Hayati Magufuli amekukosea nini kila mara unamkosoa kimafumbo kwa watu mbalimbali?

Hayati Magufuli amekukosea nini kila mara unamkosoa kimafumbo kwa watu mbalimbali?

Magufuli is very divisive figure!!!
Matendo take yanamwandama sasa....
Mpaka kuku waliumizwa na huyu kiongozi wa malaika, mkabila, mdini, mwizi, zinzi , a covid denial dictator magufuli
 
Low IQ, poor mindset & poor comments

We jamáa huwa ni kielelezo cha UJINGA na UPUMBAVU

Nakushauri ungebakigi kwenye jukwaa la Sports peke yake huko kidogo utapamudu
Wewe una the lowest IQ ever!
Unampendaje mpika data kama yule?
Unga na mazao yaliposhuka bei unajua wakulima tulivyoumia?
Kajizikeni pembeni yake msitusumbue
 
Huko ni kujikweza kwa mataifa ya nje kulikoambatana na kutokujiamini.
...sasahivi anafanya kama vile magufuli hamtambui, huo ni UNAFIKI wa kiwango cha rami.
 
"Wakati ukimwombea mungu usisahau kuwaombea na wale wa kwenye viroba " na wengineo wengi waliojifia kwa sonona la kufilisiwa na kunyanganywa mali zao, maana wakati ule misiba ilikuwa haikomi, watu wengi hawajulikani wapo wapi mpaka leo hii. Ashukuriwe aliye juu mbinguni.
Aisee upo sikuoni kwenye majukwaa ya mpe huyo ondoa shaka ID yako naijua pekee yangu.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati hajaingia madarakani biashara kati ya Tanzania na Kenya ilikuwa ngumu sana huku akikumbusha vifaranga vilivyochomwa moto mpakani akisema haikuwa sawa kuchoma vifaranga kutoka Kenya.

Chanzo: mwananchi_official

Sasa kama kumbe unamchukia na uliona hakuwa kiongozi sahihi iweje ulikubali kuwa chini yake kama Makamu wake wa Rais? Kuna mtu yoyote labda alikuzuia kujiuzulu ili ateuliwe Makamu wa Rais mwingine na wewe uliyekuwa ukimwona hafai na mkatili ukae zako tu pembeni?

GENTAMYCINE nakiri wazi hapa kuwa kama mwanadamu/binadamu Hayati Magufuli alikuwa na mapungufu yake na tuliyompenda tutazidi kumuombea msamaha kwa Mwenyezi Mungu. Ila tuache kutafuta kukubalika kwetu kwa Watanzania, Wazungu na wana Afrika Mashariki wenzetu kupitia mgongo wa kumsema vibaya (kumchafua) na kumfumbia mafumbo ya kipwani pwani tu.

Hebu tumuacheni sasa baba wa watu apumzike huko alikolala usingizi wake wa milele na sisi (akina GENTAMYCINE) tuliyoshika usukani sasa tufanye zaidi ya aliyoyafanya ili nasi tukija kustaafu uongozini tusianze kubezwa kuwa tulitumia muda mwingi kuzurura ovyo, kutumia kibinafsi pesa za Wazungu, kunywa mno mivinyo ya Kifaransa na kuwawezesha akina Shilole na mitaji ya shilingi milioni 500 huko Dodoma (kama malipo ya burudani maalum) anayoitoa.

Msitulazimishe wenye akili kubwa, zilizotukuka na kubarikiwa na Mwenyezi Mungu tuanze sasa kuhisi kuwa huenda tarehe 17 Machi, 2021 Israel mtoa roho hakufanya kazi yake pekee ya kumtwaa mazima 'Mwamba' bali alisaidiwa kwa ukaribu na aliokuwa akiwaamini, kuwa nao karibu na kumsifia kinafiki kila walipokuwa naye katika matukio muhimu Magogoni na Chamwino.
Alikuwa mzigo mkubwa kwa Nchi,sie wakulima tulipata hasara kubwa Sana na kufukarishwa Sana..

Yule baba aliwakwaza wengi ikiwemo kudhalilisha Viongozi wenzake hadharani na sirini..Acha wapumue kwa kutoa nyongo zao..

Unavyoumia wewe shabiki yake akisemwa ndivyo wao waliumia wakisemwa..

Mama shikilia hapo hapo tuko pamoja dozi imeanza kukolea kwa mapopoma.
 
Unapoanzisha thread za Magufuli maana yake wewe ndio unaalika watu waje kumpopowa huyo Ibilisi wenu.

Anza wewe kumuacha huyo Ibilisi apumzike ili wengine waache kumuandika, ingawa si rahisi huyo Ibilisi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani aliyoyafanya.
Haha mkuu umetisha
 
Alikuwa mzigo mkubwa kwa Nchi,sie wakulima tulipata hasara kubwa Sana na kufukarishwa Sana..

Yule baba aliwakwaza wengi ikiwemo kudhalilisha Viongozi wenzake hadharani na sirini..Acha wapumue kwa kutoa nyongo zao..

Unavyoumia wewe shabiki yake akisemwa ndivyo wao waliumia wakisemwa..

Mama shikilia hapo hapo tuko pamoja dozi imeanza kukolea kwa mapopoma.
Unamaanisha wakulima kwa sasa ni matajiri?
 
Mwandishi wa gazeti la Mwanainchi Azory Gwanda aliuwawa na Polisi Tundu Lissu alipigwa risasi zaidi ya 15 nyumbani kwake Dodoma Ben Saanane kapotea haijulikani aliko wengine waliookotwa kwenye kiroba baharini mbona hasemi haya au vifaranga ni bora kuliko uhai wa Binadamu.
 
