Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujiandae kuimbiwa ngwinjii🤣🤣🤣🤣Harusi ya taifa tunayo. Jamani mbona tutamkoma Bi Khadija?
Kubwa lao kataa ndoa limepatikana? Zuchu nimemvulia kofia.
Kwa uzuri gani? Hivi unazijua pisi wewe?Pale alipo anaweza kuolewa na wenye mali kumzidi huyo anayemuoa.
Umesema kweli, tuwaombee kheri..........ndoa ni jambo jema kama ni zao la matamanio ya mioyo yote miwili, ila kama zao la pressure kutoka upande mmoja basi ujue mnakaribisha stress mpya kwenye maisha, all in all hii ni habari njema so hongera kwao.........
Bado siyo sababu Nifah...Mpaka hapa ameweza, amefanyiwa visa vya kila aina.
Ameshindikana!
Kwahiyo kumbe hadi wanaume mnaoa kwa maslahi? Si mmeshikilia bango la kataa ndoa kulinda mali zenu?Hapana Diamond ndio yuko kimaslahi zaidi. Atamuoa Zuchu kwa sababu ya pesa. Zuchu ni mgodi ambao Mondi anauchimba na kuutunza kwa pesa kidogo inayotoka kwenye pesa nyingi zinazotokana na mgodi huo.
Hilo lipo wazi Nifah.Vibaya hivyo!
Haya ni mapya, lakini sidhani kama iko hivyo na sipingani na hilo pia.Atakuwa ameshampa mimba sasa anaogopa aibu ya kuizalishwa nje ya ndoa..
Mzazibar akizaa mtoto nje ya ndoa hata jina la baba hapewi..
Mtoto anapewa jina la mjomba...
Nilitaka kushangaa nisione hii kitu toke Demi herself 😂Wataachana tu
Siku muziki wa Zuchu umeisha na akawa hamuingizii tena Dai pesa na hii ndoa itapumulia mashine.Mbona unachanganya sukari na shubiri?
Tumuombee mema huku itaisha kwa machozi tena?
Mtafutieni mganga mzuri amuague sio akili yake yule🤣🤣🤣wajumbe wa kataa ndoa, waki mshangaa mondi😃😂.
akati yeye ndo katibu wa chama hicho
View attachment 3225886