Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

itoshe tu kusema ameandikwa kwenye kitabu hata kama ni kwenye nchi maskini...wewe subilia mama aandikwe na usa
Wazungu wanapenda soft Leader hata Mwl Nyerere Marekani hawamkubali acheni kuwa watumwa wa Wazungu na majitu mavivu kama ww ndo mnaowapigia magoti mabeberu
 
Unaweza kudhibitisha pasi na shaka kuwa tundu lissu alipigwa risasi na magufuli? Au ni yale maneno yenu ya kijiweni?
Siwezi kuthibitisha mbele ya mjinga aliyejingishwa mm! Mtu anawezaje kujiua na kujipiga risasi? Wewe ulisoma shule gani? Shwain
 
Nchi nyingi zinaamini Magufuli aliuliwa na wazungu.

Juzi kati nilikuwa South Sudan, hawaamini kabisa kwamba alikufa tu hivihivi.

Yule mtu alikuwa wa pekee sana. Nchi zote za bara la Afrika walimuona kama mkombozi. Kuna jamaa fulani wanatoka Nigeria na Afrika Kusini, tulikuwa nao kwenye workshop moja. Wakawa wanasema yule wazungu wasinge muacha. Maana sisi nchi nyingine tulikubaliana na mawazo yake, na tulimtegemea kama angetukomboa kutoka kwenye ukoloni wa mawazo.
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.

Bado umeaandika hisia na siyo uhalisia. Tulia, kunywa maji, halafu uje na facts.
 
Malawi hapo yule ni kama alikuwa na sangoma wake.

Hata hivyo japo ubaya mdogo unaondoa wema wote, bado mwendazake alifanya mengi ya kutukuka.

Rest Well John Pombe Magufuli
 
Kwamba huyo Profesa anamjua zaidi Magufuli kuliko sisi watanzania ? acheni utapeli wenu .

Ndio maana Watanzania walisherehekea Polepole kuondolewa Malawi

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app

Wee tangu uzaliwe umewahi publish andiko lolote? Kwa sababu tusije tukawa tunajibizana na akina maimuna hapa.
 
Tatizo mna amini sana vitu vya kuambiwa bila ushahidi wowote ,uliambiwa kuna hela china-zimerudishwa ? Tatizo la Tanzania mtu hata asome sana uwezo wake wa kufikiri unabaki kuwa chini .mkiambiwa vitu muwe mnafikirisha ubongo na elimu mnazopata ziwakomboe kifikra pia .
Wewe uwezo wako wa kufikiri umebakwa kwa kuwa mapenzi yako kwa DIKTETA ni makubwa. Ripoti ya CAG kuhusu akaunti ya DPP inayosemekana kuwa ilihusika na ufichaji hela China ilitolewa mwezi April 2023 na ikaagiza kuwa tume iundwe kuchunguza. Leo hii ni June unataka tukuambie kama zimerudi au hazijarudi!! Subiri kila kitu kitakuwa wazi
 
Wenye mapenzi na aliyefariki wanawaponda wenye chuki na aliyefariki.

Hatuwezi kupata kitu cha maana hapo.
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Hawa si ndo wale waandishi haters wafuasi wa chadema plus msoga gang!!
 
Back
Top Bottom