Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

Wanasema eti afadhali mtu ajue kimoja kwamba leo hakuna msosi, kuliko kuishia kunawa na kumega tonge moja, then msosi over.

Ila Bongo, dah!

^Waacheni viongozi waishi vizuri!^
 
Kabisa.

Ukisha-control inflation hata usipoongeza mshahara maisha yanakuwa affordable.

Ukiongeza mshahara wa elfu ishirini na inflation ikawa juu, maisha yatakuwa magumu zaidi.

Magufuli alikuwa genius sana.
Wewe ni Mweupe sana kwenye uchumi, mzunguko wa pesa ukiwa mdogo lazima inflation iwe chini.

Kipindi Cha JPM mzunguko wa pesa (Currency in circulation+Demand deposits) ulikua chini sana ndio maana biashara zilifungwa na mabenki madogo kufikisika.

Mama alichofanya ni kuboost M1 to M3 Ili mzunguko wa fedha uwe juu. Sasa hakuna njia ya kuongeza mzunguko wa fedha bila kuongeza govt expenditure kma mishahara, kuajiri, kukopesha mabenki n.k

So Mfumuko lazima utakuja sababu ya aggregate demand lakini Inakua offset na multiplier effect ya muda mrefu kwenye uchumi.

Nashauri wanasiasa mkae mbali na mambo ya uchumi mnapotosha sana.
 
Kuhusu nyongeza ya mshahara ulisema wazi kuwa usingeongeza wakati ule, isipokuwa utakuja kuongeza mishahara mikubwa zaidi saa ikifika.

Tunakukumbuka kwa ukweli na uwazi wako.
Ni heri mara mia ukamwambia mtu hakuna chakula kuliko kumnawisha mikono na hatimaye unamnyima chakula.
Mungu akupe pumziko la milele huko mbinguni, JPM BABA YETU MPENDWA.
Mbona ulimi unakiri mapema hivi!
, tusubiri kuficha aibu
 
Unamkumbuka wewe. Sisi Samia anatufaa Sana. Siyo watanzania wote kwamba Ni wafanyakazi. Sisi wakulima tunamkubali Sana Mana jpm aliua masoko ya kila zao Sasa tunauza nje na ndani. Usitulazimishe sisi. Pambana na Hali yako au acha kazi njoo tulime
Kabisa, mbolea wakati wa JPM ilikuwa 160k sasa hivi imeshuka zaidi ya nusu hadi 60k. Wakulima tupo na mama anaupiga mwingi.
 
Acknowledging the genius.
Then what? Kwani ana chama chake au mwanae anagombea 2025??

Hizi comparison sioni faida yake, maana JPM ameshakufa so hata mkisema ni bora hakuna kinachobadilika au kusaidia kwenda mbele.

Unless tukubaliane kuwa alishindwa ku mentor viongozi wa kutosha maana kama aliteua serikali nzima na bado mnaona Kuna ufisadi Ina maana wateule wake walikua Yale Yale tu hawana mapya.

Wabunge aliowaweka yeye Wana impact Gani mpaka sasa? Umeona hata wakibana serikali bungeni? Kama hakuna then Hakuwa na impact yeyote kwenye CCM au siasa za Tanzania.
 
Wewe ni Mweupe sana kwenye uchumi, mzunguko wa pesa ukiwa mdogo lazima inflation iwe chini.

Kipindi Cha JPM mzunguko wa pesa (Currency in circulation+Demand deposits) ulikua chini sana ndio maana biashara zilifungwa na mabenki madogo kufikisika.

Mama alichofanya ni kuboost M1 to M3 Ili mzunguko wa fedha uwe juu. Sasa hakuna njia ya kuongeza mzunguko wa fedha bila kuongeza govt expenditure kma mishahara, kuajiri, kukopesha mabenki n.k

So Mfumuko lazima utakuja sababu ya aggregate demand lakini Inakua offset na multiplier effect ya muda mrefu kwenye uchumi.

Nashauri wanasiasa mkae mbali na mambo ya uchumi mnapotosha sana.
Upo sahihi, uchumi umekua ndio maana inflation ni kubwa na tumeongeza mshahara wa 23.3% kwa kima cha chini. Hakika sasa maisha yameboreka zaidi na Watanzania wote tunalamba asali.
 
Then what? Kwani ana chama chake au mwanae anagombea 2025??

Hizi comparison sioni faida yake, maana JPM ameshakufa so hata mkisema ni bora hakuna kinachobadilika au kusaidia kwenda mbele.

Unless tukubaliane kuwa alishindwa ku mentor viongozi wa kutosha maana kama aliteua serikali nzima na bado mnaona Kuna ufisadi Ina maana wateule wake walikua Yale Yale tu hawana mapya.

Wabunge aliowaweka yeye Wana impact Gani mpaka sasa? Umeona hata wakibana serikali bungeni? Kama hakuna then Hakuwa na impact yeyote kwenye CCM au siasa za Tanzania.
Nimeweka clip na nukuu ya JPM. Kuna comparison gani hapo mchumi?
 
