kwann hukumwambia haya mzee magu?Huwezi kujenga miradi kwa fedha za ndani by Prof Luoga wa BoT
au magu alivyokuwa anasema anajenga kwa fedha za ndani alikuwa anatuongopea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwann hukumwambia haya mzee magu?Huwezi kujenga miradi kwa fedha za ndani by Prof Luoga wa BoT
Kila zama na kitabu chake!kwann hukumwambia haya mzee magu?
au magu alivyokuwa anasema anajenga kwa fedha za ndani alikuwa anatuongopea?
Kwa hiyo Magufuli alikuwa Mwongo?Huwezi kujenga miradi kwa fedha za ndani by Prof Luoga wa BoT
Hiyo miradi yote amejenga kwa mkopo uliza uambiwe. Aliwafool nyie mliotoka vichakani mkaamini.
Watanzania mnapenda kudangamywa sana mama amewaambia ukweli mnamuona hafai Yule mwizi alikuwa anafanya kimyakimya anawadanganya eti anajenga kwa pesa zetu. Zipi???
Mkuu unamjibu vipi mtu anayeandika "AKIRI"Ungemsoma na kumuelewa wala usinge andika post yako
Kila zama na kitabu chake!
Bado,una muota marehemu Muongo😂😂😂Awamu iliyopita Raise,Makamu,Waziri mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.
Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndani.
Bunge na units zilizopo chini yake walituambia tuNajenga kwa fedha za ndani
Miezi Tisa baadaye hakuna yeyote anayetuambia tunatumia fedha za ndani, je Nani kabadili matumizi ya fedha za ndani Kwenye ujenzi? Amebadili kazipeleka wapi hizo fedha? Alipata wapi ridhaa yakubadili matumizi ya fedha za ndani? Upi msimamo wa CCM kuhusu Kuanza kufanya miradi kwa fedha za nje?
Awamu iliyopita Raise,Makamu,Waziri mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.
Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndani.
Bunge na units zilizopo chini yake walituambia tuNajenga kwa fedha za ndani
Miezi Tisa baadaye hakuna yeyote anayetuambia tunatumia fedha za ndani, je Nani kabadili matumizi ya fedha za ndani Kwenye ujenzi? Amebadili kazipeleka wapi hizo fedha? Alipata wapi ridhaa yakubadili matumizi ya fedha za ndani? Upi msimamo wa CCM kuhusu Kuanza kufanya miradi kwa fedha za nje?
Kunywa K VANT nakuja kulipaMada kuwa Mwendazake alijenga na pesa za ndani inaonesha usomi wako wa Sheria umekutoka
Fly over zote alitudanganya ni fedha za ndani wakati ilikuwa ni Mikopo ya Nchi za Japan USA world Bank nk zipo pesa zilitolewa na Mashirika km JICA, ADB kwa ajili ya barabara za shortcut Bagamoyo Pangani Tanga na uwanja wa Ndege km Msalato zote zilipelekwa Chato Tan road wakamalize Hospital kubwa Afrika mashariki na kati
Mwendazake alikopa kupindukia na alimaliza mifuko yote ya kijamii sembuse watu binafsi, kuna jirani yako ambaye katoka na Mwendazake huko kwenu anaitwa KABENDERA akaunti zao zilichotwa, kina Harbinder, Ruge
Mwendazake alikuwa dhulumati aliyetaka kujinifaisha kwa kutangaza uongo
Awamu iliyopita Raise,Makamu,Waziri mkuu na viongoozi wote wa Serikali walitueleza wazi kwamba wanajenga Kwa fedha za ndani.
Chama cha Mapinduzi na taasisi zake zote walizunguka kutuambia Serikali ya CCM inajenga kwa kutumia fedha za ndani.
Bunge na units zilizopo chini yake walituambia tuNajenga kwa fedha za ndani
Miezi Tisa baadaye hakuna yeyote anayetuambia tunatumia fedha za ndani, je Nani kabadili matumizi ya fedha za ndani Kwenye ujenzi? Amebadili kazipeleka wapi hizo fedha? Alipata wapi ridhaa yakubadili matumizi ya fedha za ndani? Upi msimamo wa CCM kuhusu Kuanza kufanya miradi kwa fedha za
MhIla magufuli aiseee...
Nilitaka kumuoa binti yake Jesca lakini nikifikiri uongo na roho ya baba yake nakosa hamu nae kabisa
Hatari Sana..Hiyo miradi yote amejenga kwa mkopo uliza uambiwe. Aliwafool nyie mliotoka vichakani mkaamini.
Watanzania mnapenda kudangamywa sana mama amewaambia ukweli mnamuona hafai Yule mwizi alikuwa anafanya kimyakimya anawadanganya eti anajenga kwa pesa zetu. Zipi???
Ulikua na ujinga wa kujiondolea elimu kwa kusoma taarifa ya kifedha ya BOT angalau ya robo mwaka kama sio ya kila mwaka wa fedha? NB: sijakosea kuandika heri ya mjinga kuliko mpumbavuJpm alikuwa anakopa Sana tu Ila akatuona watanzania uwezo wa kuhoji Ni mdogo akawa anatupiga fix na ukihoji unampotezwa au unauawa. Rejea azory na bensaanane. Hivyo alichokiweza jpm ni kuenfesha nchi kwa uongo mwingi
wewe ndio mpumbavu, ukienda kukopa hela benki unaacha hela counter?? au zinakuwa zako??Jpm alikuwa anakopa Sana tu Ila akatuona watanzania uwezo wa kuhoji Ni mdogo akawa anatupiga fix na ukihoji unampotezwa au unauawa. Rejea azory na bensaanane. Hivyo alichokiweza jpm ni kuenfesha nchi kwa uongo mwingi