basi the whole saga from Day 1 hadi anatoka itakuwa ni 800M + Other Saga Costs, especially Mawakili. Na kwa kariba ya mtu ambae 800M ni pesa ya mboga tu, bila shaka alikuwa na Expensive Attorneys!
Tufanye saga lilimgharimu a total 1B... CASH... I repeat, CASH!! Cash itakuwa ama benki au kwenye vibubu but CASH!
Katika hali ya kawaida mtu anaweza kuwa tajiri lakini asiwe na cash kubwa kiasi hicho...
Na ili apate kiasi kikubwa kiasi hicho, hapo ndipo unalazimika ku-dispose baadhi ya assets zako out of desperation, and most likely, uta-dump at below the market price!!
Je, hata kama ni tajiri, hudhani hapo unaweza kuterereka japo kidogo?! Kwamba, hata kama kilichokatika maungoni mwako sio mguu basi angalau ncha ya kidole cha mwisho, itakuwa imekatika?
Hapo hapo changanya na changamoto zingine za Kibiashara ambazo majority wakati ule walikuwa wakilalamika kufa kwa biashara zao tena bila ya kukumbwa na yaliyokuwa yamemkumba Jamal!
kama sasahivi mnavyomrushia vijembe Dr Bashiru baada ya kuwapa ukweli mchunguKuna watu humu wanalazimisha kila mtu awe anamkumbuka JPM kwa mazuri tuu
Ukija kuzungumzia tu mabaya yake utaitwa majina ya kila aina wewe subili utaona
Sure... nakubaliana na weweNakubali yote, the heading should be, "alivyoigharimu" na sio "kuifilisi".
P
Ukweli upi alionipa mie kwangu Hana jipyakama sasahivi mnavyomrushia vijembe Dr Bashiru baada ya kuwapa ukweli mchungu
Yanga imefudhu makundi baada ya kuifunga CA.Mpaka sasa soka la kimataifa liko wapi
Midanganyika mko na mind set fupi kama mkia wa kondoooYanga imefudhu makundi baada ya kuifunga CA.