Hayati Magufuli: Ningeweza kusema ninawaongeza mshahara halafu nikaongeza elfu tano tano

Alichokifanya Samia ni sawa kabisa, mwenye mshahara mdogo kapata ongozeko la 23%, hivi mtu wa chini aliyepanga chumba cha 50,000 leo kaongezewa 80,000 kwenye mshahara hajapata uwezo wa kupanga vyumba viwili?
Sisi wachini tunamshukuru sana rais Samia
 
Kwani yeye alipoingia 2015 alikuta kuna mzigo kiasi gani? Halafu Yeye alifariki ghafla huko ndani kulikuwa na kitu
 
Alichokifanya Samia ni sawa kabisa, mwenye mshahara mdogo kapata ongozeko la 23%, hivi mtu wa chini aliyepanga chumba cha 50,000 leo kaongezewa 80,000 kwenye mshahara hajapata uwezo wa kupanga vyumba viwili?
Sisi wachini tunamshukuru sana rais Samia

hivi kima cha chini ni watumishi wa idara gani???

maana wanaopokea mishahara ya kwapa ni polisi na waalimu,wameongezewa 60 elfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…