Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

U nailed it
 
Source?
 
Kwa bahati nzuri kuna ndugu na hao jamaa wapo humu. Acheni urongo wenu
 
Mmh, pazito HAPO😳😳
 
Magugu maji alikuwa zaidi ya haramia..kuna mzee pale Moshi alikombwa hela akapata stroke hadi leo..huko alipo wamuongezee kuni mshenzi yule
 
Sijamaliza hata kusoma lakini nimeona ni upuuzi mtupu.MTU ukiiba pesabza umma kazima ushughulikiwe.Siyo kama sasa nchi inaliwa tu na hakuna hatua inayochukuliwa.
roho mbaya tu ndio inakusumbueni kila mwenye hela mlimuona mwizi.. sasa kafa na watu bado tuna hela na nyinyi na roho mbaya zenu bado mnadidimia kwenye umaskini
 
Kwa kuongeza tu JPM alikuwa anafuga wapigaji kibao waliokuwa na baraka zake. Bashite, Kakoko wa TPA, Mwakabibi Manispaa ya Temeke, DC Hai nk
 
Mwacheni Mungu aitwe Mungu.
 
Dioniz Malinzi aliyeekuwa mmiliki wa Cargo Stars Transport
 
Umeongea ukweli 90% hasa aya ya mwisho. "Uhuru na pesa zako". Uhuru, uhuru, uhuru!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…