Hayati Magufuli aliweza kujenga miradi kwa fedha za ndani, hizo fedha za ndani kwa sasa zinafanya kazi gani au mapato yameshuka?

Hayati Magufuli aliweza kujenga miradi kwa fedha za ndani, hizo fedha za ndani kwa sasa zinafanya kazi gani au mapato yameshuka?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Awamu iliyopita Rais, Makamu, Waziri Mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.

Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndani.

Bunge na units zilizopo chini yake walituambia tuNajenga kwa fedha za ndani

Miezi Tisa baadaye hakuna yeyote anayetuambia tunatumia fedha za ndani, je Nani kabadili matumizi ya fedha za ndani Kwenye ujenzi? Amebadili kazipeleka wapi hizo fedha? Alipata wapi ridhaa yakubadili matumizi ya fedha za ndani? Upi msimamo wa CCM kuhusu Kuanza kufanya miradi kwa fedha za nje?
 
Ila magufuli aiseee...

Nilitaka kumuoa binti yake Jesca lakini nikifikiri uongo na roho ya baba yake nakosa hamu nae kabisa
Wacha uoga kama upo tayari nenda kabebe toto la ikulu
 
Mada kuwa Mwendazake alijenga na pesa za ndani inaonesha usomi wako wa Sheria umekutoka.

Fly over zote alitudanganya ni fedha za ndani wakati ilikuwa ni Mikopo ya Nchi za Japan USA world Bank nk zipo pesa zilitolewa na Mashirika km JICA, ADB kwa ajili ya barabara za shortcut Bagamoyo Pangani Tanga na uwanja wa Ndege km Msalato zote zilipelekwa Chato Tan road wakamalize Hospital kubwa Afrika mashariki na kati.

Mwendazake alikopa kupindukia na alimaliza mifuko yote ya kijamii sembuse watu binafsi, kuna jirani yako ambaye katoka na Mwendazake huko kwenu anaitwa KABENDERA akaunti zao zilichotwa, kina Harbinder, Ruge.

Mwendazake alikuwa dhulumati aliyetaka kujinifaisha kwa kutangaza uongo
 
Awamu iliyopita Raise,Makamu,Waziri mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.

Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndan...
Kinachoitwa fedha za ndani ni trilioni 23 tulizokopa awamu ya 5 na wananchi waliambiwa watembee vifua mbele kwa sababu sisi ni donor country na tulishawasaidia chakula Msumbiji na Zimbabwe wakati fulani japo baada y a tetemeko Kagera waliambiwa kwamba Serikali haina shamba.

Sasa waje watuambie ni lini na kwa nini wamebadili jina la mikopo na kuanza kuiita kuwa ni fedha za nje za mabeberu?
 
Jpm alikuwa anakopa Sana tu Ila akatuona watanzania uwezo wa kuhoji Ni mdogo akawa anatupiga fix na ukihoji unampotezwa au unauawa. Rejea azory na bensaanane. Hivyo alichokiweza jpm ni kuenfesha nchi kwa uongo mwingi
Magufuli alikuwa MWONGO na mwizi mkubwa. Alitumia umbumbumbu wa Watanzania na kuwaita wanyonge na yeye ndiye mtetezi wao.
 
Awamu iliyopita Raise,Makamu,Waziri mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.

Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndani...
Hiyo miradi yote amejenga kwa mkopo uliza uambiwe. Aliwafool nyie mliotoka vichakani mkaamini.

Watanzania mnapenda kudangamywa sana mama amewaambia ukweli mnamuona hafai Yule mwizi alikuwa anafanya kimyakimya anawadanganya eti anajenga kwa pesa zetu. Zipi???
 
Chief Hangaya, the president herself yuko wapi na anasemaje yeye kama yeye?
 
Back
Top Bottom