Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

Sikuwa mfuasi wa yule bwana ili ni kukosa akili kumfananisha na mama.
 
Tanzania ilibahatika kupata viongozi wakuu wa nchi wawili tu
1. J. K Nyerere
2. J. P Magufuli
0. Richmond, Dowans, EPA, Escrow, Meremeta, Rada, Ndege ya Rais, Kiwira nk
 
Ni heri ukajua kabisa kuwa unakutana na SIMBA lakini ni kondoo kuliko ukajua unakutana na kondoo kumbe ni SIMBA.
Watu wamevaa ngozi ya kondoo kumbe ni SIMBA walawatu.
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.
Unamkumbuka wewe. Sisi Samia anatufaa Sana. Siyo watanzania wote kwamba Ni wafanyakazi. Sisi wakulima tunamkubali Sana Mana jpm aliua masoko ya kila zao Sasa tunauza nje na ndani. Usitulazimishe sisi. Pambana na Hali yako au acha kazi njoo tulime
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.
Kwani wew mtumishi ulitegemea utaongezwa kama TSh ngap hivi.
 
Mtu ukilinganusha mfumuko wa bei na nyongeza waliyopewa watumishi ni Bora kipindi cha Jiwe ambapo hakukuwa na nyongeza lakini bei za bidhaa zilikuwa stable
Acheni kazi kwani mmelazimishwa? Sisi tusio na kazi mnatuona mabwege siyo!! Mama usiwapandishie ili na wao wajue hawajasoma peke yao. Wakitaka watoke sisi tuko radhi kwa mshahara hata wa laki tu
 
Acha upumbavu bwana mdogo. Fanya kazi Acha kulia lia mtandaoni. Au kama vipi nenda Chattle kajigaragaze pale kaburini
We , Utajiri sio Siasa,
Wakulima na Wapiga Zege wanafanya kazi nusu kufa Ila Ni maskini wa kutupa
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA
Watu kama wewe ni bora tumfadhili Mbuzi
 
mlitaka nyongeza, hamkusema mnataka nyongeza tsh ngapi?, simna vyama vya wafanyakazai. Andamaneni kesho.
 
Huyu mnayemkumbuka ndiyo kasabababisha yote haya,Mama kakuta kikapu hakina kitu hali ya Uchumi ni Mbaya sasa ataongeza kutoka wapi?Hata hicho alichoongeza kwa hali aliyoikuta kajitahidi sana tusimvunje Moyo.

Waliokosea ni washauri wake wa Kisiasa kufanya siasa katika hili kwa kutangazatangaza bila kutoa Elimu au uelewa kwa Wafanyakazi,kilichotokea Wafanyakazi wakajenga Matumaini makubwa sasa hivi wamepigwa na kitu kizito wana hasira nao wanaweza kurudisha kitu kizito kitu ambacho kisiasa ni hatari.

Haya Majedwali ya Viwango vya nyongeza wanayohaha kuyasambaza sasa hivi wanakosea its too late,hii kazi ilitakiwa ifanyike kipindi hicho watu waelewe wanachopata wasijenge matumaini,huku ni kuvuta shuka wakati kumekucha.

Hapa inatakiwa akili kubwa ikae itafutwe Calculation nzuri ya kucounter attack hii reaction ya Watumishi.
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.
Mimi namlaani amefanya haliyangu kuwa ngumu kwa kuivuruga kazi yangu halali kwa kutaka pesa kwanguvu alaniwe milele
 
Huyu mnayemkumbuka ndiyo kasabababisha yote haya,Mama kakuta kikapu hakina kitu hali ya Uchumi ni Mbaya sasa ataongeza kutoka wapi?Hata hicho alichoongeza kwa hali aliyoikuta kajitahidi sana tusimvunje Moyo.

Waliokosea ni washauri wake wa Kisiasa kufanya siasa katika hili kwa kutangazatangaza bila kutoa Elimu au uelewa kwa Wafanyakazi,kilichotokea Wafanyakazi wakajenga Matumaini makubwa sasa hivi wamepigwa na kitu kizito wana hasira nao wanaweza kurudisha kitu kizito kitu ambacho kisiasa ni hatari.

Haya Majedwali ya Viwango vya nyongeza wanayohaha kuyasambaza sasa hivi wanakosea its too late,hii kazi ilitakiwa ifanyike kipindi hicho watu waelewe wanachopata wasijenge matumaini,huku ni kuvuta shuka wakati kumekucha.

Hapa inatakiwa akili kubwa ikae itafutwe Calculation nzuri ya kucounter attack hii reaction ya Watumishi.
Nonsense alisababishaje kumbuka enzi zake tuliingizwa uchumi wa Kati.
 
Rais akuwa kumungunya maneno kama nyeusi nyeusi na kama nyeupe nyeupe

Katika Marais wangu watatu Mwalimu, Big Ben na JPM
Alikua hapindi pindi
Yuko straight kama Trump [emoji1787]
Ikikuuma ikuume ila ukweli alisema
Na msimamo alikua nao.. katika vitu nilimpendea ni hivyo viwili.
Yeye hata dunia ikimgeuka anasimamia anacho amini
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.
KAZIKWE PEMBENI YAKE
 
Back
Top Bottom