Unaumia eeee!Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.
Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???
Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Daa, ule ulikuwa ni uchizi wa hali ya juu, woga wa namna hii ni keroIlibaki kidogo asababishe kifo cha kiongozi mmoja kwa kumlazimisha afanye press kudanganya haumwi hili hali kovidi ilikua imemkaba akaanza kukohoa hadi kamera zikazimwa upesi, behind the scene akarudishwa kwenye mtungi wa oxygen kumnusuru.
Lakini yote hayo yamepita sasa Tanzania ipo katika mikono salama ya Rais Samia SuluhuPamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na sifa moja, akikupenda na kukuamini utakula mema ya nchi na atakulinda, hakuwa kigeugeu ila akikuchukia imekula kwako.
Hakuwa mnafiki kujifanya anakupenda wakati hakupendi,
Marafiki zake walimpenda kwa hilo walijiaminisha kuwa atawalinda milele kwa lolote ambalo lingetokea wakasahau maandiko matakatifu kuwa amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu.
Mmoja kati ya marafiki wa Magufuli alikuwa bwana Mfugale. Kiasili huyu bwana hakuwa fisadi, alikuwa mtu msafi ndio maana Magufuli alimpenda.
Mara kadhaa aliomba kustaafu ila alikataliwa na Magufuli maana kama nguvu alikuwa nazo na bado Taifa lilihitaji msaada wake.
Tatizo likaja ni kuwa Magufuli alifanya Tanroads kama kampuni yake kupatia humo akatengeneza madili mengi sana na akaipa kazi zisizokuwa za kwake kiasili, mfano usimamiaji na ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha sukari Mkulazi cha mkoani Morogoro. Hii kazi ilipaswa kusimamiwa na TAMESA ila ikaagiea Tanroads waifanye, bilioni 68 zikapotea kimiujiza.
Pili uwanja wa ndege wa Chato uliotakiwa kusimamiwa na mamlaka ya viwanja vya ndege nchini jukumu hilo akapewa Tanroads ya Mfugale.
Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.
Nani angethubutu kuhoji matumizi hayo mbele ya John Pompeo.
Miezi michache baada ya Magufuli kufariki ndio mamlaka husika zikaanza kuimulika na kuomba ufafanuzi wa matumizi ya Tanroads.
Madudu yaliyoibuliwa huko ni mengi sana, yalikuwa yanaenda kuharibu heshima ya mzee Mfugale aliyoijenga kwa miaka mingi.
Siku chache kabla ya Mfugale kufariki iligundulika kuwa Tanroads ilifanya malipo mara mbili kwa kampuni fulani ya ujenzi kwa kazi moja yaani double payment.
Mzee wa watu akaingia kwenye sonona akajilaumu bora angestaafu mapema akalea wajukuu kuliko kuingia kwenye kashfa ambazo alikuwa tu akipokea maelekezo toka kwa mwendazake.
Sonona inaua akafa kwa presha na masikitiko moyoni
RIP Mfugale
Nchi yetu hii bila yakuwa na Lugha moja hatuwezi toboa.Ungeanzia wapi kumsema labda kama umechoka kuishi
Unaumia eeee!
Na bado!!
Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.
Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???
Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Bado nini...
Na huku najua mnateseka na mzimu wa mzee Magufulil mwamba
Ukweli ni kuwa magufuli ni shujaaa hawez kusaulika alikuwa mzalendo wa kweli acha apumzike na circke nzima taifa halitakuja kumsahau
Jpm ana bahati mbaya Sana. Nyerere anasifiwa kila Kona ya nchi na hakuna anayemsema vibaya kwa lolote lakini jpm anaandamwa kila kitu. Hilo ni funzo kubwa sana kwamba tuwsiwe Kama yeye kwa kujitakia sifa at the expense of other's sufferings.
Mbona alifia kikaoni watu wakiwepo? Japo alifokewa sana na MK na hakuchukua muda mauti yakamkuta.Huyo walimuua, hakuna cha pressure wala nini ...!!
Kupoteza mmoja mmoja kwa ajili ya Taifa hakuna shida.
