Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikilia hapo hapooo, haingii mtu, hatoki mtu🤣🤣🤣Mi mbona kuna mtoto wa mtu nimemng’ang’ania jamani?
Karibia mwaka wa pili yuko safarini namsubiri!
Ha hahahahaWarumi is back
Hongera Ila Mimi siwezi kuoa Mwanamke anayeandika udaku bila kulipwa hela
Mwenzangu hata mimi nimejifunza kwa Zuhura, siachani tena na mukaka wangu.Tujiandae kuimbiwa ngwinjii🤣🤣🤣🤣
Ila Da Zuu kanifunza kitu, kama boifrendi kamng'ang'ania hivo hadi kimeeleweka mie ni nani nisimng'ang'anie huyu baba hadi tuzeeke wote🤣🤣🤣
Zarina sijui yu hali gani?🤣🤣🤣🤣
wajomba zangu wamesha nionya kujaribu jaribu.Hapa ndiyo unatimia ule usemi kwamba mwonja asali huchonga mzinga.
Kuna sehemu Wanaume huwa tunaingia na kujisemea pale naonja na kupita hivi
Kumbe ndiyo unanaswa mazima
Unakuta jamaa wanajiuliza huyu Mwamba ameona nini Kwa kile kibinti, kumbe mambo unayopewa Kwa bed, hadi unajilaumu kwanini hatukujuana mapema 🏃🏃🏃🏃
View attachment 3225842
Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’
Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.
Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.
Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.
Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.
Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?
Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.
Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.
Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.
Straight From The Horse’s Mouth,
Nifah.
Kama wewe ni mgodi tunaoa. Uliza Billgate na Jay ZKwahiyo kumbe hadi wanaume mnaoa kwa maslahi? Si mmeshikilia bango la kataa ndoa kulinda mali zenu?
Kwamba wewe unaujua uzuri wa Zari na Zuchu kuliko Diamond aliyeishi nao wote kwa miaka mingi?Kwa uzuri gani? Hivi unazijua pisi wewe?
Ila kwa kuwa we ni female huwezi jua mwanamke yupi mbovu na yupi mzuri.
Simba kaiacha pisi kama Zari unategemea awe na upendo na huyo Zuchu?
Hayo mambo ya kuonja onja hata yakitukuta sisi Wazee ndiyo mwanzo wa kumkabidhi Binti wa elfu 2 kadi na password ya Benki akajichotee Pension yotewajomba zangu wamesha nionya kujaribu jaribu.
maana pengine hapana comeback, zaidi ya kuomba extension of contract 😂😂
Waoane tu. Ndoa ni jambo la heri.
yapi hayoDiamond anamuoa king’ang’anizi wake, huku Zuchu akiolewa na matatizo yake.
Katibu kakimbia na katiba ya chama 😂😂wajumbe wa kataa ndoa, waki mshangaa mondi😃😂.
akati yeye ndo katibu wa chama hicho
View attachment 3225886
Wazanzibar nakubali. Kuna shoga yangu aliolewa mke wa pili tukalia balaa, akaondoka kabisa akarudi kwao.Siku muziki wa Zuchu umeisha na akawa hamuingizii tena Dai pesa na hii ndoa itapumulia mashine.
Ila wazanzibari wanajua kuvumilia ndoa, anaweza kuendelea kung'ang'ana hivo hivo.
Mkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.Kwamba wewe unaujua uzuri wa Zari na Zuchu kuliko Diamond aliyeishi nao wote kwa miaka mingi?
Kuwa serious basi Mkuu.
Kubwa la umbea kazini!! hahahhaView attachment 3225842
Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’
Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.
Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.
Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.
Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.
Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?
Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.
Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.
Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.
Straight From The Horse’s Mouth,
Nifah.
Hakuna ndoa hapo ni usanii tu wa ndoa baada ya ndoa ni tarakaAleleleeeee harusi tunayooo....
Nakala iwafikie team kataa ndoa wote.
Zuchu mzuri na bado mdogo mkuu, kama ni gari mashine bado standard haijachongwa kren shaftSimba na kuruka na totozi kali kiasi kile anakuja kuoa Zuchu?
Mapenzi kitu cha ajabu..
Kiki zenyewe hizi.Hakuna ndoa hapo ni usanii tu wa ndoa baada ya ndoa ni taraka