Kwa wapumbavu na wajinga, ndiyo maana hakuna mtu makini hata mmoja anaye mkubali Jiwe, kama wabisha nitajie mmoja tuKwa upande wako ni Sawa amechafuka
But Kwa upande wa watu wengine magu ni kama malaika
So usitake kulazimisha watu waamini unachoamini ww
Nyie Sukuma gangMleta mada anataka kumsingizia marehemu, sisi tulio hai tuna haki ya kumtetea.
Anayeongea na Mbowe hayo Maridhiano kayasema hadharani?Wakati mwingine tumia AKILIKama Mbowe anavyoficha " maridhiano"
Tundu Lisu: Kinachozungumziwa kwenye maridhiano ni Siri kwa sasa
Kwa wapumbavu na wajinga, ndiyo maana hakuna mtu makini hata mmoja anaye mkubali Jiwe, kama wabisha nitajie mmoja tu
Alihamishiwa kampuni ya ndege za serikali ikulu Ili CAG prof ASSAD asifanye ukaguzi.
mZiLaNkeNdE hakuwa mtu mzuri
Huwa nashangaaga sana his henchmen na Chawa wake wakilalal eti legacy yake inavurugwa legacy ipi!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ikipata damage yoyote inafidiwa na hela iliyobaki!Acha kukalili. Hujui hata unachokitetea.
Nambie kwa Nini hazinunui kwa keshi?
Hoja ndio muhimu zaidi kuliko huo ujinga wa kudhani kila anayetetea jitihada za RIP Magufuli ni Sukuma Gang.Nyie Sukuma gang
Kila nafsi itaonja umahutiZile ndege ilikuwa wizi mtupu bin ujambazi bin ufisadi bin ujangili!
Anyway, Mola alishamaliza kesi yetu ila tuzidi kumlaani milele!
Swali lako lina logicSame old story everyday, hebu tutajie mkataba mmoja tu uliowahi kuwekwa wazi na serikali ya CCM tukauona?
Ukishindwa kufanya hivyo, tujibu; kwanini tusiamini nyie wapinzani maslahi mnatumiwa na walamba asali ili kufanikisha malengo yao?
Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.
Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?
Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.
Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.
Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.
Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.
Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Same old story everyday, hebu tutajie mkataba mmoja tu uliowahi kuwekwa wazi na serikali ya CCM tukauona?
Ukishindwa kufanya hivyo, tujibu; kwanini tusiamini nyie wapinzani maslahi mnatumiwa na walamba asali ili kufanikisha malengo yao?
Mfano nani ambaye siyo Sukuma gang anayetetea ujinga wa Jiwe?Hoja ndio muhimu zaidi kuliko huo ujinga wa kudhani kila anayetetea jitihada za RIP Magufuli ni Sukuma Gang.
Kwa level yako wewe kama wewe mtaje mmojaInategemea na level yako ya akili kujua Nani ni mtu makini and Nani not
Nasikia akiandika wosia kwamba akifa azikwe na mafaili ya ununuzi wa ndege na SGR na like la bwawa la umemeSifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.
Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?
Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.
Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.
Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.
Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.
Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Tutafukua makaburi! ikibidi??Sifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.
Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?
Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.
Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.
Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.
Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.
Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.
Kwa level yako wewe kama wewe mtaje mmoja
Wafuasi wake wale wapumbavu cream kabisa wakawa wanamuona ni mzalendo kweli kweli kumbe jizi la kutupwaAlikua mpigaji kama wapigaji wengine walioko ccm.
Sema yeye alijificha kwenye kivuli cha uzalendo na pia kujiita mtetezi wa wanyonge.
Serikali ipo mtafute MSEMAJI MKUU wa SerikaliSifa kubwa ya madikteta ni usiri na kuficha mambo ya umma kama masuala binafsi.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mwendazake wakati anafanya mpango wa kununua ndege.
Umewahi kujiuliza kwanini mamlaka ya mdhibiti na mkaguzi mkuu haikuwahi kutoa maoni yao juu ya ununuzi wa ndege?
Taarifa zilizopo ni kwamba kulikuwa na usiri mkubwa juu ya nyaraka za manunuzi.
Nyaraka alikuwa anatembea nazo Magufuli mwenyewe. Hakutaka umma ujue chochote kama vile zilikuwa ndege binafsi.
Mdhibiti alipoomba kuona chochote walimwambia aende kwa Rais. Hii ilikuwa tafsida tu ila ilimaanishwa endelea na mambo mengine. Kitaalamu tunaita Intimidation Threat.
Mpaka anafariki hakukuwahi kujibiwa kwanini kulikuwa na usiri kwenye mchakato.
Je, alipiga cha juu? Mteteeni basi na hili. Msiseme alishaondoka asisemwe ile sio mali binafsi ni ya umma.