Rais akuwa kumungunya maneno kama nyeusi nyeusi na kama nyeupe nyeupe

Katika Marais wangu watatu Mwalimu, Big Ben na JPM
Big Ben alikuwa mjasiriamali na pia aliuza viwanda vingi sana vilivyoachwa na Mwalimu kwa bei ya bure !! Na pia aliuza nyumba za Serikali vivyo hivyo !!
 
Urais wa SSH unawatesa sana baadhi ya watu

Mbona hamsemi wakati JPM anaingia sukari ilikuwa bei gani? Mbona hakuongeza salary? Wakati wa Covid vitu vilipanda mbona hakuongeza salary?

Leo SSH kaongeza hata kama ni kidogo lakini imegeuka kama kafanya kosa kubwa sana kwa watumishi

Acheni nongwa, kama Mungu alipanga SSH awe Rais tulieni msipingane na Mungu.

Mitano tena kwa Mama Samia
Tutajie vitu vilivyopanda wakati wa covid
 
wewe acha zako bwana, mama anaupiga mwingi sana. Hakuna kufungwa kama zamani, sisi makazini pesa tunagawiana kupitia vikao kazi maisha yanaenda. Wakati wa magufuri uchumi ulisinyaa,, bati la gauge 28 msaupi mgongo mpan mita 1 ilikuwa sh 19 elfu wakati sasa mita 1 ALF ni sh elfu 60 kwa mita. mama anaupiga mwingi
Hii Nchi wanaotakiwa kufungwa, na kuuwawa bado wapo wengi hawajaisha!

Ni Jambo baya kutowasaka hao wahuni na kuwaacha waendelee kuharibu Nchi!
 
Urais wa SSH unawatesa sana baadhi ya watu

Mbona hamsemi wakati JPM anaingia sukari ilikuwa bei gani? Mbona hakuongeza salary? Wakati wa Covid vitu vilipanda mbona hakuongeza salary?

Leo SSH kaongeza hata kama ni kidogo lakini imegeuka kama kafanya kosa kubwa sana kwa watumishi

Acheni nongwa, kama Mungu alipanga SSH awe Rais tulieni msipingane na Mungu.

Mitano tena kwa Mama Samia
Mungu hapangii watu Marais wao!
Mungu Ni mwana democrasia mnoo!
 
Wewe ni Mweupe sana kwenye uchumi, mzunguko wa pesa ukiwa mdogo lazima inflation iwe chini.

Kipindi Cha JPM mzunguko wa pesa (Currency in circulation+Demand deposits) ulikua chini sana ndio maana biashara zilifungwa na mabenki madogo kufikisika.

Mama alichofanya ni kuboost M1 to M3 Ili mzunguko wa fedha uwe juu. Sasa hakuna njia ya kuongeza mzunguko wa fedha bila kuongeza govt expenditure kma mishahara, kuajiri, kukopesha mabenki n.k

So Mfumuko lazima utakuja sababu ya aggregate demand lakini Inakua offset na multiplier effect ya muda mrefu kwenye uchumi.

Nashauri wanasiasa mkae mbali na mambo ya uchumi mnapotosha sana.
Kwa hiyo huu mfumuko wa bei uliopo ni sababu kuna mzunguko wa hela na watu wanazo zimajaa mifukoni?
 
Huyu mama ni rasmi sasa ashaingia bifu na watumishi wa umma ,yaan ajiandae kisaikolojia Sana maana kawakera Sana ni heri angekaa kimya tu Ila sio kwa matusi yale
 
Kwa hiyo mlitaka 23 % increment kwa kila mtu? Mwenye mshahara wa 2,000,000 iongezeke kwa rate sawa na wa 300,000?
Huo ni ujinga mtupu.
 
Huyu mnayemkumbuka ndiyo kasabababisha yote haya,Mama kakuta kikapu hakina kitu hali ya Uchumi ni Mbaya sasa ataongeza kutoka wapi?Hata hicho alichoongeza kwa hali aliyoikuta kajitahidi sana tusimvunje Moyo.

Waliokosea ni washauri wake wa Kisiasa kufanya siasa katika hili kwa kutangazatangaza bila kutoa Elimu au uelewa kwa Wafanyakazi,kilichotokea Wafanyakazi wakajenga Matumaini makubwa sasa hivi wamepigwa na kitu kizito wana hasira nao wanaweza kurudisha kitu kizito kitu ambacho kisiasa ni hatari.

Haya Majedwali ya Viwango vya nyongeza wanayohaha kuyasambaza sasa hivi wanakosea its too late,hii kazi ilitakiwa ifanyike kipindi hicho watu waelewe wanachopata wasijenge matumaini,huku ni kuvuta shuka wakati kumekucha.

Hapa inatakiwa akili kubwa ikae itafutwe Calculation nzuri ya kucounter attack hii reaction ya Watumishi.
Wewe ni mpumbavu dana. Unaweza kutuambia trillion 13 zimeenda wapi ambazo amekopa?
 
Kwa hiyo mlitaka 23 % increment kwa kila mtu? Mwenye mshahara wa 2,000,000 iongezeke kwa rate sawa na wa 300,000?
Huo ni ujinga mtupu.
Inaonekana wore hamjui mshahara unaongezwa vipi. Kumbukeni kila sekta inakiwango chake. Mlivyoambiwa wataongeza kwenye kiwango cha chini hamkuelewa walimaanisha nini.
 
Back
Top Bottom