Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Wakati team visasi mkihangaika na kupigana na Marehemu!
Wakati team visasi mkiwa bado msibani kwa kinara wa visasi!

Wenzenu wasomi wa ukweli nchini Malawi, wanamuenzi kwa kumzindulia kitabu chake chenye hadhi ya kimataifa
Tarehe-9-June 2023.

Na sio ule uchafu wa Kibanda na genge la wasakatonge wenzake!
Huku ndio kutambulika kimataifa,sio kwa kuiuza nchi Dubai.

Aibu ingine hii kwenu wasakatonge wachumia tumbo wa kibongo!
Nimemaliza mengine picha itajieleza!View attachment 2633825
Kwanza kitabu kimeshiba kurasa,hii ndiyo tofauti ya utafiti wa Ki-Professor na Waandishi Kanjanja!
 
Yaani ukitafuta hayo majina kwenye professional writers huwezi mkuta hata mmoja. Hamna hata mmoja kati ya majina hayo aliyewahi ku publish paper yoyote kwenye majarida ya kitaalam.
Magufuli alikuwa mtaalam wa chemistry PhD alichapisha chochote kwenye jalada gani?
 
Sidhani kama kuna jipya ambalo hatulifafamu kwa kitakacho kuwamo kwenye hicho kitabu zaidi ya taarifa ambayo mwandishi alikuwa anaokoteza kutoka kwenye hotuba za upande mmoja wa Magufuli.

Huyo profesa atakuwa ni mhanga wa UWONGO ambao Magufuli aliutengeneza kwa miaka 5. Kwa mfano Magufuli alikuwa anasema anajenga miundombinu kwa fedha za ndani. Wakati kiukweli alikuwa anakopa kutoka mabenki ya biashara ya nje kama Credit Suisse, Stanchart na AfDB.

Huyo mtunzi hawezi kujua namna Magufuli alivyoiba uchaguzi wa S/mitaa wa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 kisha kuweka wabunge mamluki ambao alitaka waje watumike kubadili katiba mwaka 2025 ili kumfanya aendelee kutawala.

Hicho kitabu kitabakia ni mkusanyiko wa karatasi tu za kumpamba hayari dikteta.
Mkuu umeona lakini kitabu kilivyoshiba kurasa.Siyo kile kipeperushi cha akina Kibanda!
 
Kwahiyo ndo kazi polepole alienda kufanya hivyo hadi akatenguliwa Malawi na kupelekwa Cuba?

Yaani balozi nzima na akili zako unaenda malawi kushinikiza kiandikwe kitabu ili ionekane Kuwa mwendazake ni shujaa wa Africa nzima?

Ndo maana alibadilishwa fastaa akapelekwa Cuba sasa ngoja tuone huko Cuba kama ataenda kulazimishwa tena ajenda ya kumpublish mwendazake ili ionekane kuwa anakubalika hadi Cuba?

Bado wanahangaika hawa SukumaGang kumpa umaarufu huyo mfu ambaye hakua na faida yoyote kwa taifa!!Sijui ilikuaje yule mwehu akawa Rais wa nchi hii?

Yaani zile kiki za awamu ya 5 polepole ndo anadrive hadi kuandaa mipango kitabu kiandikwe huko malawi kwa mashinikizo ili eti mwendazake aonekane shujaa na alikua anakubalika kumbe ni kiki tu
Magufuli hana faida kwa hili taifa,wewe ni mwehu!
Weka mchango wa Mzee wako kwa taifa alafu tulinganishe na Magufuli!
 
Yaani ukitafuta hayo majina kwenye professional writers huwezi mkuta hata mmoja. Hamna hata mmoja kati ya majina hayo aliyewahi ku publish paper yoyote kwenye majarida ya kitaalam.
Nape Nnauye anawaamini kwerikweri,ujinga sana
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Kiletwe mara moja tukisome
 
Nawe jamaa nawe! Kwa hiyo kati ya huyo Mnyasaland na sisi wabongo nani ameteswa sana na wasiojulikana? Hicho kitabu kimegusia ni kwa nini Lissu alipigwa risasi ktk utawala wa huyo mtu wako?
Kitanda usichikilalia hujui kunguni wake. Over.
Hili jukwaa siku hizi wameingia na watu ambao ni below average IQ.

Mtu kutungiwa kitabu au kutotungiwa, hakumfanyi mtu huyo aonekani ni mzuri sana, anafaa sana au ni mbaya sana na hafai kabisa.

Rais Magufuli alikuwa Rais wa Tanzania na Watanzania. Hao ndio wanoujua ubaya na uzuri.wa Magufuli.

Magufuli hakuwa Rais wa Malawi, Cuba au bara la Afrika. Mambo yote aliyoyafanya Magufuli hayakuvuka mipaka ya Ta zania. Kwa kiasi kidogo utawala wake uliigusa Kenya kwa mabaya, maana aliangamiza vifaranga wa kuku, na kuwapora ng'ombe wafugaji wa Kenya.

Nyerere ndiye Rais pekee ambaye alifanya mengi nje ya Tanzania, hasa katika kupigania uhuru wa Mataifa ya Afrika.

