Mkuu umeeleza vizuri sana. Sikuwa nafahamu naamini na hata ndugu zetu wanaoteseka, wale wa mapambio watakuwa wameelewa.Ukaguzi wa CAG ni mpana sana, acheni ushamba.Haya ni baadhi ya maeneo tu.
1.Anakagua mifumo ya pesa kuingia na kutoka
2.Anakagua matumizi ya pesa kulingana na sheria
3. Anakagua thamani ya huduma au bidhaa kulingana na pesa iliyotumika
4.Anakagua uthabiti wa sera na sheria zinazohusu matumizi ya fedha
5.Anatoa mapendekezo
Kwa hiyo CAG ni msemaji pia waTraffic kuhusiana na foleni na misongamano ya magari kwenye stendi za nchi hii? Kwenye ukaguzi wake wa mahesabu? Hakuna stendi ngumu kuingia na kutoka kama ya Makumbusho.Sijaona kwenye ripoti ya mheshimiwa msemaji wa Traffic CAG.Mwakani aweke kwenye ripoti yakeUkaguzi wa CAG ni mpana sana, acheni ushamba.Haya ni baadhi ya maeneo tu.
1.Anakagua mifumo ya pesa kuingia na kutoka
2.Anakagua matumizi ya pesa kulingana na sheria
3. Anakagua thamani ya huduma au bidhaa kulingana na pesa iliyotumika
4.Anakagua uthabiti wa sera na sheria zinazohusu matumizi ya fedha
5.Anatoa mapendekezo
Mimi hiyo ripoti ya Trafic ya foleni toka kwa CAG naipokea na natambua rasmi na nashauri ripoti zote za foleni nchi nzima matraffic wawe wanazipeleka kwa CAG ili aziweke kwenye ripoti zake za mwakaPole sana ndugu, natamani kungekuwa na namna ya kumrejesha shujaa wako mtakatifu duniani aje kupokea version nyingine ya ripoti, ila ndo vile tena haiwezekani, pambana utazoea tu.
Ahahahahahahahaha mnatamani sana CAG atumbuliwe kama mlivyofanya kwa ASAD baada ya ishu ya 1.5T kutojulikana zilikoCAG kageuka Traffic wa kuangalia misongamano ya magari? Kuna kitengo cha Traffic office ya CAG ? Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi.Lakini yote maisha.
Watasema yote lakini kumuondoa Magufuli kwenye mioyo ya wanyonge itachukua miaka mingi.si rahisi hivyo
Mtawala katili na mwongo.Usitetee maiti ya mfalme.Hatafufuka.Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Sasa hapa hoja yako ni nini? Hivi ulishawahi uliza shwali kama hili wakati YULE BALOZI WA TANZANIA NJE YA TANZANIA ANASEMA JPM MZIMA HAUMWI? Yeye alikuwa memaji wa serikali?Kwa hiyo CAG ni msemaji pia waTraffic kuhusiana na foleni na misongamano ya magari kwenye stendi za nchi hii? Kwenye ukaguzi wake wa mahesabu? Hakuna stendi ngumu kuingia na kutoka kama ya Makumbusho.Sijaona kwenye ripoti ya mheshimiwa msemaji wa Traffic CAG.Mwakani aweke kwenye ripoti yake
Hahaaaa!!!MATAGA, mmeishiwa pozi!!!kila kona alikuwa anasifiwa sana kipindi hicho, kwani habari mbaya zote juu yake aliweza kuzizuia, na kuwaaminisha wengi kila kitu kiko sawa!!sasa upande wa pili umefunuliwa ndio haya mbona bado, toka kuwa SHUJAA WA AFRIKA, anaenda kuwa wa KITONGOJI CHA MLIMANI TU!!!Kweli leo mkuu wa praise timu umelala chali!!!???Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Kwa hiyo CAG ni msemaji pia waTraffic kuhusiana na foleni na misongamano ya magari kwenye stendi za nchi hii? Kwenye ukaguzi wake wa mahesabu? Hakuna stendi ngumu kuingia na kutoka kama ya Makumbusho.Sijaona kwenye ripoti ya mheshimiwa msemaji wa Traffic CAG.Mwakani aweke kwenye ripoti yake
Bila Shaka huu ni Utabiri was Kuku Dhidi ya Mwewe!😂😂Hakuna utawala mpya wala wa zamani wote wapiga madili tu. Tena utawala huu wa awamu ya sita, ndio utakuwa kama ule wa mzee ruksa shamba la bibi.
Mkuu pole saaana....naona bado unapambana kumtetea......vipi mchakato was Mtakatifu umeanza!Na hao ndio population kubwa ya Tanzania zaidi ya asilimia 80 na ndio wanyonge wenyewe waliompigia kura na ndio alijitahidi kuwapelekea miradi mingi na elimu bure nk
Ndio aliosimama nao.Lisu alisimama na wanaoielewa akaambulia kura milioni moja
Magufuli akasimama na wasiojielewa wenye elimu duni na uelewa duni na machinga na ma ntilie nk.
Nakubaliana na wewe alisima na wengi wa chini hakusimama na wachaje wa juu au middle class
Wewe nawe unamchafua bila ya kujua, na hizi ndizo akili za "wamapambio"Hajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.Lugha ya ki layman utafikiri mtu hata shule hukwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk
Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini
Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
watu wanachotaka mambo yaende pigeni miyowe yote sijui CAG kasema ohhh ohhh mwisho siku muelewe tu kuwa watu hawahitaji kelele wanataka miradiMkuu pole saaana....naona bado unapambana kumtetea......vipi mchakato was Mtakatifu umeanza!
