Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Alikuwa na kipaji cha uongozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaaa aisee...pamoja na mapungufu yake Ila watz wengi tulikua tunapenda hotuba zake... 😆 😆 😆😂😂😂😂😂😂😂. Alikuwa anatuchangamsha sana huyo mzee.
Huyu Mwamba achana nae kumpata mtu wa namna hiyo inahitaji nusu karne ni mara baada ya kushuhudia changamoto mbalimbali kama Taifa.RIP JPM WETU SISI WANYONGEEnzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.
Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.
Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.
Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.
Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.
Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.
Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.
Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".
Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.
Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Huyu inashindikana kwa sababu vyombo vyetu vya habari haviwezi kumfuata Washington, Dubai, Hongkong, Nairobi, Yemen, nk.Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.
Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.
Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.
Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.
Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.
Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.
Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.
Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".
Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.
Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Aliwahi kufika mkoa nilipo, saa 10.00 asubuhi katangaza kesho anazindua mradi mkubwa😂😂😂😂😂 wakati hiyo ratiba haikuwepo na hakuna mtu alitarajia.Sanaaa aisee...pamoja na mapungufu yake Ila watz wengi tulikua tunapenda hotuba zake... 😆 😆 😆
Na kweli ni vilaza,wenye roho mbaya kuliko ya shetani,ndo walimchukia JPM mzalendo wa KWELIHata mimi kuna daktari wa mirembe aliwahi nieleza kwamba vilaza huwa wanahulka ya kuchukia mtu type ya Magufuli.
They hate people like him with passion.
He won't rest until TANZANIA ya MAGUFULI ionekane.Let his soul Rest in peace.... he will never ever come again
Bro, huyo ni marehemu haisaidii kituEnzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.
Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.
Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.
Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.
Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.
Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.
Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.
Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".
Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.
Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Acha hasira na kulia hovyo, kila Mtanzania mwenye akili nasisitiza mwenye akili timamu anajua Jiwe alikuwa muovu, yaani muongo, mwizi na muuaji, sasa unadhani kwa akili kama zako unaweza yaona hayo?muuaji alikulia mama yako, ukiitwa mahakamani utaweza udhibitisha? acheni ujinga
Mtu yule aliwahurumia sana wananchi wa kipato Cha chini.Acha hasira na kulia hovyo, kila Mtanzania mwenye akili nasisitiza mwenye akili timamu anajua Jiwe alikuwa muovu, yaani muongo, mwizi na muuaji, sasa unadhani kwa akili kama zako unaweza yaona hayo?
Kuna Marais hawakuwa one man show lakini hawakufanya maajabu yoyote ndani ya miaka 10 zaidi ya ufisadi tu.One man show
Baada ya kukopa serikali imejenga madarasa hahahahaha nchi ya misukule inakishwa unga inashangiliaUmepambanua vizuri jinsi mtawala wa kiimla(dictator) anavyokuwa, rejea tawala za akina Hitler na dictators wengine trends zilikuwa hivyo hivyo na bado wana-trend mpaka leo.
Acha uongo huna hojaUmepambanua vizuri jinsi mtawala wa kiimla(dictator) anavyokuwa, rejea tawala za akina Hitler na dictators wengine trends zilikuwa hivyo hivyo na bado wana-trend mpaka leo.
Alikuwa mbunifu na mchapa kazi simple.Enzi za uhai wake, hayati Magufuli akiwa Rais wa awamu ya 5, aliweza kutrend kila siku. Aliweza kusikika jumatatu mpaka jumapili bila kuchoka.
Jumapili angeweza kwenda kanisani na TBC 1 wakarusha ibada.
Jumatatu angeweza kwenda soko la samaki feli.
Jumanne angeweza kwenda kumtumbua kigogo fulani.
Jumatano angeweza kuibukia Vingunguti machinjioni na kuangalia shughuli zote jinsi zinavyofanyika.
Alhamisi angeweza kusafiri kwa barabara kwenda Dodoma. Akifika Dumila anaweza akanunua mahindi na kupiga stori na wananchi.
Ijumaa angeweza kukagua ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino.
Jumamosi angekuwa Chato na kuwa mubashara kwenye kijiwe cha kahawa na "wanyonge".
Matukio yote hayo yangekuwa mubashara/live na TBC1.
Nchi nzima alikuwa anazungumzwa mtu mmoja tu, jamaa aliwezaje yaani kuwa mubashara kila siku?? Au ndio ilikuwa hulka yake??
Mtaongea yote ila tulimpenda na nguvu yetu mtaijua soonNilishawahi dokezwa na Mwanasaikolojia mmoja kwamba watu wenye hulka ya Udikteta na au shida ya Afya ya Akili,wakipata Madaraka ndio huwa wapo hivyo..
Mama yako ye ni nani katika nchi hii mwache atoe penzi kwa baba Yakosema mama hawezi sanaa kama za jiwe Mara kapiga picha kalala Kwenye miamba ya ikulu, Mara katokea CRDB kapanga foleni yakutoa hela, kwa mama hizi drama sijaziona bado