Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

Utamlinganishaje JPM na mlenda huu?
JPM hana mpinzani.
wewe acha zako bwana, mama anaupiga mwingi sana. Hakuna kufungwa kama zamani, sisi makazini pesa tunagawiana kupitia vikao kazi maisha yanaenda. Wakati wa magufuri uchumi ulisinyaa,, bati la gauge 28 msaupi mgongo mpan mita 1 ilikuwa sh 19 elfu wakati sasa mita 1 ALF ni sh elfu 60 kwa mita. mama anaupiga mwingi
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.
Acha upumbavu bwana mdogo. Fanya kazi Acha kulia lia mtandaoni. Au kama vipi nenda Chattle kajigaragaze pale kaburini
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.

Urais wa SSH unawatesa sana baadhi ya watu

Mbona hamsemi wakati JPM anaingia sukari ilikuwa bei gani? Mbona hakuongeza salary? Wakati wa Covid vitu vilipanda mbona hakuongeza salary?

Leo SSH kaongeza hata kama ni kidogo lakini imegeuka kama kafanya kosa kubwa sana kwa watumishi

Acheni nongwa, kama Mungu alipanga SSH awe Rais tulieni msipingane na Mungu.

Mitano tena kwa Mama Samia
 
Ogopa mtu anayejisifia yeye mtu wa haki,
Hatimae Mbwa mwitu amevua ngozi ya kondoo
Hapa bado haaonekana vizuri , Tutayaona mengi ,
 
Back
Top Bottom