Hayati Magufuli aliweza kuwatisha waovu, mifumo iliamka kufanya kazi

Nyinyi ndo mlikuwa wezi sasa hivi mnamnanga.
 
Ni Kweli kabisa,

Kwa shetani na wezi wa Mali ya umma, Mimi ni HASARA kubwa,

Lakini Kwa Mungu, na wote wenye kiu ya HAKI, Mimi ni FAIDA kubwa sana.
Mbona hata yeye alikuwa anaiba mali ya umma? Au ndiyo nyie wenye macho makengeza, mnaona wizi wa watu wengine ila wa Magufuli hamuuoni. CAG Prof Mussa Assad kwenye ripoti ya 2016-18 alihoji matumizi ya Tsh 2.4 Trillion. Akaishia kufukuzwa kazi na Magufuli
 
Assad alisema hajui pesa zilipo,

Kutojua pesa zimeenda wapi, haimaanishi zimeibwa,

Magu alizikwapua na kwenda kujengea madaraka huko na huko bila kufuata Utaratibu wa kisheria,

Lakini Kwa kuwa KAZI alizofanya ni njema na zinaonekana,

Mtu huyo ni MWEMA.

Abarikiwe.
 
Wacha kujificha kwenye kichaka cha kazi nzuri eti "kujengea madaraja huko na huko". Kufanya manunuzi bila kufuata sheria ndiyo UFISADI wenyewe.

Angalia kuna Bombardier aliyonunua bila kufuata utaratibu, na nyinyi kila siku mnamsifia kununua ndege kumbe mwenzenu alikuwa anatengeneza mpunga wake.

Citizen ya 23 Desemba 2023 inasema hivi
 
Wapinzani mnawasingizia, matawi ya mti hunawiri kulingana na kazi ya mizizi na shina. Tusizunguke jamani shida ipo ccm mahala serekali inapoundwa.
 
Wapinzani mnawasingizia, matawi ya mtu hunawiri kulingana na kazi ya mizizi na shina. Tusizunguke jamani shida ipo ccm mahala serekali inapoundwa.
CCM haitaki kurudi katika misingi ya HAKI na haitaki wanyoofu kupata vyeo vya juu,

Upinzani pia wanahusika, walipinga wazi ujenzi wa JNHP wazi wazi,

Lema alisema, tuachane na umeme wa maji, ni gharama kuliko umeme wa jua.

Motive behind ni nini juu ya kauli hizi?
 
Assad na Ripoti ya CAG halijatajwa humu,

Jikite kwenye mada, au anzisha Uzi wako uelezee Ripoti ya CAG.
 
Rabbon, Rabbon, Rabbon!... Nimekuita mara 3. Kwa Tz wapinzani are nothing, are negligible nikwambie sasa. Bwawa si linajengwa pamoja na hayo maneno?.
Kwa mwenye dola ndo pa kuelekeza focus.
 
Marehemu hakulalamika kwakua yy alikua final ni sawa na mzazi nyumbani ukikalamikia nyumba yako nani atarekebisha he was taking responsibility/action kwakua hakuna mwingine wakutoa hayo maamuzi zaidi ya yeye
 
Rabbon, Rabbon, Rabbon!... Nimekuita mara 3. Kwa Tz wapinzani are nothing, are negligible nikwambie sasa. Bwawa si linajengwa pamoja na hayo maneno?.
Kwa mwenye dola ndo pa kuelekeza focus.
No,

Vyama vya upinzani ni vyama mbadala, jawapasi kupinga Kila kitu,

Jambo lenye maslah ya umma lazima tuwe kitu kimoja,

Walipasa kukubali HOJA ya ujenzi wa HOJA ya BWAWA la JNHP, upinzani wao ungejikita katika kushauri Serikali kutafuta wakandarasi Bora na wenye Kutoa Bei nzuri chini ya wale Serikali iliyowaabgazia,

Huo ndio upinzani wenye TIJA,

Lakini huu upinzani wa kusema ndege hizo ni pangaboi, bazifai chochote,

Kesho yake tunamuona Lissu aliyepinga ununuzi wa ndege akiziita pangaboi, mtu huyo huyo anazipanda,

Upinzani wa aina hiyo Si mzuri.

Upinzani mzuri ujengwe katika Truth, Truth.

Waliendelea na upinzani wa aina hii, Si Rahisi kuaminika na kupewa Nchi.
 
Marehemu hakulalamika kwakua yy alikua final ni sawa na mzazi nyumbani ukikalamikia nyumba yako nani atarekebisha he was taking responsibility/action kwakua hakuna mwingine wakutoa hayo maamuzi zaidi ya yeye
Mbona sa100 anamlalamikia wizi wa watumishi wanachepusha pesa za miradi zinazotoka hazina Kisha wanahamishia Kwa AC zao? Kwann hachukui hatua?
 
Magu alikwama ktk kufuta mfumo wa Betting.

Hili ni janga la Taifa.
Sio kukwama, Magufuli hakuwa na shida na watu ambao genuinely ni walipa kodi wazuri. Sasa ukitazama yeye ndio alikazia kwamba lazma kampuni hizo zitozwe 18% ya mapato kama kodi. Nadhani katika utawala wake ndo sheria ilitungwa na ikaanza kufanya kazi so automatically existance ya makampuni ya betting na wakamaria ina faida kwa uchumi wa taifa. Hapo mi sioni tatizo kama ni uraibu wa kamari hata walevi pia wana uraibu wa pombe so ni uamuzi binafsi wa mtu kuwa hataki betting na aache.
 
Mbona sa100 anamlalamikia wizi wa watumishi wanachepusha pesa za miradi zinazotoka hazina Kisha wanahamishia Kwa AC zao? Kwann hachukui hatua?
Kwa sababu hana composure kama kiongozi wa taifa
 
Ungejuwa ni kesi ngapi ziko ICSID na ngapi tumekwisha garagazwa na tunalipa billions of dollars kwa sababu ya maamuzi yake ya HOVYO, usingeandika huo utumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…