Hayati Mkapa ni aina ya wanaume wachache wenye misimamo migumu kwenye mahusiano

Huyo mtoto mnayemzushia Mbona anafanana na Mkapa zaidi kuliko hao watoto wake wawili mnaowasema? Hafanani ni Mramba hata unywele!!
πŸ˜ƒπŸ˜ƒUmesikia wasifu wake Leo? Wamesema Mkapa na Anna wamebarikiwa kupata watoto wangapi?
 
Uzushi hauthibitishwi wewe mbwiga bali unapuuzwa. Huyu mtoto unayemsema umemuona? Je anafanana na huyo unayemzushia kwa wajihi na muonekano wake? Acha upuuzi wako.
Unapuuzaje kitu ambacho bado unaendeleaje kukifatilia na kukizungumzia?

Huoni wewe ndio MPUUZI?
 
Najiuliza....
Kama huyu wa sasa "kawatenda"wale tu walogombea naye Urais pamoja mwaka 2015
Je, angetokewa na Mazingira kama ya Mzee Mkapa kwenye mahusiano ingekuaje?
Changamoto 😳
 
Mbona unaandika unarudia rudia Kama demu,nilikujibu kiume tafuta nyuzi unazozopenda kusoma concentrate hapo.

Mimi sio mumeo mpaka unipangie Cha kuandika hapa..unaandika maneno mengi hayana logic.

Au unaweza kuanzisha uzi wako kuupinga huu kuliko kuimba imba hapa..wamiliki wa jf wangeona hauna maana wangeutoa.

Sasa wewe ni nani mpaka unipangie Cha kuandika?

Au wewe Ni choko so unawashwa?
Ongea kiume nijue point yako ni ipi sio unazunguka kwa maneno yaleyale ya kikekike

Nini kinachokuuma?
 
Tatizo la uzi wako msingi wake ndiyo hapa,huna taarifa sahihi kumhusu maisha yake hivyo ni ngumu kuyaelezea maisha yake kwa ufasaha.
Sasa unaejua si useme?
Au unataka kuonekana umecomment...habari za kuoa hata Google unazipata
 
Sasa unaejua si useme?
Au unataka kuonekana umecomment...habari za kuoa hata Google unazipata
Wewe ndiye uliyeleta tuhuma hapa,and that's your liability to prove it and not us.period
 
Thread Imejaa Ganzi Sana πŸ™„πŸ€¨πŸ˜πŸ˜πŸ˜—πŸ€—
 
dah kwa hayo kweli Mkapa
mwamba
 
Kweli asee alikua na moyo wa kipekee sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…