Ni uwendawazimu wa hali ya juu Mtanzania aliyeishi kwenye utawala wa Magufuli kusubiria Mmalawi akuambie kama Magufuli alikuwa kiongozi mbaya au mzuri.

Ni sawa wewe uwe unaishi na Baba yako Ushirombo, halafu unasubiria mtoto wa Nachingwea akuambie kama baba yako ni mtu mzuri au mbaya!!

Ubaya na uzuri wa uongozi wa Magufuli unafamika zaidi na Watanzania kuliko mtu mwingine yeyote. Wakati mtanzania ameuishi utawala wa Magufuli, wengine wanasimliwa tu.
 
Nabii hakubaliki nyumbani, hatimaye kitabu kinachohusu maisha ya Hayati Rais Daktari John Pombe Magufuli kitazinduliwa tarehe 9/6/2023 katika hotel ya Golden Peacock, Lilongwe nchini Malawi, Luka 19:40 Yesu akawajibu,"Nawaambieni, kama Hawa wakinyamaza , hakika hayo mawe yatapaza sauti."

View attachment 2633826
Hicho ndicho pekee alichofanikiwa kukifanya Polepole alipokuwa Malawi. Sahizi anaandaa kingine toka Cuba. Rais akimwondoe polepole Cuba, ampeleke Afganstan ili tupate kitabu kingine toke huko.
 
Ni ujinga kuendelea kushupaza shingo kumpondea JPM

Tulionya kwamba, JPM hakuwa kiongozi mwenye kugusa maisha ya watanzania tu, bali Africa na Dunia pia!

Na hiyo inawahusu watu wenye akili kubwa tu, wapumbavu endeleeni kumshambulia maana hamjui Na hamtajua dunia inakoelekea!

Dunia inapobadirika, kunahitaji watu pia wanaokubali kubadirika na kisha kuendana na mabadiriko ya Dunia hasa linapokuja suala la uchumi wa kimafia

Dunia ya sasa inawahitaji watu kama kina hayati Magufuli kuiongoza! Zaidi ya hapo kila mtu ataandamana kwa sababu akili ya viongozi wasio na maono wao kuona kwao ni kudogo kunakoishia kwenye kuongeza kodi na ushuru badala ya uchumi wa kimafia
 
Hili jukwaa siku hizi wameingia na watu ambao ni below average IQ.

Mtu kutungiwa kitabu au kutotungiwa, hakumfanyi mtu huyo aonekani ni mzuri sana, anafaa sana au ni mbaya sana na hafai kabisa.

Rais Magufuli alikuwa Rais wa Tanzania na Watanzania. Hao ndio wanoujua ubaya na uzuri.wa Magufuli.

Magufuli hakuwa Rais wa Malawi, Cuba au bara la Afrika. Mambo yote aliyoyafanya Magufuli hayakuvuka mipaka ya Ta zania. Kwa kiasi kidogo utawala wake uliigusa Kenya kwa mabaya, maana aliangamiza vifaranga wa kuku, na kuwapora ng'ombe wafugaji wa Kenya.

Nyerere ndiye Rais pekee ambaye alifanya mengi nje ya Tanzania, hasa katika kupigania uhuru wa Mataifa ya Afrika.

Ni uwendawazimu wa hali ya juu Mtanzania aliyeishi kwenye utawala wa Magufuli kusubiria Mmalawi akuambie kama Magufuli alikuwa kiongozi mbaya au mzuri.

Ni sawa wewe uwe unaishi na Baba yako Ushirombo, halafu unasubiria mtoto wa Nachingwea akuambie kama baba yako ni mtu mzuri au mbaya!!

Ubaya na uzuri wa uongozi wa Magufuli unafamika zaidi na Watanzania kuliko mtu mwingine yeyote. Wakati mtanzania ameuishi utawala wa Magufuli, wengine wanasimliwa tu.
Ingawa umejificha sana kwenye kumuelezea Magufuli kati ya ubaya na uzuri wake,

Ila elewa tu kwamba, Kumbe Magufuli sifa zake za uongozi hazikuishia nchini peke yake, zilivuka mipaka na hata kuwatuza wasomi wa nchi mbalimbali na wameamua kuandika kitabu kuonyesha jinsi Magufuli alivyokuwa kiongozi shupavu
 
Ni kitabu cha Slowslow hicho anajificha kwenye msitu wa shamba la karanga huko Ubalozini.
 
Magufuli alikuwa mtaalam wa chemistry PhD alichapisha chochote kwenye jalada gani?

Sasa wewe unamlinganisha mtu aliyefikia ngazi ya urais na hao wenzio, waandishi wa habari wa kipindi cha kati. Unachekesha sana wewe.
 
Sasa wewe unamlinganisha mtu aliyefikia ngazi ya urais na hao wenzio, waandishi wa habari wa kipindi cha kati. Unachekesha sana wewe.
Mm sijamzungumzia magufuli kama raisi. Nimemzungumzia kama mtaalam wa chemistry. Kwani ukiwa raisi utaalam unapotea?
 
Back
Top Bottom