Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Yaani kumbe tunao takataka kiasi hiki? Kwa hiyo mtu kama kala pesa za nchi asisemwe anyamaziwe tu kisa ni jeshi? Malaya mkubwa wewe

Matusi yatasaidia nini sasa? Walio kuwa wakifanya kazi ya kumsaidia mwenda zake kuongoza wajitathimini waone wanafaa kuaminika. Wakishindwa Bunge liwasaidie kujitathimini.
 
WaTanzania wanafiki sana sana! Ona tu hata waklimvyonafikia Tundu Lissu wakati wa Uchaguzi akafaikiri yupo nao. Kumbe huku walikuwa wanajua watamwibia kura zake na kumpatia JPM. Mambo hadharani sasa!
 
Uko sahihi kama wanajiamini wavunje rekodi ya kuhudumia wanyonge ya Magufuli waweke Legacy yao

Lakini ninavyoona inaelekea kuwa serikali ya kufurahisha walio wachache sio walio wengi kama ya Magufuli!! Dalili zimeshaanza kuonekana

Lakini mapema Magufuli katufunza kuwa serikali inabidi kuwa mtumishi wa walio wengi.Na ndio perception walio nayo wananchi walio wengi

So far naona inajitahidi ku impress the few !!! the minority!!
 
Kwa wanaoona Mbali utagundua tatizo kubwa ni sheria zetu mbovu, kwani mkaguzi anatumia sheria na ukifuata sheria hakuna hata mradi mmoja utakamilika, kwani zina mlolongo mrefu sana na hapo ndio upigaji mkubwa unatokea pia.
Aliyeuzika mchakato wa katiba ndo katufikisha hapa.
 
Kwa hiyo magufuli aliikuta hii nchi haina barabara?
 
Utawala mpya unapaswa kupambana kuliondoa tabaka aliloliacha linakuwa kwa kasi la wanyonge kulitoa katika unyonge na kulipa maisha bora, hilo ndilo tabaka lake lililompenda sana
Na tabaka hili ni baya Sana...likiamshwa sijui viongozi watajificha wapi ...walivyo na vitambi vizito wataweza kweli kuki bia?! Tusubiri tuone...something bad is cooking...
 

Dah huenda ikawa hivo lakini in a long run mtu anafaidika nini akivunja legacy ya mwendazake? Kinachonishangaza kwanini mnashindwa kuelewa auditing ni hesabu kwamba kilitajwa kiasi X kimetoka kiasi Yna hii ni kinyume cha taratibu, jambo B litakiwa lifwate hatua C na D halijafwata limeleta hasara Z. Hizi ni chunguzi zinazofanywa kwa urahisi bila kujali chuki, ni vitu vinavyo onekana dhahiri kabisa.
 
SGR haikaleta hasara, fikiria kama isingejengwa je bado ungesema tumepata faida? Kilichokosekana ni tozo ambayo haikulipwa na ambayo hata sasa inaweza kudaiwa na ikalipwa.

Sheria za kuajiri wageni ilikuwaje haikufuatwa wakati tuliambiwa kwamba JPM alimaliza kabisa rushwa na wafanyakazi walikuwa wanafanya kwa uweledi wa hali ya juu? Inakuwaje watu zaidi ya 1500 wageni wasilipe tozo ya vibali? Sawa ngoja Bunge washauri jinsi gani ya kurudisha hiyo bil 3.5 iliyokwepeka.
 
Hivyo vyombo havifanyi kazi ya kumlinda Rais kama hisani ni lazima vimlinde vinatekeleza katiba kenge wewe hivi nyie wapumbavu wa magufuli mna akili gani mmfuate huko aliko.
 
NAONA BAADA YA KUFIKA CHATO NA KUKOSA UONGO WABAYA WAKE WANATU'MIA RIPOTI T YA CAG KUMCHAFUA.






KUIZIMA NYOTA YA JPM ITAKUWA NGUMU SANA
Ana nyota gani muuaji mkubwa huyo
 
Pumbafu,hivi Magu aligusa wananchi wanyonge kwenye nini labda zaidi ya kuwanyonya yey na wafuasi wake majizi
 
Na tabaka hili ni baya Sana...likiamshwa sijui viongozi watajificha wapi ...walivyo na vitambi vizito wataweza kweli kuki bia?! Tusubiri tuone...something bad is cooking...

Wameshaamka, the darkness is lurking in our midst! Inasubiri a very Fine opportunity!
 
Lakini mkuu,tuliaminishwa mambo karibu yote ni pesa za ndani,na pia mapato yaliongezeka mara dufu sasa inakuaje aache deni kuliko wenzake waliokua na mapato machache na pesa za mikopo huoni either ni ufisadi au propaganda zilikua? Na kama si ufisadi kulikua na haja gani ya propaganda???
 
Yesu na Manabii na mitume walikufa walikuwa na dhambi ? Wewe utaishi milele?
Usipanic hao wamekufa kimwili. Kiroho wako hai. Mungu anaua watenda dhambi kimwili na kiroho.

Una hoja/swali lingine?
 
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
upo sahihi kabisa
 
Kama wao sio mafisadi tunaomba speed iwe 2 times ya ile ya Hayati Magufuli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…