Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Wataongea mengi ila Magufuli was the best atleast katika kuhakikisha tuliyoamini hayawezekani yanafanyika
 
Achana na hao wamama wenye uelewa mdogo(ashakum si matusi),wewe msimamo wako ni upi juu ya uongozi wa the Late JPM?
 
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
 
Unless unajitoa ufahamu then go back to your memories and search ni nani hasa aliuzika muswada wa katiba wa Mzee Warioba!!
Nahisi unajitoa ufahamu pia. Wangapi waliufyata wakawa wanasema nyeusi ni nyeupe. Haukuwa msimu wa kusema ukweli, waliothubutu walijikuta bahati mbaya zikiwafuata. Kuna yule daktari aliye-challaenge zoezi la kujifukiza niambie nini kilifuata? Nani hapendi kitumbua chake kiwe salama? Au nasema uongo ndugu yangu..!!
 
Fanyeni vyote ila tunataka speed ya JPM,, hospital, barabara, masoko, umeme maji tuone vinaendelea
 

Rudi kwenye msingi wa hoja yako Chief!

“Lawama ziende kwa aliezika mchakato wa Katiba Mpya!”

Hayo mengine hayanihusu!
 
Hivyo vyombo havifanyi kazi ya kumlinda Rais kama hisani ni lazima vimlinde vinatekeleza katiba kenge wewe hivi nyie wapumbavu wa magufuli mna akili gani mmfuate huko aliko.

Nimesema mahali hapa jukwaani waseme basi angalau chochote kulinda heshima yao na vyombo wanao viongoza. Heshima ya vyombo hivi imejengwa kwa miaka mingi kwa damu na jasho lao hivyo kukaa kimya si sawa na si haki. Kupotezea tuhuma hizi si afya kwa Taifa hili.

Dr Kigwangala kawa wa kupigiwa mfano wengine nao wa kabarofu basi.
 
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
Wapigaji waliwahi kuisha lini?
 
Mbona nae aliwashambulia wastaafu kwamba awajafanya kitu
 
Si mnadai CCM ni chuo cha uongozi na kwamba akitoka chuma kinaingia chuma? Au na ww una doubt uongozi wa CCM?

Uzuri ni kwamba mkifeli ni advantage kwa upinzani na mkifanikiwa pia ni advantage kwa upinzani ku seize opportunity ya kuua legacy ya JPM.

Hapa ni wakati wa Mbowe kucheza akili tu maana CCM wenyewe mnakiri hampo consistent kuongoza nchi.
 
Alianza kwa kufunua madudu ya wenzie nae yake yafunuliwe tuone uadilifu wake
 
Aliwateka akili kundi kubwa la wananchi ambao asilimia kubwa ni illiterate(wanyonge )na kuwadanganya et yeye ndo mkombozi wao na ndo wakawa na kazi ya kuimba shujaa wa Africa, go to hell Magufuli
 
Kwa hiyo un informed decisions ndio right decision? Kama unakiri hawajitambui sasa unadhani yakiburuzwa na mama kwa propaganda ndio hawatamuunga mkono pia?

If u agree hawawezi kureason then kubali pia hawatareason hta kma utawala huu ukifel
 
Magufuki kama alikuwa fisadi papa na mwizi na akafanya hayo makubwa ya miradi ya maendeleo kila mkoa wilaya mitaa na vijiji tunatarajia serikali iliyopo itafanya makubwa kwenye miradi maendeleo na ya jamii kuliko fisadi Papa Magufuli ambaye wengi wanyonge walimfurahia na ufisadi wake ulioripotiwa na CAG

Angekuwa hai wanyonge wangemtaka f Magufuli aongezewe kipindi cha kutawala
 
Aliwateka akili kundi kubwa la wananchi ambao asilimia kubwa ni illiterate(wanyonge )na kuwadanganya et yeye ndo mkombozi wao na ndo wakawa na kazi ya kuimba shujaa wa Africa, go to hell Magufuli
umeme kila kijiji zilikuwa nyimbo? Barabara bora za lami.uswahilini na vijijini zilikuwa nyimbo?

Vituo vya afya kila eneo zilikuwa nyimbo?Miradi ya maji kila kona zilikuwa nyimbo?
Adabu sekta ya umma kuhudumia wanyonge zilikuwa nyimbo?

U salute you Magufuli wherever you are .Ume set record ambayo itachukua miaka mingi kuivunja kwa yeyote atakayeshika serikali
 
Utakuja kurudi hapa siku moja ukiwa na huzuni na huamini kinachoendelea kwenye siasa unapewa furaha ya muda mfupi alafu maumivu ya muda mrefu haka kamchezo huwa kapo kwa kila anaeanza.kasoro Mwendazake hakua mnafiki alikua ananyooka penye ukweli anasema ,hataki anasema ndo maana alichukiwa na wengi binadamu tunapenda kudanganywa
 
Lakini CAG si mteuliwa wa jiwe? We ulitaka aseme uongo?
 
Kama na wao watakopa 20t why not? Hakuna mnyonge yoyote aliye kombolewa na Magufuli, sana sana ameruhusu biashara wa wamachinga wa mjini ambao wako vocal. Lakini wanyonge kwa maana ya wanyonge, hao huwa wanaburuzwa tu na kuwekewa maneno mdomoni na matapeli wa kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…