Kwani tulikuwa hatutumii hela zetu? Argument ya kitoto ya watu waliokariri vitabu .Kwani ukikopa mkopo.zile pesa anakulipia mkopo aliyekukopesha si unalipa kwa pesa zako mwenyewe.Wasomi wetu wana ujinga fulani hela u azowrxa kusema tumejenga sio kwa hela zetu ni za wafadhili tu wanaotupa bure lakini mkopo.ni pesa zako sababu utalipa kwa pesa zakoWewe nawe unamchafua bila ya kujua, na hizi ndizo akili za "wamapambio"
Yeye alikuwa akipita kila kona akisema "hela zetu wenyewe", wewe unayeandika hapa "madeni" alikuambia lini?
Nduli, Fashisti Jiwe alikua fisadi papa!!watu wanachotaka mambo yaende pigeni miyowe yote sijui CAG kasema ohhh ohhh mwisho siku muelewe tu kuwa watu hawahitaji kelele wanataka miradi
Kwani tulikuwa hatutumii hela zetu? Argument ya kitoto ya watu waliokariri vitabu .Kwani ukikopa mkopo.zile pesa anakulipia mkopo aliyekukopesha si unalipa kwa pesa zako mwenyewe.Wasomi wetu wana ujinga fulani hela u azowrxa kusema tumejenga sio kwa hela zetu ni za wafadhili tu wanaotupa bure lakini mkopo.ni pesa zako sababu utalipa kwa pesa zako
Magufuli alikuwa sahihi na mkopo unaulipa kwa pesa zako ulizokusanya ndani
Shida ya wasomi wetu kukariri vitabu .Madeni yako aina mbili ya nje na ndani na yote hulipwa kwa pesa zako mwenyewe.Sasa akikwambia tumejenga kwa pesa zetu huelewi nini?
Kilichonishangaza hata hawa MATAGA leo hawamtaki sieijii wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe unaropoka tu vitu ambavyo huelewi.
Kisheria CAG anakagua miradi mipya iliyomalizika na inayoendelea kutekelezwa kwa mwaka mmoja wa fedha au kama ataelekezwa na serikali au bunge kufanya ukaguzi maalum hata nje ya kipindi cha mwaka wa fedha husika.
CAG anapewea na serikali na bunge orodha ya mashirika,wizara, idara n.k anazotakiwa kukagua. Hakurupuki tu kama wewe unavyofikiria.
Pumba kabisa!!!watu wanachotaka mambo yaende pigeni miyowe yote sijui CAG kasema ohhh ohhh mwisho siku muelewe tu kuwa watu hawahitaji kelele wanataka miradi
Kwani tulikuwa hatutumii hela zetu? Argument ya kitoto ya watu waliokariri vitabu .Kwani ukikopa mkopo.zile pesa anakulipia mkopo aliyekukopesha si unalipa kwa pesa zako mwenyewe.Wasomi wetu wana ujinga fulani hela u azowrxa kusema tumejenga sio kwa hela zetu ni za wafadhili tu wanaotupa bure lakini mkopo.ni pesa zako sababu utalipa kwa pesa zako
Magufuli alikuwa sahihi na mkopo unaulipa kwa pesa zako ulizokusanya ndani
Shida ya wasomi wetu kukariri vitabu .Madeni yako aina mbili ya nje na ndani na yote hulipwa kwa pesa zako mwenyewe.Sasa akikwambia tumejenga kwa pesa zetu huelewi nini?
Nenda kaseme au umtukane Magu hadharani ndo utajua ... Kumsema marehemu vby sio vyema ndg yanguHuu ni mtazamo wako mnufaika? Hali ni tofauti Sana huku ground kwani Ile furaha iliyokosekana kwa miaka 6 imerejea kwa kasi ya ajabu!
Chuki kweli ni wazi mno Sasa hivi hasa kwa waajiriwa wa kada mbalimbali za serikali morali ya kazi imeongezeka mno baada ya kufanya kazi kwa tension bila maslahi yao kujaliwa!
Wananchi wamemchukia zaidi baada ya ripoti ya cag kuwekwa hadharani na ufisadi wa serikali yake kupitia miradi kanjanja! Yaani watu wanamponda mno kitaa!
Basi kamalikuwa nduli,fashisti na fisadi mzuri .Mtu anakwapua pesa halafu anapekeka umeme kila kijiji na Elimu bure nchi nzima na zahanati nchi nzima na miradi ya barabara hadi vichochoroni .mistandi kibao hadi mingine inaitwa stendi ya Ndugai hilo fisadi na fashisti na nduli wananchi tunalikubali sababu lilikuwa linakwapua na kuwapelekea wanyonge miradi kibaoNduli, Fashisti Jiwe alikua fisadi papa!!
Angekua msafi asingetumia nguvu kubwa namna ile kukaa gizani.
Kwani wao miungu .Ndio walikosea .Deni unalipa kwa hela zako halafu unasema eti.nimefanya kwa pesa za mtu nje akili zimo wewe?Nyerere alikopa, Mwinyi alikopa, Mkapa alikopa na JK alikopa! Uliwahi wasikia wakisema hela zetu za ndani??