Hayati Magufuli huwezi kusahaulika kwa miaka mingi sana kwa Meli kubwa Ziwa Victoria

JPM anabaki kuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania.

Ashukuriwe Mungu kwa zawadi ya maisha ya mtumishi wake hakika aliletea Taifa mwanga.

Tanzania inamkumbuka na itandelea kumkumbuka daima.
Bora nyumbani kwenu kwa shemeji yako anayekulisha bure
 
Wewe utakuwa ni musiba
 
Wanatetea uhalifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…