Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃Umesikia wasifu wake Leo? Wamesema Mkapa na Anna wamebarikiwa kupata watoto wangapi?Huyo mtoto mnayemzushia Mbona anafanana na Mkapa zaidi kuliko hao watoto wake wawili mnaowasema? Hafanani ni Mramba hata unywele!!
Niliwahi kusikia kuwa mahusiano yao yalivunjika hadi alipotia nia ndipo mzee Julius K alimshauri warudiane ili kulinda hadhi ya urais
Unapuuzaje kitu ambacho bado unaendeleaje kukifatilia na kukizungumzia?Uzushi hauthibitishwi wewe mbwiga bali unapuuzwa. Huyu mtoto unayemsema umemuona? Je anafanana na huyo unayemzushia kwa wajihi na muonekano wake? Acha upuuzi wako.
Mkapa ni zaidi ya kidumeNdio maana tunasema tumepoteza Kidume
Kabisa chiefNdio maana wewe sio Mkapa, kila mtu amepewa nguvu yake ya kustahimili mambo
Refer:kisarawe saga Das chroniclesNajiuliza....
Kama huyu wa sasa "kawatenda"wale tu walogombea naye Urais pamoja mwaka 2015
Je, angetokewa na Mazingira kama ya Mzee Mkapa kwenye mahusiano ingekuaje?
Tuambie wewe boss? Alioa mwaka gani?habari ya kizushi tu,unajua mkapa alioa mwaka gani?
Sijasema hivi mkuuKwahiyo mama alikuwa akienda kukumbushia mzee alikuwa anavumilia
Changamoto 😳Najiuliza....
Kama huyu wa sasa "kawatenda"wale tu walogombea naye Urais pamoja mwaka 2015
Je, angetokewa na Mazingira kama ya Mzee Mkapa kwenye mahusiano ingekuaje?
Ni kweli bossNiliwahi kusikia kuwa mahusiano yao yalivunjika hadi alipotia nia ndipo mzee Julius K alimshauri warudiane ili kulinda hadhi ya urais
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]Hizo sera ulizojadili wewe ziko wapi mkuu?
Nani huyo ,tupe dodoso kiainaMkuu....
Wanaume wengi wenye misimamo isiyo yumbishwa mbele za watu, wanakuaga wadhaifu sana na wanyonge kwenye mahusiano yao.
Na hata alipo chapwa stuli na kuvunjika mguu, bado aliweza kuvumilia tu.
(Naomba nisimtaje jina)
Mbona unaandika unarudia rudia Kama demu,nilikujibu kiume tafuta nyuzi unazozopenda kusoma concentrate hapo.wewe ndo hauko sawa, kumjadili maisha yake binafsi ina manufaa gani kwako au kwa yeyote yule au kwa hilo taifa aliloliongoza?
Hasa kwa mtoto wa kiume kukaa mitandaoni kujadili wanaume wenzie wanaishiji au waliishiji maisha yao, kisa tu ni viongozi/wanajulikana!?
Mtoto wa kike tungemuita mbeya tu. Sasa wa kiume tusemeje? Si ridhki au?
Tatizo la uzi wako msingi wake ndiyo hapa,huna taarifa sahihi kumhusu maisha yake hivyo ni ngumu kuyaelezea maisha yake kwa ufasaha.Tuambie wewe boss? Alioa mwaka gani?
Sasa unaejua si useme?Tatizo la uzi wako msingi wake ndiyo hapa,huna taarifa sahihi kumhusu maisha yake hivyo ni ngumu kuyaelezea maisha yake kwa ufasaha.
Wewe ndiye uliyeleta tuhuma hapa,and that's your liability to prove it and not us.periodSasa unaejua si useme?
Au unataka kuonekana umecomment...habari za kuoa hata Google unazipata
dah kwa hayo kweli MkapaKwa Kheri mzee wetu Mkapa, Mungu akurehemu huko uendako.
Nimevaa viatu vya mzee Mkapa kwenye mahusiano yake yenye moyo wa kipekee, havinitoshi kabisa na sio mimi tu karibia wanaume wengi wa karne hii hawawezi kuwa na ujasiri wa moyo kama aliokuwa nao huyu mzee wetu ni wa kipekee kabisa.
Hebu fikiria amemchukua Anna Kama mpenzi wake baada ya kumzidi kete Basil Pesambili Mramba akiwa tayari ana mtoto wa kiume wa Mramba, Hilo kwake mzee lilikuwa ni jambo dogo na kuona haikuwa na noma kabisa kwake akamfanya Mramba kuwa rafiki yake wa Karibu.
1995 Anagombea Urais, Alishawishi na kumpigia kampeni kabambe Mramba ili ashinde Ubunge Rombo na aliposhinda akamteua kuwa Waziri wa Fedha huku akiendelea kuwa mshikaji wake wa karibu Nje ya majukumu ya kikazi na hata kazini, Mkapa alikuwa anamuamini sana Mramba.
Katika hali ya kawaida wewe unaweza kufanya hivi kwa EX aliyezaa na mke wako? na ukawa unaenda nae kwako kama rafiki yako wa karibu sana? Mkapa bado anakuwa mwanaume wa kipekee sana sio tu kwenye siasa ukomavu wake wa kidiplomasia aliuhamishia hadi kwenye mahusiano
Pamoja na hayo Mtoto wa Mramba waliyezaa na Anna amekulia kwa Mkapa na Mzee alimpenda sana.
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kufanya hivi. Hata mimi siwezi kufanya haya aliyofanya mzee wetu Mkapa
Upumzike kwa amani Mwamba.
Kweli asee alikua na moyo wa kipekee sanaKwa Kheri mzee wetu Mkapa, Mungu akurehemu huko uendako.
Nimevaa viatu vya mzee Mkapa kwenye mahusiano yake yenye moyo wa kipekee, havinitoshi kabisa na sio mimi tu karibia wanaume wengi wa karne hii hawawezi kuwa na ujasiri wa moyo kama aliokuwa nao huyu mzee wetu ni wa kipekee kabisa.
Hebu fikiria amemchukua Anna Kama mpenzi wake baada ya kumzidi kete Basil Pesambili Mramba akiwa tayari ana mtoto wa kiume wa Mramba, Hilo kwake mzee lilikuwa ni jambo dogo na kuona haikuwa na noma kabisa kwake akamfanya Mramba kuwa rafiki yake wa Karibu.
1995 Anagombea Urais, Alishawishi na kumpigia kampeni kabambe Mramba ili ashinde Ubunge Rombo na aliposhinda akamteua kuwa Waziri wa Fedha huku akiendelea kuwa mshikaji wake wa karibu Nje ya majukumu ya kikazi na hata kazini, Mkapa alikuwa anamuamini sana Mramba.
Katika hali ya kawaida wewe unaweza kufanya hivi kwa EX aliyezaa na mke wako? na ukawa unaenda nae kwako kama rafiki yako wa karibu sana? Mkapa bado anakuwa mwanaume wa kipekee sana sio tu kwenye siasa ukomavu wake wa kidiplomasia aliuhamishia hadi kwenye mahusiano
Pamoja na hayo Mtoto wa Mramba waliyezaa na Anna amekulia kwa Mkapa na Mzee alimpenda sana.
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kufanya hivi. Hata mimi siwezi kufanya haya aliyofanya mzee wetu Mkapa
Upumzike kwa amani Mwamba.