GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Your Mum.Moron.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your Mum.Moron.
Hujawahi Kumiliki Akili tokea Uzaliwe.Hata kama amekosea kwenye taratibu za uandishi ila ujumbe uko palepale. Aliyeweka watu kwenye viroba na aliyekuwa chini yake kwa uongozi wa kijani wote matatizo, hata wewe ni matatizo ndo maana unaona mema tu na kusifia hutaki mtu akukumbushe maovu.
Ukiona Mtu mpaka GENTAMYCINE namdharau Mtu hapa JamiiForums kama huyo Matola jua ni International Certified Fool na huwa nashangaa na namshangaa kuwa hajishtukii tu huku Wengine sasa tukiwa tunamsanifu.Low IQ, poor mindset & poor comments
We jamáa huwa ni kielelezo cha UJINGA na UPUMBAVU
Nakushauri ungebakigi kwenye jukwaa la Sports peke yake huko kidogo utapamudu
JPM ameshatangualia mbele ya haki muda mrefu sasa. Tulimsema sana wakati ule na baada ya kufa kwake.Unapoanzisha thread za Magufuli maana yake wewe ndio unaalika watu waje kumpopowa huyo Ibilisi wenu.
Anza wewe kumuacha huyo Ibilisi apumzike ili wengine waache kumuandika, ingawa si rahisi huyo Ibilisi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani aliyoyafanya.
Nani aliyewekwa kwenye viroba? Nani asiyeweka kwenye viroba?Hata kama amekosea kwenye taratibu za uandishi ila ujumbe uko palepale. Aliyeweka watu kwenye viroba na aliyekuwa chini yake kwa uongozi wa kijani wote matatizo, hata wewe ni matatizo ndo maana unaona mema tu na kusifia hutaki mtu akukumbushe maovu.
She's incompetent for the HS position.Akiwaza umeme na mitandao inavyompeleka puta lazima amnange jiwe kwa speed
you make alot of sensesHakuna mtu smart anafanya kazi serikalini, huko wamejaa wadumavu wa akili tu.
Usinifanishe kabisa, sihitaji cheti chochote cha kitaaluma kwenye maisha yangu, makaratasi hayana nafasi kwenye kazi zangu ni intelligence tu ndio inahitajika.
Hongera kwa Kujitahidi Kwako kumuelimisha huyo International Certified Fool Matola japo naona kama vile umepoteza tu muda wako kwani ukiona hadi Mimi Namdharau jua Yeye ni Empty Set wa Kutukuka.JPM ameshatangualia mbele ya haki muda mrefu sasa. Tulimsema sana wakati ule na baada ya kufa kwake.
How has that helped? Mbona tuna changamoto zinazojirudiarudia baada ya kufa kwake? Nani abebeshwe huo mzigo?
Muosha naye huoshwa. Kwa siasa hizi za maneno maneno, sidhani kama kuna ambaye atasalimika kuambiwa hakuwa competent, kama bado tunaendelea kutumia majina ya waliopita, kwa kuwabeza. Hujafa, hujaumbika
She's incompetent for the HS position.Huyu Mama ni mnafiki sana
Sure 100%She's incompetent for the HS position.
She's incompetent for the HS position.Laiti ingekuwa akisimama jukwaani na kufukua makaburi ya mtangulizi wake Kuna mwongezea credibility basi matunda yangeonekana ila hakuna mwisho wa siku anaonekana mwongeaji wa mipasho na hakuna anachofanya.
Afanye kazi atatue changamoto za watanzania hili ndo tunalohitaji kufukua makaburi hakutupeleki Canaan kwenye nchi ya ahadi.
She's incompetent for the HS position.Niliwahi sikia huko,kuwa ukiona mutu anasumbulia kumsema mwenzake,ni eti huyo mutu anamkubali huyo mutu na kumuogopa,ila sasa...
(sijui ni kweli ?)
Watu wa Pwani hawapendi kusikia Rais Magufuli kutoka bara tena mkristo kafanya makubwa ndani ya nchi hii kwa muda mchache wana chuki za kikabila na kidini shetani anasubiri yaani ni wajinga wa karne.Unapoanzisha thread za Magufuli maana yake wewe ndio unaalika watu waje kumpopowa huyo Ibilisi wenu.
Anza wewe kumuacha huyo Ibilisi apumzike ili wengine waache kumuandika, ingawa si rahisi huyo Ibilisi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani aliyoyafanya.
She's incompetent for the HS position.Watu wa Pwani hawapendi kusikia Rais Magufuli kutoka bara tena mkristo kafanya makubwa wana chuki za kikabila na kidini.