Ni ni bora kugonga Bodaboda mmoja kwa ajili ya kunusuru ajali ya buss na kuua abiria wote.
Nimesoma nimebaki kusikitika natamani niandika chanzo cha kifo chake lakini ngoja tuache .......inshort Eng mfugale amekufa akipambania nchi yake TzPamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na sifa moja, akikupenda na kukuamini utakula mema ya nchi na atakulinda, hakuwa kigeugeu ila akikuchukia imekula kwako.
Hakuwa mnafiki kujifanya anakupenda wakati hakupendi,
Marafiki zake walimpenda kwa hilo walijiaminisha kuwa atawalinda milele kwa lolote ambalo lingetokea wakasahau maandiko matakatifu kuwa amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu.
Mmoja kati ya marafiki wa Magufuli alikuwa bwana Mfugale. Kiasili huyu bwana hakuwa fisadi, alikuwa mtu msafi ndio maana Magufuli alimpenda.
Mara kadhaa aliomba kustaafu ila alikataliwa na Magufuli maana kama nguvu alikuwa nazo na bado Taifa lilihitaji msaada wake.
Tatizo likaja ni kuwa Magufuli alifanya Tanroads kama kampuni yake kupatia humo akatengeneza madili mengi sana na akaipa kazi zisizokuwa za kwake kiasili, mfano usimamiaji na ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha sukari Mkulazi cha mkoani Morogoro. Hii kazi ilipaswa kusimamiwa na TAMESA ila ikaagiea Tanroads waifanye, bilioni 68 zikapotea kimiujiza.
Pili uwanja wa ndege wa Chato uliotakiwa kusimamiwa na mamlaka ya viwanja vya ndege nchini jukumu hilo akapewa Tanroads ya Mfugale.
Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.
Nani angethubutu kuhoji matumizi hayo mbele ya John Pompeo.
Miezi michache baada ya Magufuli kufariki ndio mamlaka husika zikaanza kuimulika na kuomba ufafanuzi wa matumizi ya Tanroads.
Madudu yaliyoibuliwa huko ni mengi sana, yalikuwa yanaenda kuharibu heshima ya mzee Mfugale aliyoijenga kwa miaka mingi.
Siku chache kabla ya Mfugale kufariki iligundulika kuwa Tanroads ilifanya malipo mara mbili kwa kampuni fulani ya ujenzi kwa kazi moja yaani double payment.
Mzee wa watu akaingia kwenye sonona akajilaumu bora angestaafu mapema akalea wajukuu kuliko kuingia kwenye kashfa ambazo alikuwa tu akipokea maelekezo toka kwa mwendazake.
Sonona inaua akafa kwa presha na masikitiko moyoni
RIP Mfugale
Naona bado anakubutua hata baada ya kufa
Magufuli alikuwa mbaya kwa wapumbavu, wajinga, mafisadi na wapinzani koko pekee
Kuuwa mpumbavu mmoja ili wapone mamia siyo mbaya, hiyo ipo dunia nzima!
Hako ka saa 8 kailikuwa kapumbavu sana,! Na tulikaonya hakakusikia.
Mtu ameshakuwa rais, wew na utaahir wako eti umekomaa unahoji sijui phd imejambia pemba ushuzi ukatokezea kagera! Kwa hiyo aache majukumu ya urais aanze kujibizana na ujinga wako?
Hata ni mimi nakupoteza tu.
Ndio na 2025 hata sisi machadema tutaungana na ccm kumpitisha kwa kishindo Samia ili kumkomoa marehemu jiwe!
Lisu tupa kule yani.
hayo ni majungu tu kama ulikuwa na chuki binafsi ungeandika hayo wakati yuko hai.angewezaje kuzipa fedha hizo taasisi zilizo jaa majizi matupu.kwani baada ya JPM kufa hizo taasisi ziko salama,zinafanya kazi kwa uadilifu?10% tanroads zimeish au kupungua.Temesa ukiritimba umeisha?mbona hamsemi yale mazuri yake aliyoyafanya mnaandika mabaya tu?