Unamaanisha wakulima kwa sasa ni matajiri?
Ndio Sasa Kama tunauza gunia la mahindi 100,000 Hadi 120,000 tunaachaje kuwa matajiri?

Sasa Kama Sasa hivi Parachichi zetu' zinauzwa huko Kenya tunaachaje kuwa matajiri?

Mbaazi soko likerudi,kila zao kwa Sasa Lina Bei nzuri ikiwemo Pamba afu linatokea taahira Kama Bashiru kuongea pumba zake shenzi kabisa..

Hata kahawa Sasa ruksa kuuzwa Uganda nk badala ya magendo
 
Unapoanzisha thread za Magufuli maana yake wewe ndio unaalika watu waje kumpopowa huyo Ibilisi wenu.

Anza wewe kumuacha huyo Ibilisi apumzike ili wengine waache kumuandika, ingawa si rahisi huyo Ibilisi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani aliyoyafanya.
Wewe ni vyeti feki tu au ni muuza madawa ndio wanaompinga mwendazake!
 
Tuacheni mbembwe za hapa mtandaoni, ukitaka kujua hali ikoje, ingia mtaani.
utagundua ni 20% tu wanaofurahia kipindi hiki.
Hata hapa hapa wapo watu wanaompaka mafuta samia kwa mgongo wa chupa, ili mkono uendelee kuingia kinywani!

mazao yanapanda bei kila siku wanaoEnjoy ni wafanyabiashara wala si wakulima kama mnavyoweza kufikiri.

mambo ni magumu, mambo ni magumu.

tunatumia gharama nyingi kuendesha maisha.
na huu ndio UKWELI

moshi unaonekana, lakini wanafiki wachacha wao wanasema hakuna moto.
 
Huna powenti, alikuwa shujaa wa karne ya kumi na saba
 
Magufuli hakuchoma kifaranga,, watendaji wajinga wasio na akili ndio walichoma kifaranga,,
SSH hana shida na JPM kama mnavyotaka kuaminisha watu,,
Shida ya watu wengi ni kutopenda kusikia ukweli na kuendekeza mambo ya kinafiki,,
Kwani ni uongo kuwa biashara na kenya ziliingia vitendo vya kulipiziana,,?
Huo ndio ukweli wa kilichotokea,, tuache mambo ya kinafiki
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati hajaingia madarakani biashara kati ya Tanzania na Kenya ilikuwa ngumu sana huku akikumbusha vifaranga vilivyochomwa moto mpakani akisema haikuwa sawa kuchoma vifaranga kutoka Kenya.
Ni sawa haikuwa sawa ila busara ni heshima kubwa kuliko umaarufu wa kulazimisha, aliyekosea alikuwa pamoja na anayelalamika na alishatangulia mbele za haki, basi sasa busara itumike kufunika udhaifu uliopita
 
Ndio Sasa Kama tunauza gunia la mahindi 100,000 Hadi 120,000 tunaachaje kuwa matajiri?

Sasa Kama Sasa hivi Parachichi zetu' zinauzwa huko Kenya tunaachaje kuwa matajiri?

Mbaazi soko likerudi,kila zao kwa Sasa Lina Bei nzuri ikiwemo Pamba afu linatokea taahira Kama Bashiru kuongea pumba zake shenzi kabisa..

Hata kahawa Sasa ruksa kuuzwa Uganda nk badala ya magendo
Je wakulima wanaolala njaa na kula mlo mmoja kwa siku november hii, unawaambiaje?

tofautisha mkulima na mfanya biashara wa mazao.
kumbuka: wanaolima kibiasha ni wachache sana kuliko wanaolima kwa ajiri ya chakula chao binafsi.
 
Unapoanzisha thread za Magufuli maana yake wewe ndio unaalika watu waje kumpopowa huyo Ibilisi wenu.

Anza wewe kumuacha huyo Ibilisi apumzike ili wengine waache kumuandika, ingawa si rahisi huyo Ibilisi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani aliyoyafanya.
Waswahili wanaamini katika mambo ya nyota. Na kuna sehemu wanafikiri kuna nyota ukiizima au ukiiba, mambo yako yatanyooka.

Siamini kabisa katika hilo. Kila mtu anakuja na "package" yake. JPM ameshakwenda. haya mauzauza sio ya JPM. Umeme, maji na mambo mengine kadhaa wa kadhaa. Yanataka majibu. Tuache kumsingizia JPM kwenye mambo yaliyopita muda wake.

Tunataka majibu ya changamoto hizi zilizopo mbele yetu. Kwa mfano, kwanini ndege za airbus karibu zote zimepaki? Kuna shida gani? Nayo ni matatizo ya JPM? Hivi ATCL ikirudi ilikotoka nalo ni tatizo la JPM? Hili ni tatizo moja tu katika matatizo kadhaa ambayo yanataka utatuzi.

Kama kweli tunaipenda nchi yetu, basi tuache ushabiki na kuwa serious. Tukatae aina zote za ukiritimba na uharibifu
 
Magufuli hakuchoma kifaranga,, watendaji wajinga wasio na akili ndio walichoma kifaranga,,
SSH hana shida na JPM kama mnavyotaka kuaminisha watu,,
Shida ya watu wengi ni kutopenda kusikia ukweli na kuendekeza mambo ya kinafiki,,
Kwani ni uongo kuwa biashara na kenya ziliingia vitendo vya kulipiziana,,?
Huo ndio ukweli wa kilichotokea,, tuache mambo ya kinafiki
achana na vifaranga, wamachinga wameyumbishwa sana kiuchumi, wamefukuzwa mijini, hivi ni kweli hamuyaoni au au?
 
Back
Top Bottom