Hayati Mkapa ni aina ya wanaume wachache wenye misimamo migumu kwenye mahusiano

Najiuliza....
Kama huyu wa sasa "kawatenda"wale tu walogombea naye Urais pamoja mwaka 2015
Je, angetokewa na Mazingira kama ya Mzee Mkapa kwenye mahusiano ingekuaje?
 
Kwahiyo mama alikuwa akienda kukumbushia mzee alikuwa anavumilia
 
Mkuu....
Wanaume wengi wenye misimamo isiyo yumbishwa mbele za watu, wanakuaga wadhaifu sana na wanyonge kwenye mahusiano yao.
Na hata alipo chapwa stuli na kuvunjika mguu, bado aliweza kuvumilia tu.
(Naomba nisimtaje jina)
kama inakuja halafu inakataa.... ila kuna ukweli kwa mbali.
 
Ni vigumu sana kumuelewa Mkapa..

Tuyaache tu.
 
habari ya kizushi tu,unajua mkapa alioa mwaka gani?
 
MZEE uzushi na kukosa utu kivipi? Mbona unaongea kama vile unaona nimeleta pambio hapa

Thibitisha kama huu ni uzushi?
Uzushi hauthibitishwi wewe mbwiga bali unapuuzwa. Huyu mtoto unayemsema umemuona? Je anafanana na huyo unayemzushia kwa wajihi na muonekano wake? Acha upuuzi wako.
 
Huyu ndio mwanaume wa shoka sasa achana na hawa wa Dar wanaojinyonga kwa vitu vidogo vidogo

Oya wanajamvi wakiume mmemsikia huyu.

Kumbe kulea mbegu ya ,mwanaume mwanzako ndio unaitwa mwanaume wa shoka?

Kama hivyo mimi sitaki kuitwa mwanaume wa shoka.
 
Oya wanajamvi wakiume mmemsikia huyu.

Kumbe kulea mbegu ya ,mwanaume mwanzako ndio unaitwa mwanaume wa shoka?

Kama hivyo mimi sitaki kuitwa mwanaume wa shoka.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Uzushi hauthibitishwi wewe mbwiga bali unapuuzwa. Huyu mtoto unayemsema umemuona? Je anafanana na huyo unayemzushia kwa wajihi na muonekano wake? Acha upuuzi wako.
Wewe Mama Anna ana watoto watatu, mmoja kwa Mramba wawili kwa Mkapa acha ubishi jamaa Yuko sahihi
 
Ndio maana wewe sio Mkapa, kila mtu amepewa nguvu yake ya kustahimili mambo
 
Niliwahi kusikia kuwa mahusiano yao yalivunjika hadi alipotia nia ndipo mzee Julius K alimshauri warudiane ili kulinda hadhi ya urais
 
Mzee nadhani wewe utakuwa una asili za kikeπŸ˜„ mbona jamaa hajamsema vibaya ila wewe umekomalia taarabu Kama za mwajuma wa mwananyamala.

Shida nini? Haha Mkapa ni KIONGOZI wa kitaifa lazma ajadiliwe Kama watu wanavyojadili familia ya watoto wa mzee nyerere ambavyo hawaeleweki
 
Ndio maana wewe sio Mkapa, kila mtu amepewa nguvu yake ya kustahimili mambo
Wewe Mama Anna ana watoto watatu, mmoja kwa Mramba wawili kwa Mkapa acha ubishi jamaa Yuko sahihi
Huyo mtoto mnayemzushia Mbona anafanana na Mkapa zaidi kuliko hao watoto wake wawili mnaowasema? Hafanani ni Mramba hata unywele!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…