Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Zero ni namba tu sio kila anaepata 1 au 2 ni kichwa wengine ni mafundi wa kukariri kichwani hana kitu ukiondoa kile alichokariri, bado haujaelewa?
Yule ni kiande mkuu elewa basi
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Kweli mcheza kwao......Siye na kina Chahali twaandika kumponda MWAMBA?!
Kazi tunayo....
 
Hawezi kuwa puppet kwa kuwa hakuna anachafaidika na Tanzania, puppet ni yule anayefaidika kwa mabwana zake na hufanya chochote kile anachoambiwa na mabwana zake kulinda maslahi.
Mfano mzuri ni Western countries (mabwana) na some shitholes countries in Afrika(puppets)
Kweli !
 
Wakikusifu wazungu ujue umeliwa 😅😅 au wanavyosemaga wa mjini Imekula kwako 😅
Unajielewa mkubwa. Ukiona mzungu anakusifia ujuwe wewe shamba la bibi. Anaiba na kupora atakavyo. Ukiona ANASHEREKEA KIFO CHAKO UJUWE ULIMKAMATA MAKENDE MPAKA PUA NA USO ULIJAA DAMU!
 
Hakuna mtu anayechukiwa bila sababu. Yanayochukiwa ni matendo juu ya wengine hasa unapovunka sheria.hata zingejengwa barabara ngapi lakini wazazi wa
Anzory gwanda
Ben sanane
Amwilin
Na Tundu lisu mwenyewe
Hawatalisamehe dubwasha lile
Katika kila mema mengi na mabaya machache hayawezi kukosekana !! Kwa mfano Imran Kombe , Mwangosi , dr Ulimboka , dr Mvungi etc,etc, ujue mabaya mengi hufanywa na wale wanaojipendekeza kwa Mkuu wao !!
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Kwanza nani atanunua?
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Mwandishi mwenyewe ni SUKUMA GANG
 
Katika kila mema mengi na mabaya machache hayawezi kukosekana !! Kwa mfano Imran Kombe , Mwangosi , dr Ulimboka , dr Mvungi etc,etc, ujue mabaya mengi hufanywa na wale wanaojipendekeza kwa Mkuu wao !!
ukitaja hayo majina "thithi wa ccm ' kuna kaubaridi flan amazing kanatinga kwa mwili
 
Sidhani kama kuna jipya ambalo hatulifafamu kwa kitakacho kuwamo kwenye hicho kitabu zaidi ya taarifa ambayo mwandishi alikuwa anaokoteza kutoka kwenye hotuba za upande mmoja wa Magufuli.

Huyo profesa atakuwa ni mhanga wa UWONGO ambao Magufuli aliutengeneza kwa miaka 5. Kwa mfano Magufuli alikuwa anasema anajenga miundombinu kwa fedha za ndani. Wakati kiukweli alikuwa anakopa kutoka mabenki ya biashara ya nje kama Credit Suisse, Stanchart na AfDB.

Huyo mtunzi hawezi kujua namna Magufuli alivyoiba uchaguzi wa S/mitaa wa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 kisha kuweka wabunge mamluki ambao alitaka waje watumike kubadili katiba mwaka 2025 ili kumfanya aendelee kutawala.

Hicho kitabu kitabakia ni mkusanyiko wa karatasi tu za kumpamba hayari dikteta.
Hata kama alikopa je alijenga au alikula? Reference Mwigulu na Mama hivi sasa.
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.
Hii kitu imechezwa na Balozi Haraka haraka... Ni game plan ya kambi yao pamoja na Mzee wa jalalani
 
Ongelea mataifa yenye akili. Should not think as low as the ones you are reference is. Understand?!
Wewe sijui utakuwa ni mjinga,mpumbavu au mwongo!?, hivi ni lazima kila kitu uchangie? Kama hujui lolote si ukae kimya?, toka lini akili zikamilikiwa na taifa?.
 
Back
Top Bottom