MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Zilinunuliwa bei gani?amewanunulia ndege, endesheni shirika sasa lilete faida na liwe na manufaa kwa watanzania.
Shirika lilikuwa na ndege moja tu choka mbaya na mamia ya wafanyakazi wakilipwa mishahara ya bure na wengine hewa.
Kawanunulia midege na kuajiri watendaji sambamba na idadi yan ndege.
Naona unataka kuimiliki.Jf imevamiwa na kundi la wapumbavu kutoka FB
Na wewe mwerevu ni raisi wa nchi gani??Tanzania ilishawahi kuwa na raisi mpumbavu. mpumbavu pigia mstari neno mpumbavu huyo ni aliyeitwa MAGUFULI. jamaa aliyekuwa mpumbavu haswa
Manunuzi gani mengine yako wazi?Acha usukuma gang, ishu manunuzi kutokuwa wazi,
Ndiyo maana alilipa hela yote ili ajipimie mwenyewe mgao wake. Yule alikuwa fisadi nyangumi haswaSifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.
Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?
Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.
Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.
Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.
Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.
Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Hakuna nchi inanunua ndege keshi ww!Ona sasa huyu.
Ulitaka anunue kwa mkopo huku keshi anayo?
Kichwa chako kishaanza kumezwa na wadwanzi bila wewe kujua. Ukabila unaujua wewe?. Wasukuma wangapi walikuwa pale ikulu?. Mko sensitive na mambo ya kijinga sana mmaacha ya maana.
Acha kukalili. Hujui hata unachokitetea.Hakuna nchi inanunua ndege keshi ww!
Mjadala wa manunuzi ya ndege ulifanyika bungeni tafuta hansard kabla hujaandika chochote.Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.
Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?
Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.
Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.
Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.
Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.
Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Acha kujifanya chizi wakati uko timamuMjadala wa manunuzi ya ndege ulifanyika bungeni tafuta hansard kabla hujaandika chochote.
Wakati nyingine ziko gereji.Kama alipiga cha juu kuna ubaya gani?
Mbona ndege zinazidi kupokelewa
Ten percent,Kuna Cha Juu hapo Wale wanaojiita Wazalendo aliokuwa anawatumia wamepiga 😁😁Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.
Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?
Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.
Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.
Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.
Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.
Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Endelea kumsafisha aliyechafuka kwa 'greese ' mwili mzima!Why unatuuliza sisi?
Makamu wa rais wa awamu ya tano humjui? Waziri mkuu wa awamu ya tano humjui?
Why usiende kuwauliza wao?
Mnatengeneza mazingira ya kuonekana magu alikuwa ni one man show me siamini
Kama magu alifanya makosa basi yalikuwa ya wote serikali mzima
Na kama magu alikuwa dicteta then ni serikali ya awamu ya tano wote
Endelea kumsafisha aliyechafuka kwa 'greese ' mwili mzima!
Mleta mada anataka kumsingizia marehemu, sisi tulio hai tuna haki ya kumtetea.Acha kujifanya chizi wakati uko timamu
Siyo lazima kila mtu awe Rais, Jiwe alikuwa laana kwa nchiNa wewe mwerevu ni raisi wa nchi gani??