Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Umemshauri vizuri kwani bila hivyo itaonekana yeye ndoyo anayempinga kumbe ni kwakua watu wale wale wanafanya the opposite of what was there before
Kwa hali iyopo sasa viongozi wengi sana wataishia kuaibika maana watakua na kauli mbili zinazokinzana katika jambo moja.

Bora wapumzishwe tu, tujue it's a new era, kuliko kuendelea tukilinganisha awamu , haitasaidia zaidi ya kucreate chaos kwenye jamii.
 
Ile kuzuia uhuru wa vyombo vya Habari na sheria mbovu ya mtandao nilijua lazima kuna Ufisadi mkubwa unalindwa. Si kwa udikteta Ile na kukandamiza kule. Funga kaburi na pingu .
 
Hivi kumbe tulikuwa tunakopa?

Eee mie toka tumeambiwa sie matajiri na tuanze kuwa dona kantri nikajua imekwisha.

Sasa hizo tirioni zote bajet ya mwaka 1 zimeenda wapi jamani.

Au ndo kuna watu wamezifungia ndani afu sie tulipe.
 
Miradi mikubwa iliyokwisha tumia mabilioni ya pesa mpaka sasa lazima agangamale imalizike hata kama tija yake itaonekana miaka 100 mbeleni. Kuicha njiani itakuwa hasara zaidi kwa pesa iliyokwisha tumika kupotea bure.
 
Magufuli alikuwa kwenye ujenz wa nchi, hakutaka kelele kelele.
Uko sahihi ukiwa shambani unalima huhitaji press conference shambani ukilima!!! Ohh tumekuja kukosoa ulimaji wako ! Lazima uwakimbize na rungu sababu wanakuchelesha kulima na msimu wa kilimo unakaribia kwisha ndio Maana Magufuli alikuwa akisema watanzania tumechelewa sana!!
 
Reactions: Ame
Mambo yasipoenda ni kosa la Magufuli pia.

Alijenga mazingira ya kumtegemea mtu mmoja sana, kuliko kutegemea mfumo.
 
Ripoti ya CAG inafikirisha Sana. Ukiangalia kwa jicho pana Ina lengo la kuharibu legacy ya Hayati JPM. Imagine mtu anakuambia stendi kuu ya Mabasi ya Magufuli itasababisha zaidi foleni. Kwa maneno mengine, Bora tungebaki Ubungo walau Folen ingepungua.
Anyway, Tanzania ni yetu sote Hakuna atakayeiharibu akabaki salama.
 
CAG kageuka Traffic wa kuangalia misongamano ya magari? Kuna kitengo cha Traffic office ya CAG ? Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi.Lakini yote maisha.

Watasema yote lakini kumuondoa Magufuli kwenye mioyo ya wanyonge itachukua miaka mingi.si rahisi hivyo
 
Msoga wamejiandaa kweli. Na fikra zangu juu ya hotuba ya mzee wa msoga pale Chato siku ya mazishi ya Hayati JPM kwamba hakua anamchukia zinazidi kuwa karibu na ukweli. Najua PM atakua analia kwa yanayoendelea na naamini ana siku chache ofisini. Hata hivyo, wawe makini, watanzania wanaona na wanajua yanayoendelea.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] eti kageuka kuwa traffic wa magari nicheke mie, Ila huyu kicheree si aliteuliwa na mwendazake
 
Well said..safiii
 
[emoji3][emoji3][emoji3] eti kageuka kuwa traffic wa magari nicheke mie, Ila huyu kicheree si aliteuliwa na mwendazake
Alimteua kuwa CAG sio askari wa Traffic wa kuangalia misongamano ya foleni za magari stendi!!
 
Mama amefanya vizuri kuyaweka haya mambo yawe hadharani maana angeficha ungekuwa mzigo kwake...
So baada ya hapo sasa na yeye anaanza phase yake.
 
Angeacha vyombo viwe huru akosolewe alipokuwa hai haya yasingekuwepo. Sasa hivi tungekuwa tunamsifia tu.

Alipokuwa hai alipenda sana sifa wacha kibao kigeuke.

It can not get worse than 2015 -2020
 
Ukaguzi wa CAG ni mpana sana, acheni ushamba.Haya ni baadhi ya maeneo tu.
1.Anakagua mifumo ya pesa kuingia na kutoka
2.Anakagua matumizi ya pesa kulingana na sheria
3. Anakagua thamani ya huduma au bidhaa kulingana na pesa iliyotumika
4.Anakagua uthabiti wa sera na sheria zinazohusu matumizi ya fedha
5.Anatoa mapendekezo
 
Mungu aliona Jinsi mwendazake anavyotutesa akaona atupe ahueni kwa kumchukua mwendazake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…