Kwa Kheri mzee wetu Mkapa, Mungu akurehemu huko uendako.
Nimevaa viatu vya mzee Mkapa kwenye mahusiano yake yenye moyo wa kipekee, havinitoshi kabisa na sio mimi tu karibia wanaume wengi wa karne hii hawawezi kuwa na ujasiri wa moyo kama aliokuwa nao huyu mzee wetu ni wa kipekee kabisa.
Hebu fikiria amemchukua Anna Kama mpenzi wake baada ya kumzidi kete Basil Pesambili Mramba akiwa tayari ana mtoto wa kiume wa Mramba, Hilo kwake mzee lilikuwa ni jambo dogo na kuona haikuwa na noma kabisa kwake akamfanya Mramba kuwa rafiki yake wa Karibu.
1995 Anagombea Urais, Alishawishi na kumpigia kampeni kabambe Mramba ili ashinde Ubunge Rombo na aliposhinda akamteua kuwa Waziri wa Fedha huku akiendelea kuwa mshikaji wake wa karibu Nje ya majukumu ya kikazi na hata kazini, Mkapa alikuwa anamuamini sana Mramba.
Katika hali ya kawaida wewe unaweza kufanya hivi kwa EX aliyezaa na mke wako? na ukawa unaenda nae kwako kama rafiki yako wa karibu sana? Mkapa bado anakuwa mwanaume wa kipekee sana sio tu kwenye siasa ukomavu wake wa kidiplomasia aliuhamishia hadi kwenye mahusiano
Pamoja na hayo Mtoto wa Mramba waliyezaa na Anna amekulia kwa Mkapa na Mzee alimpenda sana.
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kufanya hivi. Hata mimi siwezi kufanya haya aliyofanya mzee wetu Mkapa
Upumzike kwa amani Mwamba.
Nimevaa viatu vya mzee Mkapa kwenye mahusiano yake yenye moyo wa kipekee, havinitoshi kabisa na sio mimi tu karibia wanaume wengi wa karne hii hawawezi kuwa na ujasiri wa moyo kama aliokuwa nao huyu mzee wetu ni wa kipekee kabisa.
Hebu fikiria amemchukua Anna Kama mpenzi wake baada ya kumzidi kete Basil Pesambili Mramba akiwa tayari ana mtoto wa kiume wa Mramba, Hilo kwake mzee lilikuwa ni jambo dogo na kuona haikuwa na noma kabisa kwake akamfanya Mramba kuwa rafiki yake wa Karibu.
1995 Anagombea Urais, Alishawishi na kumpigia kampeni kabambe Mramba ili ashinde Ubunge Rombo na aliposhinda akamteua kuwa Waziri wa Fedha huku akiendelea kuwa mshikaji wake wa karibu Nje ya majukumu ya kikazi na hata kazini, Mkapa alikuwa anamuamini sana Mramba.
Katika hali ya kawaida wewe unaweza kufanya hivi kwa EX aliyezaa na mke wako? na ukawa unaenda nae kwako kama rafiki yako wa karibu sana? Mkapa bado anakuwa mwanaume wa kipekee sana sio tu kwenye siasa ukomavu wake wa kidiplomasia aliuhamishia hadi kwenye mahusiano
Pamoja na hayo Mtoto wa Mramba waliyezaa na Anna amekulia kwa Mkapa na Mzee alimpenda sana.
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kufanya hivi. Hata mimi siwezi kufanya haya aliyofanya mzee wetu Mkapa
Upumzike kwa amani Mwamba.