Hayati Mkapa ni aina ya wanaume wachache wenye misimamo migumu kwenye mahusiano

Hayati Mkapa ni aina ya wanaume wachache wenye misimamo migumu kwenye mahusiano

Imeandikwa mpende adui yako kama boni ya jicho lako, hakutaka dhambi hii imkute,

Ata ivo mkapa na mke wake wote wanafanana sura

R.I.P mzee wetu mkapa
 
Kukosa utu siyo sifa nzuri kuonesha jamii, ingekuwa busara kama ungeficha unyama wako ulionesha kwenye uzi huu. Haya yote uliyoandika ni ya uzushi na laana itakushukia.
MZEE uzushi na kukosa utu kivipi? Mbona unaongea kama vile unaona nimeleta pambio hapa

Thibitisha kama huu ni uzushi?
 
Kuna watu baadhi nawajua hawana wivu kwenye suala la mapenzi hata kidogo. Yaani mpaka wake/wapenzi wao huwa wanajistukia na kuhisi hawapendwi. Simshangai Mkapa
 
Ni kwa nini anapenda kujadili familia za watu? Maisha yenu tu mbona si ya kikamilifu? KAMA unayojadili hayatatokea kwako basi jua kuwa utazaa na wajukuu, vitukuu, vilembwe na vilembwekweze je unafahamu watakuwa na maisha gani? Tujifunze kuweka nukta kwenye baadhi ya mambo.
 
Ni kwa nini anapenda kujadili familia za watu? Maisha yenu tu mbona si ya kikamilifu? KAMA unayojadili hayatatokea kwako basi jua kuwa utazaa na wajukuu, vitukuu, vilembwe na vilembwekweze je unafahamu watakuwa na maisha gani? Tujifunze kuweka nukta kwenye baadhi ya mambo.
Ujue maana ya neno "kitaifa"
 
Ni kwa nini anapenda kujadili familia za watu? Maisha yenu tu mbona si ya kikamilifu? KAMA unayojadili hayatatokea kwako basi jua kuwa utazaa na wajukuu, vitukuu, vilembwe na vilembwekweze je unafahamu watakuwa na maisha gani? Tujifunze kuweka nukta kwenye baadhi ya mambo.
Acha ushamba na kwa nini wewe umereply hapa kama hayakuhusu?

Mkapa ni kiongozi lazma ajadiliwe iwe kwa mabaya au mazuri sio sawa na wewe ambae hata balozi wa nyumba kumi hakufahamu na hakuna sehemu niliyomsema kwa ubaya.
 
Hizo sera ulizojadili wewe ziko wapi mkuu?
Sijaanzisha uzi kumzungumzia mtu alivyo kibinafsi. Nikiwa sina sera ya kujadili, sijadili kabisa. Sio kwamba naanza kujadili watu binafsi na waishivyo maisha yao.
 
Sijaanzisha uzi kumzungumzia mtu alivyo kibinafsi. Nikiwa sina sera ya kujadili, sijadili kabisa. Sio kwamba naanza kujadili watu binafsi na waishivyo maisha yao.
nadhani hauko sawa. Mkapa ni kiongozi kitaifa huwezi kuzuia asijadiliwe hata kwa yale ambayo mwenyewe asingependa kuyasikia akiwa hai lakini ni lazima yangesemwa, huyo sio kama wewe na mimi ambao hata vijiji vyetu watu hawatujui

Kwa hiyo ni bora ukasome hizo nyuzi unazosema kuliko kupiga kelele hapa
 
Huyu ndio mwanaume wa shoka sasa achana na hawa wa Dar wanaojinyonga kwa vitu vidogo vidogo
 
😛😛
Anna ana mtoto mkubwa kwa Mramba mkuu na tena alikuwa mkurugenzi wa Kampuni kubwa iliyoletaga utata kidogo
maybe alikuwa mpenzi wa utotoni wa Mkapa
baadae akanyakuliwa na Mramba?
 
Watu waliosoma soma nje kwenye swala la watoto wanakuwa na utata mwingi.. Wazungu sio watu wazuri
 
nadhani hauko sawa. Mkapa ni kiongozi kitaifa huwezi kuzuia asijadiliwe hata kwa yale ambayo mwenyewe asingependa kuyasikia akiwa hai lakini ni lazima yangesemwa, huyo sio kama wewe na mimi ambao hata vijiji vyetu watu hawatujui

Kwa hiyo ni bora ukasome hizo nyuzi unazosema kuliko kupiga kelele hapa
wewe ndo hauko sawa, kumjadili maisha yake binafsi ina manufaa gani kwako au kwa yeyote yule au kwa hilo taifa aliloliongoza?

Hasa kwa mtoto wa kiume kukaa mitandaoni kujadili wanaume wenzie wanaishiji au waliishiji maisha yao, kisa tu ni viongozi/wanajulikana!?
Mtoto wa kike tungemuita mbeya tu. Sasa wa kiume tusemeje? Si ridhki au?
 
Kwanza misiba ya namna hii kesho tu mwisho wa kauasikia haya
 
Back
Top Bottom