Hayati Magufuli kaacha legacy mbaya sana kwenye usalama wa nchi hii!


Weka space kwanza

Andiko ni kama sisimizi wanatembea
 
Mnamuonea bure JPM !
 
Ulimboka alitekwa na Magufuli
Sokoine aligongwa na gari na Magufuli
 
Ongea hoja yako. Nimekosea wapi na wewe unafikiria tofauti ki vipi!
Wewe ni mkongwe mwenzangu humu ukumbini, kuna maandamano ya chadema yalifanyika Arusha rais akiwa Kikwete. Maandamano yalifuata taratibu zote lakini dakika za mwisho, kupitia vyombo vya habari ikatolewa amri ya IGP Said Mwema kuzuia maandamano.

Amri ya Mwema ilipuuzwa, maandamano yakafanyika, baadhi ya waandamanaji wakauawa. Mauaji yale yakawa yameongeza moto na mwamko wa kisiasa kuelekea mwaka 2015.

Ni chadema wenyewe waliouzima moto ule 2015 kwa tamaa za viongozi wao. Wenye akili walianza kujihoji kama walikuwa wanapigania kupata jukwaa la watu aina ya lowasa kupandia.
 
Wanasemaga ilikuwa ni mipango ya Magufuli hata kabla hajawa Rais 😅😅😂
 
Unaacha kupambana na current situation una pambana na marehemu.
Kichaa tu ndio anaweza kuhangaika na marehemu!.
 
Mama anaiga? Ameokotwa ? Usalama na hayo mambo yeye ndio anapanga na kuratibu? Kama hana Wasukuma kwani Wazanzibar wa nyumbani hawapo?

Ungejadili hoja ya chanzo sio kumsema SSH kana kwamba ni mgeni kwenye Utawala ukiwemo wa Magufuli.

Wewe hakuna kitu unajua kwenye Utawala kumzidi SSH.
 
Anayeongoza sasa na haya mambo yanaendelea huku akiwaita Watanzania ni Makhulutabu na kuwafananisha na Samaki ni Hayati Magufuli?

Acheni kutulazimisha tuanze Kuwadharau.
Amekueleza chanzo Cha hayo unaongea pumba,nani wa kudharauliwa hapa?
 
Kumbe JPM ndo Rais wa kwanza Tanzania kila kitu kilianzia kwake ee?
Mbona mengine mnasema Kila kitu kiliansia kwake? Kwa nini kwenye kupanda mbegu za uovu mnataka kumsafisha 😂😂

Wengine wanasema Toka mtoto pendwa arudi kwenye maamuzi ,tumerudi tulikotoka.
 
Magufuli hayupo we Mbweha! Juzi kati hapa si mlisema nchi imeponywa!? Na si iliponywa na watu wazima kabisa?

Sasa Leo Magufuli anaingiaje hapo?

Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Magufuli mlimbebesha wa kwako na huyu abebe wa kwake!!
Magufuli alichukiwa bure tu kwa maana alipingwa ndani ya chama na nje ya chama na kumfanyia kila aina ya vituko ili aonekane mbaya!
Sasa hayupo wanafiki hawa hawataki kuamini mambo hayaendi pamoja na kushangilia msiba wa JPM
 
Wewe na wenzako ndio mnataka kuwagawanya Watanzania. Kisa kutaka madaraka. Mnahitaji viongozi wa ukweli kama Dr Slaa, Jerry Slaa, Mbatia kuwauunganisha Watanzania. Siasa zenu siku zote ni kuhusu wasukuma, washamba na kupambana na Wachaga, watoto wa mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…